Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Ahaaaaaa soma kitabu kinachoitwa kijiji kisicho na makaburi. Hata ulipwe elfu 15 kwa mwezi unatoboa mwezi ujao ukiwa na balance
Oneni hizi chupli chupli za huyu jamaa..

Anasema elfu 15 kwa mwezi unatoboa..wtf
 
Kwa matumizi yangu 1.3 siku 5 haifiki kabisaa hebu wewe sema unakaanayo vp mpaka wiki 2?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…