Mnaosujudu Israel, ni kipi hasa kinachofanya mlione ni taifa lenye watu wenye akili zaidi duniani?

Mnaosujudu Israel, ni kipi hasa kinachofanya mlione ni taifa lenye watu wenye akili zaidi duniani?

Tatizo ni kwamba kila mtu unayeona amefanya mambo makubwa chimbuko lake ni huko.

Ukitaja watu matajiri au wenyeushawishi na wenye uvumbuzi wa teknolojia chimbuko lao ni Israel
Hivi unajua teknolojia ya Artificial Intelligence iluvyopindua meza kwenye masuala ya uendeshaji mitambo?

Unajua mvumbuzi wake ni asili ya wapi? Mark Zuckerberg unajua asili yake wapi?

A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Nb. Siwaabudu Israel
Mmezungumzia Israeli sio MTU mmoja mmoja. Nchi ya Israeli imeleta nini ambacho kimeigwa dunia nzima. Zuckerber ni Mmarekani. Ukisema Muisraeli mmoja mmoja hata Waafrika mmoja mmoja wamegundua mengi huko America ila Afrika hakuna hizo teknolojia.

Israeli kama nchi ya wenye akili sana hawaongozi dunia kwa jambo lolote. Sasa mnaominishwa kuwa wana akili sana duniani mnatumia data zipi?
 
CHNA. In IQ ni wa 3,Kwa smart people ni1 kwa Research paper ni 1, Ndio nchi yenye 5G.
Kwa uchumi mkubwa duniani niya 2.Hao unaowasujudia ha wajawazidi wachina hata Kimoja.Wenye akili sana hakuna wacnahoongoza duniani kuliko wasio na akili how come?
Niambie wachina na israel yupi anaongoza kwa kuCopy vitu. Unasema AI imeanzia china.? Unaijua historia ya AI kweli.?
Hakuna AI bila programming..je Programming imeanzia china.?
Unajua aliyeFund project ya AI hadi ikawa hivi ilivyo.? Ni mchina.?
 
N

memezungumzia Israeli sio MTU mmoja mmoja.Nchi ya islaeli imeleta mini ambacho kimeigwa dunia nzima.Zuckerber in Mmarekani.Ukisema Muislaeli mmoja mmoja hats Waafrika mmoja mmoja wamegundua mengi huko America ila Afrika hakuna hizo teknolojia.Israeli kama nchi ya wenye akili sana hawaongozi dunia kwa jambo lolote.Sasa mnaominishwa kuwa wana akili sana duniani mnatumia data zipi?
Sasa hiyo Israel kama nchi si imeundwa na mtu mmoja mmoja? Mwenyewe umeona inhabited land ya pale middle east walipo palikua hapastawi kitu tofauti na mitende na mazao mengine yenye kustahimili ukame.

Ila umeona wamevyopafanya hadi kua kituo cha kilimo cha umwagiliaji duniani.
Hata mm sikubali kua wao ndio wanaakili zaidi
 
Sawa ni propaganda lakini je hawana uwezo huo mkubwa.?
Tuweke hapa orodha ya watu wenye asili ya Israel ambao wamefanya makubwa. Au wanaushawishi zaidi duniani.
Mkuu hawana asili ya Israel,Hio ni propaganda na wengi wamefall na kujikuta wakiamini kwamba kila kinachosemwa kamba hawa ni wayahudi au waisrael basi kila mtu anaamini hivo.Kuwa makini kwani unashiriki katika kusmabaza hio propaganda.
 
Niambie wachina na israel yupi anaongoza kwa kuCopy vitu. Unasema AI imeanzia china.? Unaijua historia ya AI kweli.?
Hakuna AI bila programming..je Programming imeanzia china.?
Unajua aliyeFund project ya AI hadi ikawa hivi ilivyo.? Ni mchina.?
Programming imeanzia uajemi mi ndio naelewa hivyo(alkwazim) algorithms imeenelezwa Ulaya.PModerm programming mizizi take ni UK na Marekani ilikozaliwa kompyuta.Waislaeli in wadandiaji tu kama black na China.
 
Mkuu hawana asili ya Israel,Hio ni propaganda na wengi wamefall na kujikuta wakiamini kwamba kila kinachosemwa kamba hawa ni wayahudi au waisrael basi kila mtu anaamini hivo.Kuwa makini kwani unashiriki katika kusmabaza hio propaganda.
Hakuna makubwa waliofanya Israeli ambayo wazungu hawajafanya.Hao unaowajua wamekopi kopi tu.Mfano Einstein amemkopi sana lorenz, formula za relativity ni Lorenz algebra..Zuckerbergy nae aliiba idea kutoka wazungu college mate wake.
 
Wenye akili tulisoma ilboru, je ni waisraeli wangapi wamepita ilboru? msitake kutuchanganya.
Waisraeli wamejaa humu Afrika kuanzia misri,etheopia, nk hamna wanachogundua.Sasa hizo akili zipo kwa waislaeli wa Ulaya na Marekani tu na sio nchi nyingine mfano Uarabuni wamejaa waislaeli mbona hatuoni wakianzisha makampuni makubwa huko!! Lakini wazungu wa Afrika wamegundua mengi kwenye arddhi ya Afrika mfano T scan
 
Huwa naona kama vile watu wanajadili matokeo bila kuanza kutuambia mtu mwenye akili ana sifa gani, akili ni nini, kuliko kuanza kutuambia mitazamo ya watu na watu kuvutia upande wao.

Hilo swali huwa nauliza sana, lakini sipati majibu au sijibiwi kabisa.

Ahsante.
 
Hakuna makubwa waliofanya Israeli ambayo wazungu hawajafanya.Hao unaowajua wamekopi kopi tu.Mfano Einstein amemkopi sana lorenz, formula za relativity ni Lorenz algebra..Zuckerbergy nae aliiba idea kutoka wazungu college mate wake.
Pili mnapo ongelea "Israeli" huwa mnaongelea hili taifa la mwaka 1948 taifa ambalo halikuwahi kuwepo hapo kabla au huwa pia mnafika mbali mpaka kuongelea nasaba ?
 
Kwa hip hujui Afrika kuna waislaeli? Sasa unabishabisha tu bila uelewa was mbi.Google utapata data wapi Afrika kuna waislaeli wengine hupitishwa hapa kwenye maroli wakizamia SA hatimae hufa kwa kukosavhewa.
 
Wewe ndio umejichanganya, waisrael ni wazungu, walichonacho wamarekani si vigumu wao pia kuwa nacho
 
Jiulize kwanini Marekani na nchi za Ulaya zinaisuppport wakati asili ya nchi hizi ni unyonyaji!! Ukipata jibu utajua waisrael ni kina nani
 
Akili/uwezo tunao sawa tatizo ni kugeuza akili/idea kwenda kwenye uhalisia .

Wametuzidi uthubutu/kuchukua hatua!
 
Umempima Muebrania gani wa sasa ukagundua hana hivyo vinasaba?
Nasaba nayoongelea siyo ya kupima na vipimo vyenu, nasaba nayo ongelea ni uzao kwa "chain", yaani nikikuuliza wewe leo hii nitajie babu yako wa tano unitajie, na hao Waisraeli uzao wao ufike mpaka kwa nabii Yaqoub, vipi kuna mtu ana vinasaba vya nabii Yaqoub leo hii, kama ukitaka twende kwa mtindo wenu wa kitoto na kubahatisha ulio gemea katika sanifu za wabunifu husika ?

Hakuna Muisraeli wa kinasaba bali kuna Waisraeli kwa mujibu wa jina la Taifa jipya la Israeli.
 
Back
Top Bottom