Mnaosujudu Israel, ni kipi hasa kinachofanya mlione ni taifa lenye watu wenye akili zaidi duniani?

Mnaosujudu Israel, ni kipi hasa kinachofanya mlione ni taifa lenye watu wenye akili zaidi duniani?

N

memezungumzia Israeli sio MTU mmoja mmoja.Nchi ya islaeli imeleta mini ambacho kimeigwa dunia nzima.Zuckerber in Mmarekani.Ukisema Muislaeli mmoja mmoja hats Waafrika mmoja mmoja wamegundua mengi huko America ila Afrika hakuna hizo teknolojia.Israeli kama nchi ya wenye akili sana hawaongozi dunia kwa jambo lolote.Sasa mnaominishwa kuwa wana akili sana duniani mnatumia data zipi?
Nani wanaaminishwa!!? .....Hata biblia haijaandika Kama ni watu wenye akili kuliko wote No ,au unatumia referrence ipi kusema wanaaminishwa
 
Binafsi mimi ni mkatoliki damu damu, sipendi makanisa mengine wanavyotukuza taifa la israel kama ni mungu vile. Afadhali sie wakatoliki hatufanyi sana hivyo. Lakini licha ya hayo waisrael na wayahudi kwa ujumla wanauwezo mkubwa sana kiakili ni kama makabila ya kikuyu na wahaya hapa Afrika mashariki.

Mashirika makubwa au watu wenye ushawishi sana kwenye jamii duniani kisiasa,kiuchumi na kijamii ukichunguza chimbuko lake ni Muisrael. huo ni ukweli mchungu ambao watu wa bara Arab na wafuasiwao hawaukubali daima. majamaa ni wachache na kanchi kadogo lakini kanawahenyesha.

Kipimo kua israel ni smark upstair ukilinganisha na nchi zote za warabu ni Vita ya siku 6. mataifa kibao yaliungana lakini yakaachwa mdomo wazi na kanchi ambako kalikua hakana hata miaka 40 toka kaanzishwe
 
binafsi mimi ni mkatoliki damu damu, sipendi makanisa mengine wanavyotukuza taifa la israel kama ni mungu vile. Afadhali sie wakatoliki hatufanyi sana hivyo. Lakini licha ya hayo waisrael na wayahudi kwa ujumla wanauwezo mkubwa sana kiakili ni kama makabila ya kikuyu na wahaya hapa Afrika mashariki. mashirika makubwa au watu wenye ushawishi sana kwenye jamii duniani kisiasa,kiuchumi na kijamii ukichunguza chimbuko lake ni Muisrael. huo ni ukweli mchungu ambao watu wa bara Arab na wafuasiwao hawaukubali daima. majamaa ni wachache na kanchi kadogo lakini kanawahenyesha. kipimo kua israel ni smark upstair ukilinganisha na nchi zote za warabu ni Vita ya siku 6. mataifa kibao yaliungana lakini yakaachwa mdomo wazi na kanchi ambako kalikua hakana hata miaka 40 toka kaanzishwe
Wakikuyu siwajui, lakini alikwambia nani kuwa Wahaya ni kielelezo cha akili kubwa?
 
Ni vipi waihofia Iran huku nyinyi mnaowasujudu mnaamini kuwa wana akili sana kuliko MTU yoyote duniani. Kwanini wasiunde vifaa vya kufanya hayo mabomu ya Iran yawe maji ya kunywa?
😀😆😀 we jamaa mswahili sana, sasa bom linageuzwaje kuwa maji ya kunywa!
 
Naona mashabiki wa taifa teure wanavyo weweseka haaaa eti wayageuze mabomu kuwa maji ya kunywa.
 
binafsi mimi ni mkatoliki damu damu, sipendi makanisa mengine wanavyotukuza taifa la israel kama ni mungu vile. Afadhali sie wakatoliki hatufanyi sana hivyo. Lakini licha ya hayo waisrael na wayahudi kwa ujumla wanauwezo mkubwa sana kiakili ni kama makabila ya kikuyu na wahaya hapa Afrika mashariki. mashirika makubwa au watu wenye ushawishi sana kwenye jamii duniani kisiasa,kiuchumi na kijamii ukichunguza chimbuko lake ni Muisrael. huo ni ukweli mchungu ambao watu wa bara Arab na wafuasiwao hawaukubali daima. majamaa ni wachache na kanchi kadogo lakini kanawahenyesha. kipimo kua israel ni smark upstair ukilinganisha na nchi zote za warabu ni Vita ya siku 6. mataifa kibao yaliungana lakini yakaachwa mdomo wazi na kanchi ambako kalikua hakana hata miaka 40 toka kaanzishwe


