Mnaoondoa mabampa ya Plastiki kwenye gari na kuweka ya Chuma au Ngao mnajitafutia kifo cha kujitakia!

Mnaoondoa mabampa ya Plastiki kwenye gari na kuweka ya Chuma au Ngao mnajitafutia kifo cha kujitakia!

Wakuu,

Kumekuwa na tabia ya wamiliki wa magari hasa magari binafsi kutoa mabampa(bumpers) ya mbele au nyuma na kuweka ya chuma wakiamini kwamba ndio gari itakuwa imara na Salama zaidi kama itapata ajali ya kugongana uso kwa uso au wakati mwingine wanaweka Ngao ya Chuma mbele wakiamini gari itakuwa ngumu na Salama kama itagonga mti au kitu kigumu lakini wanajidanganya,iko hivi;

Katika ajali,gari isiyovunjika au kukatika itakuwa ni majanga kwa abiria waliopo ndani.

Magari ya zama hizi yametengenezwa kuvunjika na kukatika vipande mbele na nyuma ili kupunguza nguvu ya mgongano(impact) kwa abiria waliopo ndani.

Hivyo gari zimetengenezwa katika mfumo wa 'crumple zones'(maeneo ya kuvunjikia) na hizi zipo mbele na nyuma na inaanzia pale ambapo bumpers za plastic zinaanzia,kwa mbele inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia injini,na nyuma pia inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia buti ya mzigo.

Pia bodi ya gari za sasa zimeungwa kwa vipande vya vyuma ambavyo hivi inapotokea impact huvunjika au kuchomoka kwa nje ili kunyonya(crumple) ile nguvu ya mgongano tofauti na gari za zamani ambazo bodi lilikuwa linaungwa na chuma linalounganisha gari nzima.

Kwahio bumpers zimewekwa laini ili gari inapogongana zivunjike au kupasuka na kuruhusu ile force iendelee kubomoa hizi crumple zones na wakati huohuo katika kuharibiwa ndio inayonya na kupunguza force kumfikia abiria ndani,kifupi hizo Bampa ni kama godoro linamzuia mtu aliyeanguka kutoka juu ya bati ambapo godoro ndio litabeba ile force aliyonayo muangukaji na hivyo kuzuia madhara kwake.

Kwahio unapoweka bumper la chuma au Ngao ni kwamba unazuia mchakato huu kufanyika na hivyo ile force ya mgongano moja kwa moja itakufikia wewe na kukuua.

Hii iliwekwa ili kuzuia kinetic energy kwa namna salama(Energy is force by distance) kwa hio ukiongeza distance unapunguza force.

Kwahio kunapotokea mgongano zile crumple zones zitapokea ile impact ya ajali na kuisafirisha katika maelfu ya viajali vidogo vidogo ili kupunguza ile nguvu ya mgongano mkuu kukufikia wewe uliyeko ndani kwa wakati mmoja.

Kwahio kila kipande cha bumper kilichopasuka au kila bati linalopinda jua limenyofoa ile nguvu ya ajali iliyokuwa ikufikie wewe,tofauti na hapo ile force ingekukuta wewe kama ilivyo.

Kanuni ya Fizikia inasema kwamba kama unaendesha kwa spidi ya 50 mph na ajali ikasababisha gari isimame ghafla,abiria aliyeko ndani ataendelea kusafiri kwa spidi ileile ya 50 mph.

Sasa hapa utaona jinsi ambavyo kama umeweka machuma ambavyo ni magumu ile force itakubamiza mbele kwa spidi gani kama uko 100 au 120,hapo ndio ule msemo wa utumbo kuchanganyika na maini utapokamilika au ubongo kupasuka kama ulifunga mkanda,na kama hukufunguka mkanda fikiria utaenda kutupwa kilomita ngapi kupitia kioo cha mbele kabla ya kufa.

Kwahio nashauri haya marekebisho ya kuweka chuma mbele muache,waliotengeza gari walipima ni namna gani gari itaumia ili kukulinda wewe uliyeko ndani ila wewe unataka uilinde gari isiumie bila kujali usalama wako.

