stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ukeketaji ndio kukata antenna?If you dont get, forget it
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukeketaji ndio kukata antenna?If you dont get, forget it
kama una mpango wa kuishi muda mrefu nakushauri ubadiri haraka hiyo sera!Sina mpango wa kuishi na Mwanamke mwenye muonekano mbaya, nitachagua mzuri kimuonekano hata km tuta-share na majirani
Unakua na mke hata kumtambulisha unajishauri mara 3 watanizungumziaje?
Ni mwendo wa Mimba tukama una mpango wa kuishi muda mrefu nakushauri ubadiri haraka hiyo sera!
mana hakuna mke atadumu akiwa mzuri tishio machon mwako labda ukuwe zumbukuku.
hakuna mke atakuwa mzuri kwa watu wote wakati wote.
Heshima kupitia mkeo utaipata kwa namna anakutunzia kitumbua na anakusupport mjenge familia inayoendelea.
Siku unatambulisha mkeo unayeona ni pisi kali kumbe wenye Nida na wasio na Nida wamempitia kuanzia mdogo wako aliyeko likizo. mrangi wa bucha, mpogoro boda, mkwere wa vyuma chakavu, mang wa duka, muha wa vyombo, muha wa kucha, mkinga wa kuku, mhaya afisa mtendaji, mkurya polisi jamii, mnyakyusa katekista, mjita mwalimu, mpemba wa vipodozi, mwarabu wa fuso, kila mmoja kwa wakati wake ndo utaelewa maveteran wanakushauri nini.
They are easy goingNimewala sana mademu wa kihehe
Warembo na mororo haswaa, lakini tabia zao ni kama jiwe la volcano 😂View attachment 2919510
View attachment 2919509View attachment 2919490
View attachment 2919487
View attachment 2919499
Nchi hii labda kama hujazunguka utakimbilia kuoa wahehe na wabena
Ukipata bahati ya kutembelea maeneo haya ni lazima utajitafakari upya
Dodoma - Warangi
Manyara - Wambulu (wairaqw)
Singida - wanyaturu na wanyiramba
Bhalaa Mwaka Huu UisheUzi tayari..
Hao ni kwaajili ya kusuuzia rungu siyo kwaajili ya kuoa mkuu.View attachment 2919510
View attachment 2919509View attachment 2919490
View attachment 2919487
View attachment 2919499
Nchi hii labda kama hujazunguka utakimbilia kuoa wahehe na wabena
Ukipata bahati ya kutembelea maeneo haya ni lazima utajitafakari upya
Dodoma - Warangi
Manyara - Wambulu (wairaqw)
Singida - wanyaturu na wanyiramba
Unaipimaje asilimia kaka?Ni kweli hata wazarama kuna wakimya, wachaga wapo wasiojua biashara, wahaya wapo ambao hawajui kusoma, wamasai waoga, wasukumba wavivu, ..... lakini swali ni kwa asilimia ngapi ?
[emoji28][emoji28] unazinguaWanakuaga na midomo utadhani wanapuliza moto[emoji12]
Malaya sana hawa, Nilikuja stuka keshagawa uroda mtaa mzima,Umesahau WANYIHA Mkuuu[emoji3059]
Kwahiyo huko kwingine wanaume wanakufa kwa upwiru kwasababu hamna wanawake wa barabara ya vumbi wa kuwagawia uchi?Hao mabinti wa barabara ya vumbi hata nikipewa bure siwataki, wanaongoza kwa ushirikina na kugawa uchi Tanzania hii
Dah mkuu zile rangi zao ni hatari kuna wale wakara aise ile rangi yao nyeusi ni amazingMmeenda ukerewe nyie?[emoji28]
C r 7 akisikia haya maneno yako ataenda kuchekea chooni.Kama mwanaume mwenye ndoto kubwa ya maisha unatakiwa uoe mwanamke wa kawaida siyo mbaya wala siyo mzuri na wala hana mkia mkubwa.
Baamedi ni vyema awe na sura shepu nzuri.Mabaamedi wengi wanatokea mikoa hiyo.