Hivi kuna haja gani ya kulizungumzia hili kila mara, Sheria za mipango miji zinasemaje? Tukizifuata sheria tutafanikiwa katika hili, Lakini tukiangalia nani alisema ni nini itakatika miaka na miaka bila kupata suluhu ya machinga.
Sent from my SM-A013G using
JamiiForums mobile app