Mnaosema kuwa Mo hajaweka bilioni 20 Simba, hizo Bilioni 20 za kitu Gani?

Mnaosema kuwa Mo hajaweka bilioni 20 Simba, hizo Bilioni 20 za kitu Gani?

Hivi huyu MO anawapa shilingi ngapi ili muandike postings za kipuuzi kama hizi? Mwanzoni aliwapa pesa kupost kumtukana Mangungu sasa kaona haikulipa mnaanza kupost kumsifu na kumtetea dhidi ya lawama anazoshtumiwa. Huu umaskini duuuuuu
Kwanza Mimi Sina mahusiano na Mo. Mimi ni mshamba wa Kigungawe Iringa.

Humu Kuna mada inaitwa "ukweli kuhusu uwekezaji Wa Mo Dewji Simba ndiyo huu"

Hiyo mada kaisome nimeandika Mimi.

Hili ni jambo jingine kabisa.

Wengine hatujawahi kuwa na "Price Tag" maishani mwetu.
 
20 B hyo ni hisa yake ya 49% kama mwekezaji,,

Lakini hyo hisa hajaweka huo mziigo popote,

Maana yake inabatilisha zile 49% ya uwekezaji wake.

Mambo ya usajili,,sijuwi mishahara ukumbuke kwamba simba inaingiza pesa za CAF na kuuza wachezaji pamoja na wadhamini peza zinakwenda wp?


Ni sawa na mpangaji hajalipa kodi ya jengo anapiga mahesabu ya matengenezo ya vitasa vya mlango mara geti mara bulb..

Hii haipo sawa..
Asipoelewa na hapa usimjibu tena.
 
Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.

Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.

Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??

Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Mleta mada acha upofu.
Kwani mapato ya Simba na pesa za CAF huwa nani anachukua au zinakwenda wapi?
Pesa za wadhamini nani anachukua?

Mo pale Simba ni mwizi tu, hana chochote anachotoa na hana chochote anapoteza, yuko pale kuvuna. Mpaka sasa hajatoa hata senti tano na ana kiri wazi kuwa hawezi kutoa pesa ya uwekezaji mpaka mipango ya ndani ya kisheria iwe tayari.
 
Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.

Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.

Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??

Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Na kumnunua Ayubu 3b Tshs.
 
Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.

Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.

Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??

Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Huo mnaouita uwekezaji wa Mo simba wa billioni 20, atakuwa anamiliki hisa kiasi gani ya hiyo club?

Kwa upande wa Yanga, sijasikia hata siku moja huyo business partner wa mkwere GSM kuwa amewekeza Yanga!! GSM ni mfadhiri/shabiki wa Yanga.
 
Nia ya mo kuwekeza ni kuibadilisha Simba iendeshwe kisasa na sio kutegemea mapato ya mlangoni. Kitendo cha Simba kumtegemea mo kinaondoa maana nzima ya uwekezaji kwani Simba ilishapitia vipindi tofauti vya wadhamini akiwemo mo mwenyewe.
Mo kabla ya kuingia uwekezaji alisema anataka Simba iwe level ya mazembe au Al ahly lakini he tumeshafikia level zao Kama kununua wachezaji wa Bei kubwa, kumiliki uwanja na kuzuia wachezaji wetu Bora wasiuzwe.
Kabla ya kuingia alilaumu Simba kuuza wachezaji wao wazuri lakini tangia aingie Simba imeuza wachezaji wengi wazuri Tena wanaficha hata Bei.
Simba mpaka Sasa haijaonyesha mpango wowote wa kujenga uwanja ukiacha mpango wa kuchangisha wapenzi na mpaka Sasa hakuna taarifa ya pesa zilizochangwa.
Amezuia wawekeza Kama Bakhresa waliotaka kuwekeza Simba kwa miaka 10 kwa kisingizio brand ya Simba ni kubwa kuliko yanga na Simba wakiishiwa atatoa pesa mfukoni kwa lugha nyingine hataki Simba jitegemee.
Tumeshindwa kushindana kusajili wachezaji wazuri kwa sababu ya kushindwa kwa nguvu ya pesa
 
Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.

Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.

Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??

Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Dah! Mnahuzunisha sana kwa kweli! Kwani yale mabilioni ya hela mnazopata kutoka kwa wadhamini wenu mfano NBC, Azam Media, Mbet, Mo xtra, Mo foundation, Mo janja janja, nk; huwa mnafanyia nini? Mpaka mumtegemee mtu kwa kila kitu?

Na hapa sijataja zile hela mnazopewa na CAF kwa kushiriki mashindandano ya Kimataifa!! Ada na michango mbalimbali kutoka kwa wanachama!! Hela za viingilio, mauzo ya jezi, nk.
Na kwa nini mna mfumo mbovu hivi wa kuendesha timu yenu? Yaani Mo peke yake ndiye anayelipa mishahara ya wachezaji, anasafirisha timu ndani na nje ya nchi, nk!! Aisee kama ni hivho, basi kazi anayo.
 
Back
Top Bottom