Mnaosomesha watoto English Medium pokeeni maua yenu

Mnaosomesha watoto English Medium pokeeni maua yenu

Unachokisema wewe ni sawa na kwenda kunywa kwenye bar ya kishua wanapouza bia moja sh elfu kumi kwa matarajio kwamba wale matajiri wanao kunywa kwenye hiyo bar wataanzisha urafiki/ukaribu na wewe wakati wenzako wanakuchora wanakuona kibaka tu.


Waulize waswahili( wenye maisha ya chini) walio soma Shaaban Roberts pale wakupe uhalisia. Waswahili wana baguliwa mpaka basi sio tu wanafunzi hadi walimu waswahili wanabaguliwa
 
Unachokisema wewe ni sawa na kwenda kunywa kwenye bar ya kishua wanapouza bia moja sh elfu kumi kwa matarajio kwamba wale matajiri wanao kunywa kwenye hiyo bar wataanzisha urafiki/ukaribu na wewe wakati wenzako wanakuchora wanakuona kibaka tu.


Waulize waswahili( wenye maisha ya chini) walio soma Shaaban Roberts pale wakupe uhalisia. Waswahili wana baguliwa mpaka basi sio tu wanafunzi hadi walimu waswahili wanabaguliwa
Upo sahihi kabisa mkuu. Breaking the cycle of poverty is no joke
 
Unachokisema wewe ni sawa na kwenda kunywa kwenye bar ya kishua wanapouza bia moja sh elfu kumi kwa matarajio kwamba wale matajiri wanao kunywa kwenye hiyo bar wataanzisha urafiki/ukaribu na wewe wakati wenzako wanakuchora wanakuona kibaka tu.


Waulize waswahili( wenye maisha ya chini) walio soma Shaaban Roberts pale wakupe uhalisia. Waswahili wana baguliwa mpaka basi sio tu wanafunzi hadi walimu waswahili wanabaguliwa
Kabisa mtu anaforce connection uku akijihumiza wakishua wanajuana ndo cycle zao na ndowanao saidiana.na ww utasaidia na watu wa level yako.

Ila wakishua anaweza kukusaidia ila possibilit ni ndogo.
 
Back
Top Bottom