Kama huamini fuatilia ajali za magari ya STK,STL nk, hasa za uso kwa uso uone ni wangapi huwa wanatoka salama,nyingi zimewekwa vyuma mbele.

Picha za maelezo zimeambatanishwa.

Asante.View attachment 2611618View attachment 2611619View attachment 2611620View attachment 2611621View attachment 2611622
Mada nzuri sana sana hii! Mungu akubariki
 
Wakuu,

Kumekuwa na tabia ya wamiliki wa magari hasa magari binafsi kutoa mabampa(bumpers) ya mbele au nyuma na kuweka ya chuma wakiamini kwamba ndio gari itakuwa imara na Salama zaidi kama itapata ajali ya kugongana uso kwa uso au wakati mwingine wanaweka Ngao ya Chuma mbele wakiamini gari itakuwa ngumu na Salama kama itagonga mti au kitu kigumu lakini wanajidanganya,iko hivi;

Katika ajali,gari isiyovunjika au kukatika itakuwa ni majanga kwa abiria waliopo ndani.

Magari ya zama hizi yametengenezwa kuvunjika na kukatika vipande mbele na nyuma ili kupunguza nguvu ya mgongano(impact) kwa abiria waliopo ndani.

Hivyo gari zimetengenezwa katika mfumo wa 'crumple zones'(maeneo ya kuvunjikia) na hizi zipo mbele na nyuma na inaanzia pale ambapo bumpers za plastic zinaanzia,kwa mbele inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia injini,na nyuma pia inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia buti ya mzigo.

Pia bodi ya gari za sasa zimeungwa kwa vipande vya vyuma ambavyo hivi inapotokea impact huvunjika au kuchomoka kwa nje ili kunyonya(crumple) ile nguvu ya mgongano tofauti na gari za zamani ambazo bodi lilikuwa linaungwa na chuma linalounganisha gari nzima.

Kwahio bumpers zimewekwa laini ili gari inapogongana zivunjike au kupasuka na kuruhusu ile force iendelee kubomoa hizi crumple zones na wakati huohuo katika kuharibiwa ndio inayonya na kupunguza force kumfikia abiria ndani,kifupi hizo Bampa ni kama godoro linamzuia mtu aliyeanguka kutoka juu ya bati ambapo godoro ndio litabeba ile force aliyonayo muangukaji na hivyo kuzuia madhara kwake.

Kwahio unapoweka bumper la chuma au Ngao ni kwamba unazuia mchakato huu kufanyika na hivyo ile force ya mgongano moja kwa moja itakufikia wewe na kukuua.

Hii iliwekwa ili kuzuia kinetic energy kwa namna salama(Energy is force by distance) kwa hio ukiongeza distance unapunguza force.

Kwahio kunapotokea mgongano zile crumple zones zitapokea ile impact ya ajali na kuisafirisha katika maelfu ya viajali vidogo vidogo ili kupunguza ile nguvu ya mgongano mkuu kukufikia wewe uliyeko ndani kwa wakati mmoja.

Kwahio kila kipande cha bumper kilichopasuka au kila bati linalopinda jua limenyofoa ile nguvu ya ajali iliyokuwa ikufikie wewe,tofauti na hapo ile force ingekukuta wewe kama ilivyo.

Kanuni ya Fizikia inasema kwamba kama unaendesha kwa spidi ya 50 mph na ajali ikasababisha gari isimame ghafla,abiria aliyeko ndani ataendelea kusafiri kwa spidi ileile ya 50 mph.

Sasa hapa utaona jinsi ambavyo kama umeweka machuma ambavyo ni magumu ile force itakubamiza mbele kwa spidi gani kama uko 100 au 120,hapo ndio ule msemo wa utumbo kuchanganyika na maini utapokamilika au ubongo kupasuka kama ulifunga mkanda,na kama hukufunguka mkanda fikiria utaenda kutupwa kilomita ngapi kupitia kioo cha mbele kabla ya kufa.

