Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mwaka 2012 tuko chuo....Ardhi..boom..limetoka...
Jamaa wakanipitia kwenda kula kitimoto..njia ya Meeda pale.Tumemaliza wakaniombia tukaoshe macho kidogo (Kuna malaya wanajipanga barabarani) .

Basi watu wakawa wanapotea kila mtu kona yake.Mimi na jamaa mmoja tukakaribishwa na dada mmoja..kavaa kinguo kama chupi.."Karibuni wachumba".Story mbili tatu..kataja bei..mbele 10,000/= kwa mpalange 20,000/=.
Kilichotokea tukaanza stori, tukaa kwenye pembe za mtaro...dada alifurahi sana kupata hata watu wanapiga nae stori..aliongea vitu vingi akasema jinsi alivyo na shida, single mother..kuwa akipata mtaji ataacha hiyo.kazi.Tumekaa naye kama one hour..full kucheka tu, kasahau na biashara yake.Mwishoni tukampa 20,000/= tukamwambia akapumzike..hiyo akasepa zake kwa amani na sisi tukaondoka zetu.

Hawa watu wanatabu sana na wanahitaji upendo,

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Apo wanalipia chumba, wana kula, wana jiremba na kujipendezesha kuwavutia wateja na wao pia watu wana familia zao hawawezi kuwa mamillionea kirahisi
 
Malayaa hapigwi romance aiseee...[emoji3][emoji3][emoji3] Wew fikaa dindisha chomekaaa..
 
Ovyooo
 
Hii no yake unayo ya kazi gani?
Kuna siku utamla tu
 
Nipende kuwakumbisha kwamba hata kama ungejiuza/kuganga kwa kiwango gani na ukafanya maendeleo kiasi gani lakini nipende kuwakumbusha wadada na wamama na vijibibi vinavyofaganya hii kazi haina mibaraka kwa mwenyezi muumba wenu na mungu wenu alie mbinguni maan ni laana tupu. Ushauri wangu kwa wewe unaejiona umepata kazi ya kuuza uchi/sehem ya uzazi acha na baada ya hapo mbona kunaka,I nyingi za halali kwa kipato japo cha kima vha kati jmn👏👏👏👏jaribuni kutafuta uharali kwenye vipato venue hapa duniani 👏👏👏
 
Sidhani kama amkupiga nyie

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna cha hela ya ukahaba hao ni madrug dealer jichanganye
 
Yaani mtu anayepata 50,000 kirahisi akiwa ndani lodge

Aende Juani akauze mboga mboga apate mia mbili [emoji16] wakiwa wazoefu huwaga ni ngumu kuacha
 
Kama mlimkula sema tu kaka we don't judge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…