Kuna waisrael wengi Sana blacks pale Ethiopia na Nigeria. Mwaka juzi Kama sikosei walikataliwa kurudi Israel coz waisrael wa kizungu hawawakubali wenzao.. hata hivyo Kuna blacks kibao kule ambao ni waisrael,. Actually ni polisi kuleKwa hip hujui Afrika kuna waislaeli? Sasa unabishabisha tu bila uelewa was mbi.Google utapata data wapi Afrika kuna waislaeli wengine hupitishwa hapa kwenye maroli wakizamia SA hatimae hufa kwa kukosavhewa.
Ushahidi kuwa anapata 10bil usd?Israel bila ya dollars bilion zaidi ya 10 wanazopewa na USA kila mwaka hawana lolote.
Unajua wewe huelewi kwamba leo hii wewe ukafanya jambo kubwa hutapewa coberage kubwa kama wao. Kwa nini kwa sababu wao wanataka uwaone wao wako juu wewe uko chini. Amka ndugu, Wanadamu wote wana uwezo sawa wa kufanya makubwa sana.Sawa ni propaganda lakini je hawana uwezo huo mkubwa.?
Tuweke hapa orodha ya watu wenye asili ya Israel ambao wamefanya makubwa. Au wanaushawishi zaidi duniani.
Huwa naona kama vile watu wanajadili matokeo bila kuanza kutuambia mtu mwenye akili ana sifa gani, akili ni nini, kuliko kuanza kutuambia mitazamo ya watu na watu kuvutia upande wao.
Hilo swali huwa nauliza sana, lakini sipati majibu au sijibiwi kabisa.
Ahsante.
We ndo umejichanganya,,waisrael ni wazungu,,walichonacho wamarekani si vigumu wao pia kuwa nacho
Poa.Gari limeshaondoka stendi,wewe umechelewa,pole sana.
ni kweliBila USA hao Israel ni kaputi tu.
Wanapambana kujitwisha dunia kichwani.unamaanisha nini mkuu kwamba iran hamnazo au?
[emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ukimaliza hapo kusoma unaenda kuajiriwa halmashauri au temesaWenye akili tulisoma ilboru, je ni waisraeli wangapi wamepita ilboru? msitake kutuchanganya.
hhh dah sawa MKUU.....Mkuu usipoteze muda wako kwa hako katoto kasikojielewa,hii mada kamegeuza ndio sehemu ya kuonyesha chuki zake za udini wakati mada haihusiani na udini,mpuuze tu huyo wala hawezi kukuelewa.
raia wa Ujerumani aliye kimbilia Marekani
Einsten ni raia wa israel na kuna kipindi alipewa ofa ya kua raisi wa israel baada ya raisi aliekuepo kumaliza mda wake ila alikataa kwa kisingizo kua hana uzoefu mzuri wa malalamiko ya watu, he is from israel
Albert Einstein - Wikipedia
View attachment 1501755