Mnaopata kiungulia kila Ripoti ya CAG ikitolewa oneni madudu yanayotokea kwenye nchi za wazungu

Mnaopata kiungulia kila Ripoti ya CAG ikitolewa oneni madudu yanayotokea kwenye nchi za wazungu

Wewe unaprove theory ya Evolution of a Man by Charles Darwin.
 
Marekani ina sheria na mfumo imara sana wa Whistleblowers kuripoti jambo lolote linaloonekena ni ufisadi katika sekta ya ulinzi na intelligence, wana hadi mahakama za siri kwa sekta hizi kama ni jambo ambalo linaonekana litahatarisha usalama wa taifa kujadiliwa na kuamuliwa hadharani.
Ubadhirifu unaweza usihatarishe usalama wa taifa, maana wanaonufaika na hizo hela ni matajiri wa Marekani
 
Aisee. Yaani tujilinganishe na USA ili tusijisikie inferior kwa wizi na ufisadi tunaofanya? So, that’s how bad it feels.

What you’ve been smoking lad?
Sasa mlitaka mjilinganishe na nani? Maana siasa zenu na uchumi wenu ni facsimile ya mfumo wa Kiliberali wa mmarekani
 
Subiri povu kutoka kwa wamarekani weusi wa Nzega,


Ila kosa moja halihalalishi kosa lingine,
Kukosea kwetu hakuwezi kua ni halali au ikubalike kisa tu eti kuna wengine pia nao wanakosea.
 
Si bora hao angalau wame onesha kuna shida fulani. Na kiwango cha pesa kukitaja. Njoo nyumbani Tanzania. Uliisha ona CAG ktk ripoti zake akiitaja wizara ya ulinzi? Au command za JW achilia mbali wizara ya mambo ya ndani, magereza, police, uhamiaji n. k
 
Back
Top Bottom