Kwahio nashauri haya marekebisho ya kuweka chuma mbele muache,waliotengeza gari walipima ni namna gani gari itaumia ili kukulinda wewe uliyeko ndani ila wewe unataka uilinde gari isiumie bila kujali usalama wako.

Kama huamini fuatilia ajali za magari ya STK,STL nk, hasa za uso kwa uso uone ni wangapi huwa wanatoka salama,nyingi zimewekwa vyuma mbele.

Picha za maelezo zimeambatanishwa.

Asante.View attachment 2611618uko sahihi sana,ila sijaelewa hapo,,energy is what?.....
 
Ila ajali za nchi zetu kuchomoka ni nadra sana
Sheria hazifuatwi kabisa, na signs za barabarani hakuna utafikiri hakuna serikali kabisa huko
 
Wakuu,

Kumekuwa na tabia ya wamiliki wa magari hasa magari binafsi kutoa mabampa(bumpers) ya mbele au nyuma na kuweka ya chuma wakiamini kwamba ndio gari itakuwa imara na Salama zaidi kama itapata ajali ya kugongana uso kwa uso au wakati mwingine wanaweka Ngao ya Chuma mbele wakiamini gari itakuwa ngumu na Salama kama itagonga mti au kitu kigumu lakini wanajidanganya,iko hivi;

Katika ajali,gari isiyovunjika au kukatika itakuwa ni majanga kwa abiria waliopo ndani.

Magari ya zama hizi yametengenezwa kuvunjika na kukatika vipande mbele na nyuma ili kupunguza nguvu ya mgongano(impact) kwa abiria waliopo ndani.

Hivyo gari zimetengenezwa katika mfumo wa 'crumple zones'(maeneo ya kuvunjikia) na hizi zipo mbele na nyuma na inaanzia pale ambapo bumpers za plastic zinaanzia,kwa mbele inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia injini,na nyuma pia inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia buti ya mzigo.

Pia bodi ya gari za sasa zimeungwa kwa vipande vya vyuma ambavyo hivi inapotokea impact huvunjika au kuchomoka kwa nje ili kunyonya(crumple) ile nguvu ya mgongano tofauti na gari za zamani ambazo bodi lilikuwa linaungwa na chuma linalounganisha gari nzima.

Kwahio bumpers zimewekwa laini ili gari inapogongana zivunjike au kupasuka na kuruhusu ile force iendelee kubomoa hizi crumple zones na wakati huohuo katika kuharibiwa ndio inayonya na kupunguza force kumfikia abiria ndani,kifupi hizo Bampa ni kama godoro linamzuia mtu aliyeanguka kutoka juu ya bati ambapo godoro ndio litabeba ile force aliyonayo muangukaji na hivyo kuzuia madhara kwake.

Kwahio unapoweka bumper la chuma au Ngao ni kwamba unazuia mchakato huu kufanyika na hivyo ile force ya mgongano moja kwa moja itakufikia wewe na kukuua.

Hii iliwekwa ili kuzuia kinetic energy kwa namna salama(Energy is force by distance) kwa hio ukiongeza distance unapunguza force.

Kwahio kunapotokea mgongano zile crumple zones zitapokea ile impact ya ajali na kuisafirisha katika maelfu ya viajali vidogo vidogo ili kupunguza ile nguvu ya mgongano mkuu kukufikia wewe uliyeko ndani kwa wakati mmoja.

Kwahio kila kipande cha bumper kilichopasuka au kila bati linalopinda jua limenyofoa ile nguvu ya ajali iliyokuwa ikufikie wewe,tofauti na hapo ile force ingekukuta wewe kama ilivyo.

Kanuni ya Fizikia inasema kwamba kama unaendesha kwa spidi ya 50 mph na ajali ikasababisha gari isimame ghafla,abiria aliyeko ndani ataendelea kusafiri kwa spidi ileile ya 50 mph.

Sasa hapa utaona jinsi ambavyo kama umeweka machuma ambavyo ni magumu ile force itakubamiza mbele kwa spidi gani kama uko 100 Kph au 120 kph,hapo ndio ule msemo wa utumbo kuchanganyika na maini utapokamilika au ubongo kupasuka kama ulifunga mkanda,na kama hukufunguka mkanda fikiria utaenda kutupwa kilomita ngapi kupitia kioo cha mbele kabla ya kufa.

