Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
thank you for sharing nakukubali sanaTatizo ni kwamba kila mtu unayeona amefanya mambo makubwa chimbuko lake ni huko.
Ukitaja watu matajiri au wenye ushawishi na wenye uvumbuzi wa teknolojia chimbuko lao ni Israel.
Hivi unajua teknolojia ya Artificial Intelligence ilivyopindua meza kwenye masuala ya uendeshaji mitambo?
Unajua mvumbuzi wake ni asili ya wapi? Mark Zuckerberg unajua asili yake wapi?
A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi
Nb. Siwaabudu Israel
Mkuu kwa sasa naisujudia China,Singapoor,Japan na Iran zinafanya mapinduzi kwa kutumia watu wake.Wewe unasujudia nchi gani? Tuanzie hapo, halafu huko unakokusujudia wana uwezo wa hayo uliyoropoka au? Nasubiri majibu kutoka kwako
Taifa la Marekani ni mkusanyiko wa watu wenye asili ya mataifa na makabila mbalimbali ikiwemo Israel. Kwa taarifa yako ni kwamba waisraeli walioko Marekani ni almost m sita yaani ni wengi kuliko wanaounda taifa la Israel lakini pia ni wachache sana ndani ya taifa la Marekani kwa sababu taifa la Marekani lina zaidi ya watu m mia tatu ila pamoja na uchache wao, wao ndio wamehodhi karibu kila nyanja na kila sekta. Kwenye teknolojia wao ndio wanaongoza, kwenye pesa (utajiri) wao ndio wanaongoza, kwenye siasa wao ndio wameshikilia hatamu pamoja na maeneo mengine kama vile jeshini. Hivyo kwa kifupi waisrael ndio watawala wa dunia penda usipende, taka usitake.Waisraeli wamerusha satellite mpya kwa dhumuni la ujasusi hasa kuichunguza Iran na teknolojia yao ya Mabomu ya Nyuklia.
Ni vipi waihofia Iran huku ninyi mnaowasujudu mnaamini kuwa wana akili sana kuliko mtu yoyote duniani. Kwanini wasiunde vifaa vya kufanya hayo mabomu ya Iran yawe maji ya kunywa?
Mnaosujudu Waisraeli kuwa wana akili sana, mbona sio nchi inaoongoza kuwa na akili zaidi katika top ten countries. Siyo nchi inayoongoza kuwa na smartest people on earth. Sio nchi inayoongoza kuwa na teknolojia mpya duniani.
Sio nchi inayoongoza kuwa na wanafunzi werevu zaidi duniani. Sio nchi inayoongoza kwa research papers duniani.
Sio nchi inayoleta teknolojia mpya zinazoshangaza dunia. Mfano Kompyuta, gari, treni za mwendokasi, ndege, mitandao. Vyote vimeanzia Ulaya na Marekani ndio Israel.
Akili yao ni ya ajabu sana. Mbona sioni kipya walichonacho ambacho Wazungu, Wamarekani hawana? Ninyi mnawapima vipi hizo akili nyingi zilizobarikiwa?
Wamarekani weusi wa achieve huko marekani basi nasi afrika ndio tumeachieve. Mmarekani ni mmarekani, kwani kuna taifa la islaeli ndani ya marekani, mkishiba mnatema radi kweli.Taifa la Marekani ni mkusanyiko wa watu wenye asili ya mataifa na makabila mbalimbali ikiwemo Israel. Kwa taarifa yako ni kwamba waisraeli walioko Marekani ni almost m sita yaani ni wengi kuliko wanaounda taifa la Israel lakini pia ni wachache sana ndani ya taifa la Marekani kwa sababu taifa la Marekani lina zaidi ya watu m mia tatu ila pamoja na uchache wao, wao ndio wamehodhi karibu kila nyanja na kila sekta. Kwenye teknolojia wao ndio wanaongoza, kwenye pesa (utajiri) wao ndio wanaongoza, kwenye siasa wao ndio wameshikilia hatamu pamoja na maeneo mengine kama vile jeshini. Hivyo kwa kifupi waisrael ndio watawala wa dunia penda usipende, taka usitake.
Hao hao unaowasema ndio ambao wanaongoza kutengeneza vitu fake duniani.CHNA. In IQ ni wa 3, Kwa smart people ni 1 kwa Research paper ni 1, Ndio nchi yenye 5G.
Kwa uchumi mkubwa duniani ni ya 2. Hao unaowasujudia hata wajawazidi wachina hata Kimoja. Wenye akili sana hakuna wanaoongoza duniani kuliko wasio na akili how come?
