Mnaosema kuwa hakuna mchawi anayeweza kuiba Bank mnajidanganya

Mnaosema kuwa hakuna mchawi anayeweza kuiba Bank mnajidanganya

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.

Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.

Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
 
Asikudanganye mtu, hakuna mtu yeyote anaeridhika na kidogo ikiwa ana uwezo wa kupata kikubwa.

Hakuna uzalendo kwenye ufukara.

Tofautisha uhalisia na kiini macho. Mzee wako kakuonyesha mazingaombwe mawili ndio ushamuona yesu wa kutembea juu ya maji.

Mwambie ajitusue na majini yake aende hata tawi dogo tu la bank aone atakavyochezea za matako😂
 
Hivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.

Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.

Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
hao wachawi unao wajua ww ni wa rank ya chini kabisa kama sio ya mwisho ndo maana ni masikini
 
huyu ni msomi kabisa huwezi amini!
Msomi peke ninaemwelewa ni nyerere tu ambae kachapisha vitabu kadhaa,sisi wasomi wa leo graduate hata kitabu cha kurasa kumi kutungua hatuwezi!

Lakini huyo nyerere yeye alifanyiwa zindiko la nchi HII itulie na huo Mwenge ukaibuka HADI leo!Na USOMI wake wote wa seminarini alikubali FIKA kua hawezi ku aply usomi kwenye mambo yasiyohitaji usomi!!!!

Tafuta wazee wakuambie,tusijifanye wasomi wa mchongo!!!!

Uchawi imeandikwa HADI kwenye vitabu tunavyoamini ndio uje ubishe KWAmba haupo!!?
 
Huyu mleta uzi unaweza kukuta ni mke wa mtu na kiongozi wa familia au vikoba huko kwao
 
Back
Top Bottom