Kwahio nashauri haya marekebisho ya kuweka chuma mbele muache,waliotengeza gari walipima ni namna gani gari itaumia ili kukulinda wewe uliyeko ndani ila wewe unataka uilinde gari isiumie bila kujali usalama wako.

Kama huamini fuatilia ajali za magari ya STK,STL nk, hasa za uso kwa uso uone ni wangapi huwa wanatoka salama,nyingi zimewekwa vyuma mbele.

Picha za maelezo zimeambatanishwa.

Asante.View attachment 2611618View attachment 2611619View attachment 2611620View attachment 2611621View attachment 2611622

Mkuu uko sahihi ila umesahau kitu kimoja, picha hapo juu ni crash impact kwenye max speed 60km/hr au 100. Sasa ajali unazoona nyingi, speed wako zaidi ya 140km/hr, impact yake so mchezo
 
Mkuu uko sahihi ila umesahau kitu kimoja, picha hapo juu ni crash impact kwenye max speed 60km/hr au 100. Sasa ajali unazoona nyingi, speed wako zaidi ya 140km/hr, impact yake so mchezo
Ni kweli kuzingatia mwendo ni muhimu,sio kwamba ndio kinga kabisa,ukiwa hizo speed uwezekano wa kutoka hai ni mdogo
 
Wakuu,

Kumekuwa na tabia ya wamiliki wa magari hasa magari binafsi kutoa mabampa(bumpers) ya mbele au nyuma na kuweka ya chuma wakiamini kwamba ndio gari itakuwa imara na Salama zaidi kama itapata ajali ya kugongana uso kwa uso au wakati mwingine wanaweka Ngao ya Chuma mbele wakiamini gari itakuwa ngumu na Salama kama itagonga mti au kitu kigumu lakini wanajidanganya,iko hivi;

Katika ajali,gari isiyovunjika au kukatika itakuwa ni majanga kwa abiria waliopo ndani.

Magari ya zama hizi yametengenezwa kuvunjika na kukatika vipande mbele na nyuma ili kupunguza nguvu ya mgongano(impact) kwa abiria waliopo ndani.

Hivyo gari zimetengenezwa katika mfumo wa 'crumple zones'(maeneo ya kuvunjikia) na hizi zipo mbele na nyuma na inaanzia pale ambapo bumpers za plastic zinaanzia,kwa mbele inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia injini,na nyuma pia inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia buti ya mzigo.

Pia bodi ya gari za sasa zimeungwa kwa vipande vya vyuma ambavyo hivi inapotokea impact huvunjika au kuchomoka kwa nje ili kunyonya(crumple) ile nguvu ya mgongano tofauti na gari za zamani ambazo bodi lilikuwa linaungwa na chuma linalounganisha gari nzima.

Kwahio bumpers zimewekwa laini ili gari inapogongana zivunjike au kupasuka na kuruhusu ile force iendelee kubomoa hizi crumple zones na wakati huohuo katika kuharibiwa ndio inayonya na kupunguza force kumfikia abiria ndani,kifupi hizo Bampa ni kama godoro linamzuia mtu aliyeanguka kutoka juu ya bati ambapo godoro ndio litabeba ile force aliyonayo muangukaji na hivyo kuzuia madhara kwake.

Kwahio unapoweka bumper la chuma au Ngao ni kwamba unazuia mchakato huu kufanyika na hivyo ile force ya mgongano moja kwa moja itakufikia wewe na kukuua.

Hii iliwekwa ili kuzuia kinetic energy kwa namna salama(Energy is force by distance) kwa hio ukiongeza distance unapunguza force.

Kwahio kunapotokea mgongano zile crumple zones zitapokea ile impact ya ajali na kuisafirisha katika maelfu ya viajali vidogo vidogo ili kupunguza ile nguvu ya mgongano mkuu kukufikia wewe uliyeko ndani kwa wakati mmoja.