Israel bila ya zaidi ya dollars bilion 10 wanazopewa na USA kila mwaka hawana lolote.
Wenye akili tulisoma ilboru, je ni waisraeli wangapi wamepita ilboru? msitake kutuchanganya.
Hivyo og vya islaeli viko wapi ?Hao hao unaowasema ndio ambao wanaongoza kutengeneza vitu fake duniani.
Kwa karibu milenia nzima waarabu wamesomba waafrika kwa mamilioni kuwapeleka utumwani Asia, ulikuwa ni ukatili mkubwa kwani wanaume walihasiwa kama ng'ombe na wengi walipoteza maisha.Hao notorious Slave traders? Wanaheshimika kwa kukodisha Mashua za kubebea watumwa Duniani kutoka Africa!! walitoa mikopo kwa wafanya biashara ya watumwa Duniani hasa USA! Makampuni makubwa ya Bima ya biashara ya watumwa yaliendeshwa na Waisrael hawahawa!!
Biashara ile iliwanufaisha vizazi na vizazi mpaka leo! ni wabaguzi wa rangi hkn mfano wewe uliona Myahudi mmoja mmoja tu, Askari Farashas ndani ya jeshi la Israel hawaminiwi!!, wanabaguliwa mpaka wengine wanajiua, waafrica walioko Isael wanatengwa, hawapewi kazi nzuri km wayahudi wengine.
Kama pale ni kwao kweli kwa nini wanaongoza Duniani kuwa na Skin cancer tokana na Atla violet sun rays? ikifuatiwa na Austaralia? wazi kwamba ngozi zao (light skin) zina kuwa vizuri kwenye Temperate zones in High Latitude, sababu ya Hypomelanaesia!!
Ni kweli mungu wa Ulimwengu kawapendelea, hii siyo sababu kwa wajuvi kuwakubali, waarabu na waisrael wote ni manzi ga Nyanza! wako vizuri kutengeneza Propaganda kupitia vyombo vyao vya habari Duniani. na wengi wanadanganyika!
Haijawahi kutokea Mzungu amtese mzungu mwenzake kiudhalili hivo! kwanza ni wateke akikaa kwa jua tu mda mrefu anazimia km siyo kufa, Si wana hela hao?? sasa iweje mwenye hela, Mali na viwanda ateswe na maskini? hizo ni propaganda za Ki- Nazi.
Wanatamani kuteswa km wa -Africa walivoteswa ili kupotezea uharamia wao na roho mbaya zao , wapate huruma ya Dunia! Jamii pekee iliyoteswa Duniani kupitiliza mpaka leo inateswa na kudhalilika kusiko semekana ni WA-AFRICA, Mpaka leo imekuwa km fashion watesaji nao ''wanalilia mateso na sisi tuliteswa mtuonee huruma!'' waliteswa na nani???
Utumwa na Mateso makubwa ya kuchukiwa na Jamii za watu matajiri Duniani imefungamanishwa na uteule wa wana wa Mungu Mwenyezi kupitia father Abraham, Biblia na Quran zimetaja neno watumwa mara zaidi ya 3000.
Waisrael wa leo wanajibananisha hapo kwenye Neno la Mungu waonekane wao ni wateule wa Mungu ili kupoteza wengi. Musa alitoa hotuba yake ya mwisho kwa wana wa Israel, Kumbukumbu la torati, alisema Msiposhika neno la Mungu safari hii mtarudishwa Misri kwa mitumbwi, na safari ambayo hamta rudi tena, hawa mbona wamerudi?
Giant of the old ateswe?? Thubutuu!!! mpaka leo yule ni giant hakuna wa kumtisha Duniani, yuko juu ya sheria. anamiliki kila kitu Madini, Ardhi ya Dunia ni vyake!!
Mbona uandishi wako unaonyesha unahusudu Iran mkuu? waache na wenzio wawe huru wasujudu wanachoaminiWaisraeli wamerusha satellite mpya kwa dhumuni la ujasusi hasa kuichunguza Iran na teknolojia yao ya Mabomu ya Nyuklia.
Ni vipi waihofia Iran huku ninyi mnaowasujudu mnaamini kuwa wana akili sana kuliko mtu yoyote duniani. Kwanini wasiunde vifaa vya kufanya hayo mabomu ya Iran yawe maji ya kunywa?
Mnaosujudu Waisraeli kuwa wana akili sana, mbona sio nchi inaoongoza kuwa na akili zaidi katika top ten countries. Siyo nchi inayoongoza kuwa na smartest people on earth. Sio nchi inayoongoza kuwa na teknolojia mpya duniani.
Sio nchi inayoongoza kuwa na wanafunzi werevu zaidi duniani. Sio nchi inayoongoza kwa research papers duniani.
Sio nchi inayoleta teknolojia mpya zinazoshangaza dunia. Mfano Kompyuta, gari, treni za mwendokasi, ndege, mitandao. Vyote vimeanzia Ulaya na Marekani ndio Israel.
Akili yao ni ya ajabu sana. Mbona sioni kipya walichonacho ambacho Wazungu, Wamarekani hawana? Ninyi mnawapima vipi hizo akili nyingi zilizobarikiwa?
Kwa sababu wana andamwa bila sababu.Mbona uandishi wako unaonyesha unahusudu Iran mkuu? waache na wenzio wawe huru wasujudu wanachoamini
watakuja kujibu mataifa 7 ya kiarabu walio-ishambulia Israel mwaka 1960's na kusambaratishwa kaaa kumbikumbi na wakaomba poo.Waisraeli wamerusha satellite mpya kwa dhumuni la ujasusi hasa kuichunguza Iran na teknolojia yao ya Mabomu ya Nyuklia.
Ni vipi waihofia Iran huku ninyi mnaowasujudu mnaamini kuwa wana akili sana kuliko mtu yoyote duniani. Kwanini wasiunde vifaa vya kufanya hayo mabomu ya Iran yawe maji ya kunywa?
Mnaosujudu Waisraeli kuwa wana akili sana, mbona sio nchi inaoongoza kuwa na akili zaidi katika top ten countries. Siyo nchi inayoongoza kuwa na smartest people on earth. Sio nchi inayoongoza kuwa na teknolojia mpya duniani.
Sio nchi inayoongoza kuwa na wanafunzi werevu zaidi duniani. Sio nchi inayoongoza kwa research papers duniani.
Sio nchi inayoleta teknolojia mpya zinazoshangaza dunia. Mfano Kompyuta, gari, treni za mwendokasi, ndege, mitandao. Vyote vimeanzia Ulaya na Marekani ndio Israel.
Akili yao ni ya ajabu sana. Mbona sioni kipya walichonacho ambacho Wazungu, Wamarekani hawana? Ninyi mnawapima vipi hizo akili nyingi zilizobarikiwa?
Unazungumzia Tanganyika ya Kina Doroth Gwajima, Kibajaji, Ndugai na SUKUMA gang ya kupima mapapai kama yana corona ndio inaweza kujitegemea bila msaada wa mabeberu?Kwa sababu wana andamwa bila sababu.
Mapito wanayopitia Iran ni magumu kwa mtu mwenye akili.
Irani wameweza kukuza technolojia bila ya msaada mkubwa kukiko hao islaeli, wanaunda vitu vyote vta muhimu wao wenyewe.
Napendezwa na Iran kwa sbabu ni modal kwa Tanzania kujifunza kuwa unaweza kupaa bila ya msaada wa mabeberu na kuwa Tishio duniani.
Soma historia ya Iran utaelewa na huenda ukaipenda.
Nchi nyingine nilisahau ni Korea Kaskazini, nao wameweza kukuza technolojia ya nuckear pamoja na vokwazo vya magharibi, kwa ujimka sipendi uonevu dhidi ya watu wasio na hatia.
Simpendi kiduku kwa sababu nae anaonea watu ola modal yao nu nzuri kwa watanzania kuiga.
Sioni cha kujifunza islael zaidi ta uonevu na majigambo. Ingetobia bola ya misaada basi ningeipa chapuo.
Siyo kweli.. maana guru wa technology duniani Steve Jobs asili yake ni mwarabu wa Syria..Bill Gates sio muisrael. Haya sasa..Tatizo ni kwamba kila mtu unayeona amefanya mambo makubwa chimbuko lake ni huko.
Ukitaja watu matajiri au wenye ushawishi na wenye uvumbuzi wa teknolojia chimbuko lao ni Israel.
Hivi unajua teknolojia ya Artificial Intelligence ilivyopindua meza kwenye masuala ya uendeshaji mitambo?
Unajua mvumbuzi wake ni asili ya wapi? Mark Zuckerberg unajua asili yake wapi?
A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi
Nb. Siwaabudu Israel
Alisaidiwa na nani hiyo vita Kama unajua?watakuja kujibu mataifa 7 ya kiarabu walio-ishambulia Israel mwaka 1960's na kusambaratishwa kaaa kumbikumbi na wakaomba poo.
Hawakusaidiwa, walizungukwa, naona ume-elekeza mawazo yako mgando USA, bila kujua USA ndio inasaidiwa mbinu na ujasusi na Israel.Alisaidiwa na nani hiyo vita Kama unajua?