fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
mo kaweka 20b na zote zimewekezwa uttKuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.
Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.
Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??
Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Mo dewji ameweka Billion 20 halafu Ameokoa Billion 50 ambazo angetumia kama gharama za kutangaza products zote simba asingekua anaimiliki Simba, Hakika hii ni mambumbu FC β¦.Mo na wajukuu wake wataitafuna simba mpaka Watakapoona Basi waziuze hisa zao kwa Billion 500+ ambazo sidhani kama mbumbumbu wa simba wataweza kununuaKuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.
Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.
Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??
Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???
Kama si mwekezaji hela anazotoa anatoa kama sadaka???Kwa upande wa Yanga, sijasikia hata siku moja huyo business partner wa mkwere GSM kuwa amewekeza Yanga!! GSM ni mfadhiri/shabiki wa Yanga.
Tanzania matangazo ya timu hayana thamani hiyo unayofikiria. Waulize watu wa Yanga "Whizmo" ni Nini kama watakujibu!!!Mo dewji ameweka Billion 20 halafu Ameokoa Billion 50 ambazo angetumia kama gharama za kutangaza products zote simba asingekua anaimiliki Simba, Hakika hii ni mambumbu FC β¦.Mo na wajukuu wake wataitafuna simba mpaka Watakapoona Basi waziuze hisa zao kwa Billion 500+ ambazo sidhani kama mbumbumbu wa simba wataweza kununua
Na hapa ndio Mo anapowala Bila huruma, Simba ya sasa sio ya zama zile za Manara, Simba ya leo ni Worldwide platform, nakuapia kwa yale matangazo yote return ya mo products ni kubwa kuliko mnavyodhania na kikubwa zaidi ni kwamba jamaa amekata matumizi ya Gharama za Matangazo kwenda kwenye TV na ma redio maana popote simba itakapotazamwa Tayari umeiona Mo XtraTanzania matangazo ya timu hayana thamani hiyo unayofikiria. Waulize watu wa Yanga "Whizmo" ni Nini kama watakujibu!!!
Hio ni ndoa ya kanisani milele AminaHivi huo uwekezaji wa 20bil ulikuwa kwa miaka mingapi?
Naona miaka yote ya MO, pesa inatajwa ni hiyo hiyo bil 20...
Mimi simlaumu Mo. Ila ni nyinyi wenyewe ndiyo mnaokamatana uchawi. Maana hata Mbunge wa Nzega Mh. Hamis Kigwangala alishawahi kuhoji.Tate Mkuu utopolo mnapenda sana kukuza mambo ya Simba.
Tangu Mo aseme atawekeza hizo Hela imepita miaka mingapi!!??
Uzembe si wa Mo ni wa kina Mangungu. Sasa Mo analaumiwa kwa lipi!!??
Hao kina Mangungu wameshawahi kusema uwekezaji wa Mo simba ukoje na ni wa aina gani??
Mkishakunywa supu za bure huko ndiyo mnakuja kubagaza timu bora namba 7 Afrika.
Kolo mwenye akili uliyebaki pale umbumbumbuni20 B hyo ni hisa yake ya 49% kama mwekezaji,,
Lakini hyo hisa hajaweka huo mziigo popote,
Maana yake inabatilisha zile 49% ya uwekezaji wake.
Mambo ya usajili,,sijuwi mishahara ukumbuke kwamba simba inaingiza pesa za CAF na kuuza wachezaji pamoja na wadhamini peza zinakwenda wp?
Ni sawa na mpangaji hajalipa kodi ya jengo anapiga mahesabu ya matengenezo ya vitasa vya mlango mara geti mara bulb..
Hii haipo sawa..
Ndio maana yake!!Yeye ni mfadhiri . If he is an investor how may shares if any does he own in the enterprise?Kama si mwekezaji hela anazotoa anatoa kama sadaka???
Mdhamini ama mfadhili. Vigezo na masharti gani vilitumika kumfanya yeye kuwa mfadhili/mdhamini??Ndio maana yake!!Yeye ni mfadhiri . If he is an investor how may shares if any does he own in the enterprise?
Hata Yanga ni hivo hivo, 51% ya wanachama , je mbeleni haitatokea kama ya Simba?Tate Mkuu uwekezaji wa Mo Simba ni kama mtu ama amewekeza kupitia Kampuni yake???
Hoja yangu hapa ni rahisi sana, kama Kuna tatizo liko upande wa Simba na siyo Mo!!!
Kwa Nini watu hawahoji zile 51% kapewa nani maana mpaka saa hii watu wanahoji 49% ya Mo ila 51% za wanachama wa Simba haiuliziwi.
Mfadhiri mara nyingi hujitolea kutokana kufurahishwa na kile anachofanya anayemfadhiri. Mfadhiri mara nyingi huombwa na muhitaji!Mdhamini ama mfadhili. Vigezo na masharti gani vilitumika kumfanya yeye kuwa mfadhili/mdhamini??
Tatizo hizi timu zipo kwa faida ya wanasiasa.Hata Yanga ni hivo hivo, 51% ya wanachama , je mbeleni haitatokea kama ya Simba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si umesema 51%ni ya wanachama; sasa waulize nini tena? Kwani hawana daftari lenye orodha ya wanachama?Tate Mkuu uwekezaji wa Mo Simba ni kama mtu ama amewekeza kupitia Kampuni yake???
Hoja yangu hapa ni rahisi sana, kama Kuna tatizo liko upande wa Simba na siyo Mo!!!
Kwa Nini watu hawahoji zile 51% kapewa nani maana mpaka saa hii watu wanahoji 49% ya Mo ila 51% za wanachama wa Simba haiuliziwi.
Kwani huko simba kumetokea nini?Hata Yanga ni hivo hivo, 51% ya wanachama , je mbeleni haitatokea kama ya Simba?
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππKuna mashabiki wa timu moja ambayo timu nzima ina mashabiki wawili tu wenye akili, kila siku Wanahoji/ kuuliza swali lisilo na mantiki.
Kila siku wanauliza kama Rais wa Heshima Simba Mohamed Dewji tayari keshaweka kwenye akaunti ya Simba shilingi bilioni 20 alizoahidi kuwekeza Simba.
Kwani hizo Bilioni 20 za uwekezaji zilitarajiwa kuwekezwa kwenye nini ambacho mpaka Sasa hakionekani??
Gharama za usajili, mishahara ya wachezaji, mishahara ya wafanyakazi Simba, gharama za kuisafirsha timu ndani na nje ya nchi. Nani analipa???