Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Ndo ivo mkuu maisha ndo hayahaya tujilìe vitamu kama kufa tutakufa tu
Kama ungeenda clinic za CTC penye watu waliochoka wako kwenye ARV watakusimulia kwa majonzi kuwa na wao walikuwa wakidhani kama unavyosema.

Wapo waliokuwa na maisha mazuri waliokuwa wakaidi wasisikilize kabisa mawaidha ya wengine.

Rejea wimbo wa Starehe by Ferouz
 
Sina nia ya kuku attack personally mkuu. I am way above that. Kumradhi kama umehisi nimekuvaa kwa uandishi wako.

Nnachosema tu ni kwamba mwanaume kukataa sexual opportunities kutoka kwa wanawake wasio wako, either malaya or not, either kwa kutengeneza mahusiano kwanza or not, either one night stand or recurring, either kwa kununua, kununua bila kujua, kugharamia, kutunukiwa au kusetiwa.....

Hiyo ni vita ya kudumu. Kila mtu ana standards zake, na naheshimu zako mkuu. Unaweza usiamini ila hata sisi tunaokiri kuwahi kuanguka dhambini pia tumeshawakataa wengi kuliko tuliowakubali - na tunaendelea kufanya hivyo.

Ahsante kwaa uungwana na kuwa mkweli Kiongozi. Hata Mimi sijasema Niko na msimamo au immune kwenye hayo mapambano, ndio maana Kuna post nimemuomba mmoja wa wachangiaji atuombee sana wanaume. Hata sijaona kama Kuna mahali umenikosea au kwenda kinyume Kwa chochote kuhusu Mimi.
Naomba niweke sawa tu kwamba kulingana na hoja iliyopo mezani, jaribu la kuwawaza Hawa Malaya iwe Kwa kuonana nao au mtandaoni, halinisumbui sana. Sijasema kwamba hayo mambo hayanisumbui. Hiyo vita ukiishinda unakua ni the greatest leader of all times.

Bila shaka umenielewa Sasa.
 
Kinachonipa kinyaa nina waza kuwa Katoka kuliwa na watu zaidi ya 5 wewe unakuja inakuwa wa 6 dah hapana
Kuna msengé mmoja mpaka leo namchukia ilikuwa pande za Sansiro wote wawili tukamtokea malaya kwa wakati mmoja.

Yule malaya akaona akiingia na mmoja atampoteza mteja mwingine. Aktuambia wote tukamtombe kwa masharti twende tumlipe kila mmoja alipe bei ileile

Yule mjinga akakata eti hawezi kupiga mtungo wa kupokezana nikikumbukaga lile tukio huwa naumia sana ilikuwa tupige 3some siku ile

Kuna wanaume wana mambo ya ajabu kweli ushamba mwingi
 
Huyo huyo Suleiman mwenye wake 700 na masuria 300?
Baada ya kugundua yote ni ubatili mtupu.. Sawa na kujilisha upepo tu.

Ndio maana wayukreni wakishatoka tu kifuatacho majututoooo... Kufikiria haso uliyotumia na muamala wako umeishia kwenye kitu hakijai mkononi na dakika 2 tu tayari yowe zimekutokaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dah yahitajika neema kubwa sana hapa.
 
Kule baba sio poa kuna pisi ziko fine sana master, kalito anajua kazi zake. Wahudumu walikua wanavaa mitandio tu naona kuna tamko lilitoka huko juu, now kawavesha madera [emoji23][emoji23][emoji23]
Bei elekezi pale ngapi mkuu
 
Back
Top Bottom