SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,106
- 8,043
Bado hali sii ya kuridhisha. Nilitaka agiza smartphone juzi lakini nilivyoona parcels zangu nilizoagiza May ndio zinafika,tena mmoja mmoja ,chap nikaghairisha.
Vipi sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi sasa?
Corona imeku ishu sana n mbaka sasa mizigo inafika il kwa kusuasua.mim niliagiza taree 11 mwezi wa 3 imefika mwezi wa tisa taree za katikatihata mimi nimenunua mzigo aliexpress tangu mwezi wa pili mzigo haujafika. na nimara yangu ya kwanza, naomba kuuliza hivi mizigo ikifika naichukulia wapi?
Kama ni kikuu tambua umetoa sadaka mkuu kikuu sio waaminifu
hata mimi nimenunua mzigo aliexpress tangu mwezi wa pili mzigo haujafika. na nimara yangu ya kwanza, naomba kuuliza hivi mizigo ikifika naichukulia wapi?
Kwa maana hiyo unaipokelea posta ? ? au watakuletea ulipo kama ilivyo address ? ? tusaidie kulewaAdress yako ya posta ulipoandika!
Mkuu.ukiwatoa silent ocean.ni kampun gan ambayo wana gharama nafuu na security ni nzur kwa shugul hii ya kusafirisha mizigoMimi kitu kilichonikwamisha ni china new year tu covid haikuwa na shida kiivyo naongea na seller alafu nawapa id card ya courier company kama silent ocean wanapeleka mzigo kwenye godown zao then inakuja huku hiyo process ni mwezi tu haina usumbufu na bei chee
Mkuu kampuni ipi bongo ambayo wana ghrama nafuu za kukusafirishia mzigo from china...ukitoa silent ocean...Kuhusu alibaba sijui ila kwa njia yakutumia agente nimepokea mzigo wiki iliyopita na mwingine wiki ijayo na mwingine mwezi wa saba mwishoni lkn sipo [emoji1241]
yapo mengi kuna ambayo hadi unalipa bima ya mzigo Kwanzaa dola 25 means uakika wa mzigo ni guarented..... makampuni ni haya ninayo yajua mimi tosh cargo, choice exp, bacenton, intercargo, uswa cargo ni wewe kuchagua tu makampuni mengi hayajaachana mengi ni 300 $ per cbm nakuendeleaMkuu.ukiwatoa silent ocean.ni kampun gan ambayo wana gharama nafuu na security ni nzur kwa shugul hii ya kusafirisha mizigo
kama unatumia hizi kampuni za ushafirishaji ni bora zaidi sababu wana mizigo mingi na bei inashuka kwanzia ya kusafirisha hadi ushuru....mzigo wako ukishafika wao watasimamia kila kitu utatarifiwa pale endapo watakuwa washamaliza process na utakuwa tayar kuchukua mzigo wako makampuni mengi yanafanya $300 na zaidi per cbmMkuu naomba utupe somo la kuagiza mzigo China. Haswa hapa bongo mzigo ukishafika malipo ni yapi na yapi mpaka unaupata mzigo wako haswa la mzigo mkubwa
kama unatumia hizi kampuni za ushafirishaji ni bora zaidi sababu wana mizigo mingi na bei inashuka kwanzia ya kusafirisha hadi ushuru....mzigo wako ukishafika wao watasimamia kila kitu utatarifiwa pale endapo watakuwa washamaliza process na utakuwa tayar kuchukua mzigo wako makampuni mengi yanafanya $600 na zaidi per cbm
nimesharekebisha mkuuNi dola 600? Per cbm sijaelewa pia
Sasa silent ni 450/CBM..wase.nge kweliyapo mengi kuna ambayo hadi unalipa bima ya mzigo Kwanzaa dola 25 means uakika wa mzigo ni guarented..... makampuni ni haya ninayo yajua mimi tosh cargo, choice exp, bacenton, intercargo, uswa cargo ni wewe kuchagua tu makampuni mengi hayajaachana mengi ni 300 $ per cbm nakuendelea
Nataka kuagiza ila sasa huu uzi umenipa wenge,Naona kama kikuu wapo ghali sana products zao
kuna ambazo nimezitaja hapo juu zichekuShukrani Mkuu. Kampuni za usafirishaji za kuaminika ni kama zipi?
hahaha ndo biashara mkuu tafuta altenative nzuri tuSasa silent ni 450/CBM..wase.nge kweli
Silent ocean parcel wanasafirusha bei gani?kama unatumia hizi kampuni za ushafirishaji ni bora zaidi sababu wana mizigo mingi na bei inashuka kwanzia ya kusafirisha hadi ushuru....mzigo wako ukishafika wao watasimamia kila kitu utatarifiwa pale endapo watakuwa washamaliza process na utakuwa tayar kuchukua mzigo wako makampuni mengi yanafanya $300 na zaidi per cbm
Nenda ofisi za post mzigo wako utakuwa umefika zamani, lakini pia tumia ile namba ya mzigo ku track mzigo ulipohata mimi nimenunua mzigo aliexpress tangu mwezi wa pili mzigo haujafika. na nimara yangu ya kwanza, naomba kuuliza hivi mizigo ikifika naichukulia wapi?