Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Binadamu tulivyoumbwa, tunahitaji kupendwa, ni hitaji muhimu sana. Inafanya mtu ajisikie kuthaminiwa.
Ukipata nafasi ya kuonyesha upendo Kwa mtu, fanya hivyo.

Kuna wakati naweza kumpita mtu anahitaji msaada, ghafla natafakari, ingekua ni pisi Kali ningeipita? Angekua ni mtu naona naweza kunufaika nae Kwa lolote ningeipita? Hapo hapo narudi na kufanya kile unaona kitakua Cha msaada. Kama ni lift unampatia Hadi pale anapoenda na mwisho anakwambia ubarikiwe sana mwanangu.

Kama ni mtu alikua na mizigo unamsaidia kuibeba Hadi pale unapoweza, inakufanya unajisikia vizuri.

Kuna mambo mawili ntaongea Kwa kifupi sana Kwa kua lengo sio kujisifu ila naomba iwe kama kuwatia moyo wengine, Kuna baraka tunapishana nazo.

1. Nikiwa natoka international house, karibia na IT plazza nilimpita kijana na Mama wako pembeni barabarani, niliwatazama bila kusema chochote lakini roho ikanipa msisitizo niwarudie. Kiupufi Mama alikua na maumivu wametoka ocean road, nilibahatika kufanikisha usafiri na vitu vidogo ikiwepo dawa na Mwaka mmoja baadae kijana alinipigia kumshukuru na kunipa taarifa yule Mama alifariki.

2. Nipo maeneo ya mnazi mmoja baba kabeba mtoto na mkewe amebeba mizigo, unaona kabisa kama wametoka hospital na wanahangaika usafiri. Niliwasogelea nikawauliza wanaopenda, pembeni kulikua na tax, nikamwambia jamaa awapeleke.

3. Tulikua bank Moja nipo Kwa foleni nalipia ada watoto, Mara Mzee mmoja Yuko pembeni damu zinavyja anaonekana anamaumivu makali. Kumfuata kuongea nae kumbe alianguka akifuatilia mafao yake. Walikua wawili nikakabidhi pesa na slip Kwa mhudumu wa benki na kumwambia ntarejea niwapeleke hospital, nilipowakabidhi hospital na kywaachia mawasiliano endapo kiratokea kitu nikarudi zangu benk kumalizia mchakato.

Nnachotaka kususitiza huu mwaka unapoanza, tujitahidi kadri tupataponafasinkyinyesha upendo Kwa wengine hata Kwa sehem ndogo tu.
Nimetoa mfano kama kutia moyo na si kujisifu Kwa kua kama ni kujisifu, hivyo vyote ni vitu vidogo sana haifai hata kuvisema.

Niwatakie mwaka mpya wenye afya njema, mafanikio na Kila hitaji jema la mioyo yenu 2023!
Watu kama ninyi mpo wachache sana
 
Kuna Malaya halisi na Malaya kificho. Kununua malaya Kila mtu asiye muaminifu katika mauhusiano kafanya. Ama unaendeleaje kufanya kwa njia tofauti.
1. Unapokuwa na demu au mpz una mpa pesa baada ya game, hata kama hajakuomba. Ila suala la kukutana kwenu n kwaajili ya game tu
2. Au mpz wako kukupa game anakupa sharti umnunulie kitu fulani au umfanyie jambo fulani la kipesa.

Hapo unanunua huduma kwa Malaya kificho
 
Kuna Malaya halisi na Malaya kificho. Kununua malaya Kila mtu asiye muaminifu katika mauhusiano kafanya. Ama unaendeleaje kufanya kwa njia tofauti.
1. Unapokuwa na demu au mpz una mpa pesa baada ya game, hata kama hajakuomba. Ila suala la kukutana kwenu n kwaajili ya game tu
2. Au mpz wako kukupa game anakupa sharti umnunulie kitu fulani au umfanyie jambo fulani la kipesa.

Hapo unanunua huduma kwa Malaya kificho
Naam
 
Kuna mwaka nikiwa masomoni, nikashikwa na nyege balaa. Nikawaza nikaona njia rahisi ni kutafuta guest house na kabla ya kulipia nimuombe mhudumu aniunganishie malaya, akaniunganishia fresh.

Sasa huwa na tatizo la kuchelewa kukojoa endapo nitatumia condom. Nilimaliza condom 3 bila kukojoa na sikuwa na zingine. Hadi malaya akawa anataka niongeze hela.

Nikamuuliza Mara ya mwisho ulipima lini VVU? akasema wiki hiyo na alikuwa salama. Nikauza mechi aisee!