Kwahio kila kipande cha bumper kilichopasuka au kila bati linalopinda jua limenyofoa ile nguvu ya ajali iliyokuwa ikufikie wewe,tofauti na hapo ile force ingekukuta wewe kama ilivyo.

Kanuni ya Fizikia inasema kwamba kama unaendesha kwa spidi ya 50 mph na ajali ikasababisha gari isimame ghafla,abiria aliyeko ndani ataendelea kusafiri kwa spidi ileile ya 50 mph.

Sasa hapa utaona jinsi ambavyo kama umeweka machuma ambavyo ni magumu ile force itakubamiza mbele kwa spidi gani kama uko 100 Kph au 120 kph,hapo ndio ule msemo wa utumbo kuchanganyika na maini utapokamilika au ubongo kupasuka kama ulifunga mkanda,na kama hukufunguka mkanda fikiria utaenda kutupwa kilomita ngapi kupitia kioo cha mbele kabla ya kufa.

Kwahio nashauri haya marekebisho ya kuweka chuma mbele muache,waliotengeza gari walipima ni namna gani gari itaumia ili kukulinda wewe uliyeko ndani ila wewe unataka uilinde gari isiumie bila kujali usalama wako.

Kama huamini fuatilia ajali za magari ya STK,STL nk, hasa za uso kwa uso uone ni wangapi huwa wanatoka salama,nyingi zimewekwa vyuma mbele.

Picha za maelezo zimeambatanishwa.

Asante.View attachment 2611618View attachment 2611619View attachment 2611620View attachment 2611621View attachment 2611622
Zipo dawa za kukuzuia wewe mwenye gari usipatwe na ajali yoyote ile maishani mwako kwa mtu mwenye kutaka anitafute kwa wakati wake ili niweze kumpa hiyo dawa..
 
Wakuu,

Kumekuwa na tabia ya wamiliki wa magari hasa magari binafsi kutoa mabampa(bumpers) ya mbele au nyuma na kuweka ya chuma wakiamini kwamba ndio gari itakuwa imara na Salama zaidi kama itapata ajali ya kugongana uso kwa uso au wakati mwingine wanaweka Ngao ya Chuma mbele wakiamini gari itakuwa ngumu na Salama kama itagonga mti au kitu kigumu lakini wanajidanganya,iko hivi;

Katika ajali,gari isiyovunjika au kukatika itakuwa ni majanga kwa abiria waliopo ndani.

Magari ya zama hizi yametengenezwa kuvunjika na kukatika vipande mbele na nyuma ili kupunguza nguvu ya mgongano(impact) kwa abiria waliopo ndani.

Hivyo gari zimetengenezwa katika mfumo wa 'crumple zones'(maeneo ya kuvunjikia) na hizi zipo mbele na nyuma na inaanzia pale ambapo bumpers za plastic zinaanzia,kwa mbele inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia injini,na nyuma pia inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia buti ya mzigo.

Pia bodi ya gari za sasa zimeungwa kwa vipande vya vyuma ambavyo hivi inapotokea impact huvunjika au kuchomoka kwa nje ili kunyonya(crumple) ile nguvu ya mgongano tofauti na gari za zamani ambazo bodi lilikuwa linaungwa na chuma linalounganisha gari nzima.

Kwahio bumpers zimewekwa laini ili gari inapogongana zivunjike au kupasuka na kuruhusu ile force iendelee kubomoa hizi crumple zones na wakati huohuo katika kuharibiwa ndio inayonya na kupunguza force kumfikia abiria ndani,kifupi hizo Bampa ni kama godoro linamzuia mtu aliyeanguka kutoka juu ya bati ambapo godoro ndio litabeba ile force aliyonayo muangukaji na hivyo kuzuia madhara kwake.

Kwahio unapoweka bumper la chuma au Ngao ni kwamba unazuia mchakato huu kufanyika na hivyo ile force ya mgongano moja kwa moja itakufikia wewe na kukuua.

