Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.
Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.
Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
Hivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.
Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.
Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
Mkuu sheikh ambaye watoto wake wameslim hapo umeniacha njia panda maana sheikh kawaida inategemewa watoto wake wawe waislamHivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.
Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.
Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
Sawa mkuu! Eti kutoja liwale hadi World Bank! Mkuu sasa nadhani dish limecheza!Hivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.
Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.
Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
Uko wapi uchawi? Naomba uniroge au utafute wa kuniroga kisha nimlipe pesaMsomi peke ninaemwelewa ni nyerere tu ambae kachapisha vitabu kadhaa,sisi wasomi wa leo graduate hata kitabu cha kurasa kumi kutungua hatuwezi!
Lakini huyo nyerere yeye alifanyiwa zindiko la nchi HII itulie na huo Mwenge ukaibuka HADI leo!Na USOMI wake wote wa seminarini alikubali FIKA kua hawezi ku aply usomi kwenye mambo yasiyohitaji usomi!!!!
Tafuta wazee wakuambie,tusijifanye wasomi wa mchongo!!!!
Uchawi imeandikwa HADI kwenye vitabu tunavyoamini ndio uje ubishe KWAmba haupo!!?
Mimi nataka mchawi ambaye ataweza kunibadili jinsia,
Sheikh ambaye watoto wake wamesilimu!! Kivipi?Hivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.
Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.
Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
Wewe hujasilimu Bali umeritadi kwenda kwenye ukafiri.Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa
Hiyo tu unbalanced attitude uliyonayo ni ulozi tosha!!!Uko wapi uchawi? Naomba uniroge au utafute wa kuniroga kisha nimlipe pesa
...Kuna Watu Watapigwa Kwa Tangazo hili la Biashara ![emoji1][emoji1]Hivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.
Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.
Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
Wachawi wengi wanaweza kuwa matajiri kama wakitaka!unadhani kwanini wachawi wengi ni masikini sana?Masharti yake ni magumu saaana hata wenyewe wanahanyaHivi unavyosema Bank kichwani inakujia bank gani?
Je, bank zote zindiko lao ni moja?
Je, hakuna nguvu inayopita nguvu nyingine?
Ikitokea mtu au mchawi ana nguvu kuzidi nguvu ya zindiko la nyumba yako , biashara au bank yako basi jua kuwa anaweza kukuburuza atakavyo.
Mzee wangu anaweza kuingia hata WB na kuchota mkwanja kisha kusepa. Tena haingii yeye bali anamtuma jini anakwenda kuvunja hata ma stiff safe na kuchukua pesa.
Sema yule mzee ni wale wa zamani wanaoridhika na kidogo walichonacho.
Huyu mzee ni mwaka wa 14 sasa hatujaonana, tulitofautiana baada ya Mimi na wadogo zangu 2 kuhamia Imani nyingine.
Yupo Lindi Liwale, anayebisha aende aulize sheikh ambaye watoto wake wamesilimu atapelekwa.
Huyu mzee mpaka kutembea juu ya maji mengi bila kuzama anaweza.
Amini kwamba wapo wanao weza kuiba tatizo lako wewe ni bishi tu huna uhakika unachobishia, wanaiba kwa vijicent cent, unaweka benk milioni moja unakuta laki 9 na elfu tisini na 6 mia tisa themanini... iyo remaining iko wapi na makato yote ushahakiki, unailamu benki ina makato makubwa benki nao wanakuambia hawana.Mchawi gani anayeweza kuiba benki, wangeweza kuiba haya mabenki yangefilisika
🎶Anita Anita wangu 🎶sheikh ambaye watoto wake wamesilimu