Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

hivi inakuwaje nshai
Kuna mwaka nikiwa masomoni, nikashikwa na nyege balaa. Nikawaza nikaona njia rahisi ni kutafuta guest house na kabla ya kulipia nimuombe mhudumu aniunganishie malaya, akaniunganishia fresh.

Sasa huwa na tatizo la kuchelewa kukojoa endapo nitatumia condom. Nilimaliza condom 3 bila kukojoa na sikuwa na zingine. Hadi malaya akawa anataka niongeze hela.

Nikamuuliza Mara ya mwisho ulipima lini VVU? akasema wiki hiyo na alikuwa salama. Nikauza mechi aisee!

Baada ya siku tatu nikaanza kuhisi maumivu wakati wa haja ndogo plus usaha kwenye tundu la kitombeo. Nikaenda Kituo Cha afya nikaambiwa una gonorrhea, aisee nikajiuliza Kama Nina gono manake hata umeme utakuwepo! Nilidungwa sindano moja na nikapewa vidonge vichache.

Mziki ukabaki kusubiri miezi 3 ipite ili nikaangalie umeme Kama upo. Aisee nilikondaa hadi nikawa na uwezo wa kuhesabu mifupa ya mbavu. baada ya miezi 3 kupita nikapiama Niko poa. Hapo hapo nikaenda kubatizwa kwa maji mengi.
pa
Nimeacha. Na ikiyokea nyege zimenizidi maarifa lazima mtu apimwe na nitatumia condom zaidi ya 10 hadi nikojoe. Hakuna kuuza mechi kizembe hapa
nimeuza mechi kizembe week ilopita nikaanza kupata mafeeling ya gono lakini yamekata sasa siji mwil wangu una natural healng process au ndio iko dormant kwa muda
 
Sio wahudumu mkuu.Unaongea vzr na hao hao wahudumu wanakulengesha kwa pisi zinazolika bila hekaheka.
ila mkuu huwezi pata kazi nzuri kwa 10000. Angalau kuanzia 30000
Amenchekesha sn eti anataka pisi kali alafu ana la ten [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umeongea pointi chuo zilikuwa tabia zangu hizi naingia online naimbisha
.

Halafu hawa wadudu ukianza kuwala unapata uraibu kwakweli unakuwa addict[emoji1787]


Malaya 10000 lazima awe mbovu
Hapo hapo Telegram kuna malaya wazuri tu sema uandae japo 30k na umpate anayeanzia 60k au 50k wewe ndio umshushe mpk 30k, sasa mwamba ana la ten anataka pisi iweje, hata kama ilikuwa 2010 bado iyo pesa ni ndogo sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umenikumbusha mbali sana.
Tukio kama hilo lilinitokea Morogoro panapo mtandao wa kimalaya wa Hi 5. Kwenye picha alikuwa mtoto mdogo mrembo sana, alipokuja live ni jimama lina mabaka miguuni sijapata kuona. Mashine ilisinyaa ikazama hata sikuiona masaa kama mawili hata nisijue ilipoenda. Nilichokifanya nilijifanya naongea na simu nikaingia mitini... Shenzi kabisa malaya yule
 
Back
Top Bottom