Hii iliwekwa ili kuzuia kinetic energy kwa namna salama(Energy is force by distance) kwa hio ukiongeza distance unapunguza force.

Kwahio kunapotokea mgongano zile crumple zones zitapokea ile impact ya ajali na kuisafirisha katika maelfu ya viajali vidogo vidogo ili kupunguza ile nguvu ya mgongano mkuu kukufikia wewe uliyeko ndani kwa wakati mmoja.

Kwahio kila kipande cha bumper kilichopasuka au kila bati linalopinda jua limenyofoa ile nguvu ya ajali iliyokuwa ikufikie wewe,tofauti na hapo ile force ingekukuta wewe kama ilivyo.

Kanuni ya Fizikia inasema kwamba kama unaendesha kwa spidi ya 50 mph na ajali ikasababisha gari isimame ghafla,abiria aliyeko ndani ataendelea kusafiri kwa spidi ileile ya 50 mph.

Sasa hapa utaona jinsi ambavyo kama umeweka machuma ambavyo ni magumu ile force itakubamiza mbele kwa spidi gani kama uko 100 Kph au 120 kph,hapo ndio ule msemo wa utumbo kuchanganyika na maini utapokamilika au ubongo kupasuka kama ulifunga mkanda,na kama hukufunguka mkanda fikiria utaenda kutupwa kilomita ngapi kupitia kioo cha mbele kabla ya kufa.

Kwahio nashauri haya marekebisho ya kuweka chuma mbele muache,waliotengeza gari walipima ni namna gani gari itaumia ili kukulinda wewe uliyeko ndani ila wewe unataka uilinde gari isiumie bila kujali usalama wako.

Kama huamini fuatilia ajali za magari ya STK,STL nk, hasa za uso kwa uso uone ni wangapi huwa wanatoka salama,nyingi zimewekwa vyuma mbele.

Picha za maelezo zimeambatanishwa.

Asante.View attachment 2611618View attachment 2611619View attachment 2611620View attachment 2611621View attachment 2611622
Uko sahihi sana mkuu.. naongezae na kingine juu ya hoja yako.. UZITO WA GARI.. gari unapoongeza uzito unazidi kupunguza efficiency yake. Unaongeza chuma karibu kilo 50 hadi 60 na bado hujabeba abiria.. kwakweli ni ukosefu wa habari na hawa manufacturers/watengenezaji wanajua wanachokifanya 100%.
Pia kwenye suala la ajali kuongezea zaidi ni kwamba unaweza gonga hata mti kwa spidi ndogo ila ikaleta damage kubwa maana crumple zone yote ipo rigid/ni ngumu sababu ya machuma ikapelekea gari ndogo kupinda kama fuso iliyokata center bolt.. inatembea kiupande upande kama geagea/crabs.
Tuwaamini watengenezaji,kuna wanayokosea ila wana maana kubwa sana kushift kutoka bumper za chuma kama kwenye Peugeot 504 na kuweka plastic. Hizi ni hatua za usalama wa mtumiaji wa chombo

Ahsante
 
vijana waliokulia dar watahisi ni uzushi
Vijana waliokulia mjini Dar wengi wao ni washamba hawajuwi kitu na ndio kila kitu wanakiiga wakisikia na mpaka sasa wanaiga mambo ya ushoga wapi na wapi na vijana wa Dar? Haswa Vijana wanaopenda kuiga ni wale vijana waliozaliwa kuanzia mwaka 2000.
 
Wakuu,

Kumekuwa na tabia ya wamiliki wa magari hasa magari binafsi kutoa mabampa(bumpers) ya mbele au nyuma na kuweka ya chuma wakiamini kwamba ndio gari itakuwa imara na Salama zaidi kama itapata ajali ya kugongana uso kwa uso au wakati mwingine wanaweka Ngao ya Chuma mbele wakiamini gari itakuwa ngumu na Salama kama itagonga mti au kitu kigumu lakini wanajidanganya,iko hivi;

Katika ajali,gari isiyovunjika au kukatika itakuwa ni majanga kwa abiria waliopo ndani.

