Mnaonunua Alibaba na Aliexpress; Je, washaanza kutuma bidhaa baada ya corona?

Mnaonunua Alibaba na Aliexpress; Je, washaanza kutuma bidhaa baada ya corona?

Anyone mpaka sasa ambaye kanunua kapata?
 
Nawakubali FedEx tu, niliagiza kamzigo kangu tarehe 14 May nikapokea 4Jun. Mzigo umefika ndani ya almost wiki3 ukitokea USA.
Bigup kwenu FedEx nakubali sana.
 
Mimi kitu kilichonikwamisha ni china new year tu covid haikuwa na shida kiivyo naongea na seller alafu nawapa id card ya courier company kama silent ocean wanapeleka mzigo kwenye godown zao then inakuja huku hiyo process ni mwezi tu haina usumbufu na bei chee
 
Mimi kitu kilichonikwamisha ni china new year tu covid haikuwa na shida kiivyo naongea na seller alafu nawapa id card ya courier company kama silent ocean wanapeleka mzigo kwenye godown zao then inakuja huku hiyo process ni mwezi tu haina usumbufu na bei chee
Silent ocean gharama zao zikoje mkuu? Nafanyaje ili niweze kuwatumia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu alibaba sijui ila kwa njia yakutumia agente nimepokea mzigo wiki iliyopita na mwingine wiki ijayo na mwingine mwezi wa saba mwishoni lkn sipo [emoji1241]
 
Sidhani. Nimenununua vitu mwishoni mwe February aliexpress mpaka hii leo sijavionaa
hata mimi nimenunua mzigo aliexpress tangu mwezi wa pili mzigo haujafika. na nimara yangu ya kwanza, naomba kuuliza hivi mizigo ikifika naichukulia wapi?
 
Inawezekana kutumia mpesa master card.
 
hata mimi nimenunua mzigo aliexpress tangu mwezi wa pili mzigo haujafika. na nimara yangu ya kwanza, naomba kuuliza hivi mizigo ikifika naichukulia wapi?
Ndo imeanza kufika hivi karibuni. Ila mingi ya kipindi kile cha Korona ni kama imechelewa
 
Back
Top Bottom