Kwa akili ya kawaida tu, hivi israel alipigana na nchi zote za kiarabu? Yaani OMAN, SAUDIA, EMIRATES, BAHRAIN, KUWAIT, QATAR, YEMEN, IRAQ, LEBANON, JORDAN, SUDAN, ALGERIA, MOROCCO, EGYPT, TUNISIA, MAURITANIA, PALESTINE, LIBYA!

Maana navyojua mimi baada ya israel kuzidiwa dhidi ya Egyptian commandos ikabidi waombe support kwa marekani pamoja na mataifa ya ulaya wakaungana kwa pamoja na kuwapiga waarabu. Sasa hicho unachosema kaisrael kanchi kadogo kamewahenyesha nchi zote za kiarabu,,,sasa nchi za kiarabu ni hizo nilizozitaja hapo juu kwa madai yakwamba zilipigwa. Fafanua!
 
Waisraeli wamejaa humu Afrika kuanzia misri,etheopia, nk hamna wanachogundua.Sasa hizo akili zipo kwa waislaeli wa ulaya na marekani tu na sio nchi nyingine mfano uarabuni wamejaa waislaeli mbona hatuoni wakianzisha makampuni makubwa huko!! Lakini wazungu wa Afrika wamegundua mengi kwenye arddhi ya Afrika mfano T scan
Jifunze kwanza kuandika
 
Upo shallow sana bro.
Israel haijawahi kuwa safi ila ina baadhi ya watu wasafi nawacha Mungu.

Maovu mengi yamefanywa na waisrael na majirani zao na wanaitamka Israel kwa sababu ya Histori waliyo nayo na Mungu na sio kwa sababu ya Matendo yao ya kila siku.
 
Unajua anaekupa kiburi cha kuandika comment APA ametokea WAP? Ulishawahi kumskia MTU anaitwa Albert Einstein? Unajua ni RAIA wa wap
 
Sasa huwezi muita Yakobo hilo jina ingali kwenye lugha ya Kiswahili hatuna matumizi ya Q kaaabisa.
Nimecheka sana. Sijaandika Kiswahili hapo, hapo nimeandika kwa jinsi inavyotamkwa. Weka akilini hilo.
Hiyo kazi fanya wewe anza na mtoto wa Netanyahu hadi umfikie Yakobo utakapoona pamechenga njoo sema.
.
Sioni haja ya kufanya hivyo as long as mimi ni Mkristo na sijaagizwa hayo.
Natembea na kitabu cha MUHIBIRI.
Safi.
Baada ya kujua hilo why do you guys still dealing with our face? Si mshajua fateni yenu ondoeni na maandiko ya Biblia kwenye tabu lenu.
.
Au mpaka lengo lenu mama litimie?
Sababu mnaendelea kueneza uovu na uongo.
Sina huo muda na siwezi nikawa nao MILELE DAIMA.
Kazi imeisha.
Thibitisha hakuna Muyahudi wa asili.
Sababu Uyahudi ni Dini, hili nimeshakujibu huko juu.
Kisha uniambie kwanini baada ya Kristo kufufuka kutoka kwa wafu kuanzia kipindi hicho Israel haijawahi kuwa na Kuhani mkuu hadi sasa?
Kabla sijakujibu hilo, kwanza nithibitishie ya kuwa kweli Kristo alifufuka.

Piki, Israeli ni Taifa pweke au uzao wa mtu mmoja ?
 
Marekani wenyewe wanajipendekeza kwa Israel bob
 
Uwe unaelewa mantiki ya kila linaloandikwa.
unapomsikia Mkristo anasema ninyi mnafuga majini haina maana mnayo ndani au mahala fulani ila nikutokana na surat jin mpuuzi wewe.
Nimecheka sana, hii mantiki ya mtindo huu umeisoma kwenye kitabu gani mzee cha Elimu ya Logic ?
 
Israel inawapeleka puta sana Waislamu na Waarabu, Israel is there to prosper, Israel iko strong sababu ya kuzungukwa na Maadui kila kona.
 
Back
Top Bottom