Magari ya zama hizi yametengenezwa kuvunjika na kukatika vipande mbele na nyuma ili kupunguza nguvu ya mgongano(impact) kwa abiria waliopo ndani.

Hivyo gari zimetengenezwa katika mfumo wa 'crumple zones'(maeneo ya kuvunjikia) na hizi zipo mbele na nyuma na inaanzia pale ambapo bumpers za plastic zinaanzia,kwa mbele inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia injini,na nyuma pia inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia buti ya mzigo.

Pia bodi ya gari za sasa zimeungwa kwa vipande vya vyuma ambavyo hivi inapotokea impact huvunjika au kuchomoka kwa nje ili kunyonya(crumple) ile nguvu ya mgongano tofauti na gari za zamani ambazo bodi lilikuwa linaungwa na chuma linalounganisha gari nzima.

Kwahio bumpers zimewekwa laini ili gari inapogongana zivunjike au kupasuka na kuruhusu ile force iendelee kubomoa hizi crumple zones na wakati huohuo katika kuharibiwa ndio inayonya na kupunguza force kumfikia abiria ndani,kifupi hizo Bampa ni kama godoro linamzuia mtu aliyeanguka kutoka juu ya bati ambapo godoro ndio litabeba ile force aliyonayo muangukaji na hivyo kuzuia madhara kwake.

Kwahio unapoweka bumper la chuma au Ngao ni kwamba unazuia mchakato huu kufanyika na hivyo ile force ya mgongano moja kwa moja itakufikia wewe na kukuua.

Hii iliwekwa ili kuzuia kinetic energy kwa namna salama(Energy is force by distance) kwa hio ukiongeza distance unapunguza force.

Kwahio kunapotokea mgongano zile crumple zones zitapokea ile impact ya ajali na kuisafirisha katika maelfu ya viajali vidogo vidogo ili kupunguza ile nguvu ya mgongano mkuu kukufikia wewe uliyeko ndani kwa wakati mmoja.

Kwahio kila kipande cha bumper kilichopasuka au kila bati linalopinda jua limenyofoa ile nguvu ya ajali iliyokuwa ikufikie wewe,tofauti na hapo ile force ingekukuta wewe kama ilivyo.

Kanuni ya Fizikia inasema kwamba kama unaendesha kwa spidi ya 50 mph na ajali ikasababisha gari isimame ghafla,abiria aliyeko ndani ataendelea kusafiri kwa spidi ileile ya 50 mph.

Sasa hapa utaona jinsi ambavyo kama umeweka machuma ambavyo ni magumu ile force itakubamiza mbele kwa spidi gani kama uko 100 Kph au 120 kph,hapo ndio ule msemo wa utumbo kuchanganyika na maini utapokamilika au ubongo kupasuka kama ulifunga mkanda,na kama hukufunguka mkanda fikiria utaenda kutupwa kilomita ngapi kupitia kioo cha mbele kabla ya kufa.

Kwahio nashauri haya marekebisho ya kuweka chuma mbele muache,waliotengeza gari walipima ni namna gani gari itaumia ili kukulinda wewe uliyeko ndani ila wewe unataka uilinde gari isiumie bila kujali usalama wako.

Kama huamini fuatilia ajali za magari ya STK,STL nk, hasa za uso kwa uso uone ni wangapi huwa wanatoka salama,nyingi zimewekwa vyuma mbele.

Picha za maelezo zimeambatanishwa.

Asante.View attachment 2611618View attachment 2611619View attachment 2611620View attachment 2611621View attachment 2611622
Asante sana mkuu upo vizuri sana
 
Wakuu,

Kumekuwa na tabia ya wamiliki wa magari hasa magari binafsi kutoa mabampa(bumpers) ya mbele au nyuma na kuweka ya chuma wakiamini kwamba ndio gari itakuwa imara na Salama zaidi kama itapata ajali ya kugongana uso kwa uso au wakati mwingine wanaweka Ngao ya Chuma mbele wakiamini gari itakuwa ngumu na Salama kama itagonga mti au kitu kigumu lakini wanajidanganya,iko hivi;

Katika ajali,gari isiyovunjika au kukatika itakuwa ni majanga kwa abiria waliopo ndani.

