Mnaoondoa mabampa ya Plastiki kwenye gari na kuweka ya Chuma au Ngao mnajitafutia kifo cha kujitakia!

Mnaoondoa mabampa ya Plastiki kwenye gari na kuweka ya Chuma au Ngao mnajitafutia kifo cha kujitakia!

Ni kweli uliyoelezea, lakini hii kanuni inafanya kazi kwenye mazingira ya speed ndogo. Ndiyo maana siku zote tunaambiwa ''speed kali inaua''. Ukiwa kwenye mwendo mkali, na uko kwenye gari ndogo kwa mfano, uvaane na lori, lile lori litakusanya vi-crumple zones vyako vyote pamoja na wewe na kukusagasaga. Nakuunga mkono, ila nazidi kusisitiza tuendeshe magari kwa mwendo wa kawaida.
Comment yangu Bora nyingine ni hii
 
Ni kweli uliyoelezea, lakini hii kanuni inafanya kazi kwenye mazingira ya speed ndogo. Ndiyo maana siku zote tunaambiwa ''speed kali inaua''. Ukiwa kwenye mwendo mkali, na uko kwenye gari ndogo kwa mfano, uvaane na lori, lile lori litakusanya vi-crumple zones vyako vyote pamoja na wewe na kukusagasaga. Nakuunga mkono, ila nazidi kusisitiza tuendeshe magari kwa mwendo wa kawaida.
Uko sahihi kuzingatiwa mwendo ni muhimu
 
Safi sana mkuu,
Wengine wanaweka machuma kupambana na Boda, guta, Bajaj daladal na misuguano kwenye foleni... hii imekaaje.

Ila Toyota sio gari kwenye ajal ukilinganisha na mzung... yani Toyota inasambaratika in pices.
Ndio maana nikasema hawaelewi,unapambana na guta au Boda maana yake unailinda zaidi gari yako kuliko wewe,ikitokea ajali ya kugongana ndio atajua kwamba hakuangalia usalama wake

Kuhusu Toyota zipo vizuri japo ukifanya ulinganifu wanaweza kuzidiwa uwezo hio ni kawaida,maana teknolojia zinatofautiana
 
Hili tulikuwa nalo home miaka ya 94 mpaka early 2000s. Brake na clutch unakanyaga mara tatu halafu kila siku inaisha brake fluid kama huna unachukua sabuni ya mche unaiweka kwenye maji ikiwa uji uji ukoroga lile rojo unaweka kitu kinatambaa tu. Hakuna services za sijui 3000kms. Oil unaongeza kila mara kwa sababu inavuja kila siku so lazima ipungue sio kuongeza eti imeisha kms. Siku ikipiga starter unaiona mpya maana mara nyingi ni kusukumwa likastuliwa. Ila lilikuwa linakula mzigo balaa likishindwa panda mlima kwa forward linapanda kwa reverse. Landrover 109 noma
Aisee hizi gari zilikuwa roho ya Paka
 
Airbag zinafunguka baada ya kishindo
Usidanganywe, kishindo hakifungui airbags, kuna sehemu zinatakiwa guswa ndio inafunguka, na hiyo sehemu imefunikwa na bumper fungua gari utaiona kupitia bonet
 
Usidanganywe, kishindo hakifungui airbags, kuna sehemu zinatakiwa guswa ndio inafunguka, na hiyo sehemu imefunikwa na bumper fungua gari utaiona kupitia bonet
Kwani sio automatic?Sasa utaigusa saa ngapi wakati ajali inatokea ghafla
 
Back
Top Bottom