Mnaosema kuwa hakuna mchawi anayeweza kuiba Bank mnajidanganya

Uchawi huo ungekuwepo waafrika wangekuwa matajiri, acha uongo na ulipie tangazo
 
Mchawi gani anayeweza kuiba benki, wangeweza kuiba haya mabenki yangefilisika
 
Another day another garbage bagged in jf
 
The more you gain is more you want nakazia
 
Oyaa Hance Mtanashati njoo
 
Usituchoshe.

Chai
 
Tangazo limekaa kimkakati sana ..... ila ogopa matapeli ma agent wa shetani wamekuwa wengi sana ...... wana njaa kali sana wanaitaka pesa yako na nafsi yako
 


Ila hakuna siku balance sheet za Bank zimegoma ku balance pasipo physical theft
 
Lipia tangazo alafu kama anaweza chota hela kwann asichote akawapa nyie unahangaika na umaskini hadi akili inasinyaa unaandika vitu vya hovyo
 
Jini anavunja tena??sidhani kama huyo atakua jini!!!Huyo ni komando yosso wa kasulu,,Kigoma!!
 

Naomba namba zake mkuu, tukaibe WB tulipe deni la Taifa...
 
Bank zote freemason wamezindika hakuna awezae kuingia ukutana na shoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…