Magari ya zama hizi yametengenezwa kuvunjika na kukatika vipande mbele na nyuma ili kupunguza nguvu ya mgongano(impact) kwa abiria waliopo ndani.

Hivyo gari zimetengenezwa katika mfumo wa 'crumple zones'(maeneo ya kuvunjikia) na hizi zipo mbele na nyuma na inaanzia pale ambapo bumpers za plastic zinaanzia,kwa mbele inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia injini,na nyuma pia inaanzia kwenye bumper mpaka inapoishia buti ya mzigo.

Pia bodi ya gari za sasa zimeungwa kwa vipande vya vyuma ambavyo hivi inapotokea impact huvunjika au kuchomoka kwa nje ili kunyonya(crumple) ile nguvu ya mgongano tofauti na gari za zamani ambazo bodi lilikuwa linaungwa na chuma linalounganisha gari nzima.

Kwahio bumpers zimewekwa laini ili gari inapogongana zivunjike au kupasuka na kuruhusu ile force iendelee kubomoa hizi crumple zones na wakati huohuo katika kuharibiwa ndio inayonya na kupunguza force kumfikia abiria ndani,kifupi hizo Bampa ni kama godoro linamzuia mtu aliyeanguka kutoka juu ya bati ambapo godoro ndio litabeba ile force aliyonayo muangukaji na hivyo kuzuia madhara kwake.

Kwahio unapoweka bumper la chuma au Ngao ni kwamba unazuia mchakato huu kufanyika na hivyo ile force ya mgongano moja kwa moja itakufikia wewe na kukuua.

Hii iliwekwa ili kuzuia kinetic energy kwa namna salama(Energy is force by distance) kwa hio ukiongeza distance unapunguza force.

Kwahio kunapotokea mgongano zile crumple zones zitapokea ile impact ya ajali na kuisafirisha katika maelfu ya viajali vidogo vidogo ili kupunguza ile nguvu ya mgongano mkuu kukufikia wewe uliyeko ndani kwa wakati mmoja.

Kwahio kila kipande cha bumper kilichopasuka au kila bati linalopinda jua limenyofoa ile nguvu ya ajali iliyokuwa ikufikie wewe,tofauti na hapo ile force ingekukuta wewe kama ilivyo.

Kanuni ya Fizikia inasema kwamba kama unaendesha kwa spidi ya 50 mph na ajali ikasababisha gari isimame ghafla,abiria aliyeko ndani ataendelea kusafiri kwa spidi ileile ya 50 mph.

Sasa hapa utaona jinsi ambavyo kama umeweka machuma ambavyo ni magumu ile force itakubamiza mbele kwa spidi gani kama uko 100 Kph au 120 kph,hapo ndio ule msemo wa utumbo kuchanganyika na maini utapokamilika au ubongo kupasuka kama ulifunga mkanda,na kama hukufunguka mkanda fikiria utaenda kutupwa kilomita ngapi kupitia kioo cha mbele kabla ya kufa.

Kwahio nashauri haya marekebisho ya kuweka chuma mbele muache,waliotengeza gari walipima ni namna gani gari itaumia ili kukulinda wewe uliyeko ndani ila wewe unataka uilinde gari isiumie bila kujali usalama wako.

Kama huamini fuatilia ajali za magari ya STK,STL nk, hasa za uso kwa uso uone ni wangapi huwa wanatoka salama,nyingi zimewekwa vyuma mbele.

Picha za maelezo zimeambatanishwa.

Asante.View attachment 2611618View attachment 2611619View attachment 2611620View attachment 2611621View attachment 2611622
Wabongo wanafikiri wazungu ni wajinga wale watu wanaakiri sana ukiangalia zile bampers zilivyowekwa yaani unajua kabisa aliyefikiria vile ni genius kabisa yaani hata mshindo kidogo tu lile bamper ndio la kwanza kutoka na kupasuka nati zake ni za plastic kabisa..
 
Back
Top Bottom