Baada ya siku tatu nikaanza kuhisi maumivu wakati wa haja ndogo plus usaha kwenye tundu la kitombeo. Nikaenda Kituo Cha afya nikaambiwa una gonorrhea, aisee nikajiuliza Kama Nina gono manake hata umeme utakuwepo! Nilidungwa sindano moja na nikapewa vidonge vichache.

Mziki ukabaki kusubiri miezi 3 ipite ili nikaangalie umeme Kama upo. Aisee nilikondaa hadi nikawa na uwezo wa kuhesabu mifupa ya mbavu. baada ya miezi 3 kupita nikapiama Niko poa. Hapo hapo nikaenda kubatiwa kwa maji mengi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka hapo mwisho...baada ya kubatizwa kwa maji mengi umeacha uzinzi?
 
Kama ungeenda clinic za CTC penye watu waliochoka wako kwenye ARV watakusimulia kwa majonzi kuwa na wao walikuwa wakidhani kama unavyosema.

Wapo waliokuwa na maisha mazuri waliokuwa wakaidi wasisikilize kabisa mawaidha ya wengine.

Rejea wimbo wa Starehe by Ferouz
Acha woga. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hata mimi kwasasa naelekea kushindwa kununua malaya,hasa wanaponikata stimu ni pale ambapo mbususu zao hazilowani baada ya kumchezea
Kuna vilainishi wanapaka mdau kabla ya game, hawana hisia pale ni kazikazi tu wataloa saa ngapi? kuna mmoja nilimchukua mguu kaubana kwenye ukuta ili nisi go deep. sasa kila nikimuweka sawa anaurudisha pale kwa ukuta anaukaza kweli. Mwishowe akaniambia kabisa inaumiza. Daah niliona huruma.
 
Kuna kipindi Niko chuo nikipata nyege hatar, nikatoka kwenda kusaka changu, nilifika kwenye pub Moja na Jamaa yangu tukamchek muhudumu wa kiume ambaye alikua kwenye jiko la chips anivutie changu nikampoza Jamaa na 3k. Basi Malaya kaja tukakubaliana 20k bao mbili show time, haoo akaniongoza kwa ndani ya ile pub Kuna vyumba vya kupangisha na pia kulikua na kachumba kadogo ka show time ndipo aliponipeleka uko. Ile naingia tu my God!!! Chumba kidogo, kina harufu Kali na Kuna kigodoro kidogo kichafuuu, nikamwambia apa apana chumba bei gan? Akasema 10k nikavuta 10k nikamwambia kalipie akaenda. Sasa bwana ile tumeingia chumban Malaya kavua suruali na chupi kwa pamoja nikasemaa leoo ndo Leo, bas nimepanda nae kitandan kashika nanilii yangu akasema ongeza 5k nikunyonye nikamwambia sawa basi akanipa blowjob, akaendelea nayo sasa akapiga deep throat mzee mzima nikazidiwa nikacheua vitu kwa mdomo wake aseee nilitukanwa tusi hata sijawah kulisikia ndo ilikua mara ya kwanza naliskia bas akaingia toilet ku safisha kinywa amerud nikaomba radhi nikambiwa "unakojo* apa unadhani choo hiki?? Bwanaangu ndo anaweza fanya ivyo" nikamwambia mbona nimekuomba radhi lkn, bas akanijibu "la kwanza ilo" nikamwambia sawa akatoa kondom kanivalisha kuingiza chin nimepiga kama tak* 4 kitu ikapasuka akaniskuma kwa nguvu akanikoromea "ukiingiza acha kuchomoa yote nje, we vipi" basi nikawa mpolee akanivalisha nyingine lakini nilitiana kwa hofu sana sikuez ata kukojoa akalalamika kama mara 3 mwisho wa cku akasepa zake. Baada ya apo kesho nikarud chuo, nilikaa kwa stress kubwa mnoo semester nzima, nikawa natoka majimaji kwenye abdala kichwa wazi nikaenda hospitali nikapewa dawa nikatumia kichwa kikawa kinatoaa maganda baada ya yale majimaji kukauka aseee Kila baada ya wiki 2 nikawa naenda kupima ngoma hospitali tofauti tofauti mpaka semester ikaisha, nimeanza semester ya pili baada ya mwezi tena nikapima nikawa Niko fresh sasa nikajiamini hapa Niko salama. Ila kipindi chote icho nlikua Sina rahaa kabisaa. Nikasemaa hiyo ndo itakua mara ya kwanza na ya mwisho kununua Malaya. Asee wazee achaneni kununua Malaya ukimwi upo !!!
Sasa haujaupata unatoaje ushuhuda?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom