Pre GE2025 Mnaorekebisha kauli za Rais na kusema amenukuliwa vibaya safari hii mmechelewa sana, wanaostahili walipwe fidia zao

Pre GE2025 Mnaorekebisha kauli za Rais na kusema amenukuliwa vibaya safari hii mmechelewa sana, wanaostahili walipwe fidia zao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mheshimiwa amenukuliwa vibaya, anapotoshwa sana.
CC: ChoiceVariable, Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa na wajakazi wengine.
actually,
mpaka sasa hakuna athari zozote kiutendaji au kisiasa kwa kiongozi wetu kipenzi Cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan, na kwakweli hakuna hatari ya wala kitisho cha athari zozote kwa chama na serikali sikivu ya CCM kwa siku zijazo pia..

shukrani nyingi sana kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla wao, kwa kuwapuuza na kutowazingatia wapotoshaji wenye nia ovu kwa maslahi yao binafsi kisiasa 🐒

Thank you very much Tanzanians..
 
actually,
mpaka sasa hakuna athari zozote kiutendaji au kisiasa kwa kiongozi wetu kipenzi Cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan, na kwakweli hakuna hatari ya wala kitisho cha athari zozote kwa chama na serikali sikivu ya CCM kwa siku zijazo pia..

shukrani nyingi sana kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla wao, kwa kuwapuuza na kutowazingatia wapotoshaji wenye nia ovu kwa maslahi yao binafsi kisiasa 🐒

Thank you very much Tanzanians..
Hongereni sana machawa, japo hili mlichelewa kulitolea ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom