Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #21
Kwanza Mimi Sina mahusiano na Mo. Mimi ni mshamba wa Kigungawe Iringa.Hivi huyu MO anawapa shilingi ngapi ili muandike postings za kipuuzi kama hizi? Mwanzoni aliwapa pesa kupost kumtukana Mangungu sasa kaona haikulipa mnaanza kupost kumsifu na kumtetea dhidi ya lawama anazoshtumiwa. Huu umaskini duuuuuu
Bilioni 20 ni kwaajili ya asilimia 49 za Simba.Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??
Kwani simba ina thamani ya shilingi ngapi na ilithaminishwa lini??Bilioni 20 ni kwaajili ya hisa 49 za Simba.
Kutokana na hoja yako hizo 20B unazozungumzia ni za kitu gani?Simba haijafikia kiwango cha kuuziana hisa.
HAIJULIKANI.Kutokana na hoja yako hizo 20B unazozungumzia ni za kitu gani?
Ulikuwa na hoja nzuri, ila umeiwasilisha kimaamuma.Hisa!!!???
Simba haijafikia kiwango cha kuuziana hisa.
Hisa ni mambo ya KITAALAM.
Asipoelewa na hapa usimjibu tena.20 B hyo ni hisa yake ya 49% kama mwekezaji,,
Lakini hyo hisa hajaweka huo mziigo popote,
Maana yake inabatilisha zile 49% ya uwekezaji wake.
Mambo ya usajili,,sijuwi mishahara ukumbuke kwamba simba inaingiza pesa za CAF na kuuza wachezaji pamoja na wadhamini peza zinakwenda wp?
Ni sawa na mpangaji hajalipa kodi ya jengo anapiga mahesabu ya matengenezo ya vitasa vya mlango mara geti mara bulb..
Hii haipo sawa..
Wewe mwenyewe haujui unacho andikaKwani simba ina thamani ya shilingi ngapi na ilithaminishwa lini??
Mleta mada acha upofu.Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.
Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.
Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??
Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Na kumnunua Ayubu 3b Tshs.Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.
Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.
Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??
Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Atayajua wapi haya huyo mbumbumbuUnajua maana ya kuwekeza? Unajua maana ya Kutia mzigo? Unajua maana ya Share? Unajua maana ya wadhamini?
Kwa maana hiyo Simba na mambo ya kitaalamu ni vitu viwili tofautiHisa!!!???
Simba haijafikia kiwango cha kuuziana hisa.
Hisa ni mambo ya KITAALAM.
Kwa hiyo, hizo B20 zingetolewa, zingekaa tu Benki bila kutumika?Simba ina udhamini wa karibu Bilioni 10 kwa mwaka. Hizo hela za Mo anazotoa mfukoni siyo rasmi, mkimuudhi anaweza susa.
Hicho ndiyo kisichotakiwa.
Huo mnaouita uwekezaji wa Mo simba wa billioni 20, atakuwa anamiliki hisa kiasi gani ya hiyo club?Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.
Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.
Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??
Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Bilioni 20 zinawekwa kwenye hatifungani na kuzalisha bilioni 3 kwa mwaka.Kwa hiyo, hizo B20 zingetolewa, zingekaa tu Benki bila kutumika?
Dah! Mnahuzunisha sana kwa kweli! Kwani yale mabilioni ya hela mnazopata kutoka kwa wadhamini wenu mfano NBC, Azam Media, Mbet, Mo xtra, Mo foundation, Mo janja janja, nk; huwa mnafanyia nini? Mpaka mumtegemee mtu kwa kila kitu?Kuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.
Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.
Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??
Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???