Mnaosujudu Israel, ni kipi hasa kinachofanya mlione ni taifa lenye watu wenye akili zaidi duniani?

Hawakusaidiwa, walizungukwa, naona ume-elekeza mawazo yako mgando USA, bila kujua USA ndio inasaidiwa mbinu na ujasusi na Israel.
Yani USA ikasaidiwe na Islaeli !!!! Makande mabaya sana, punguza kula kande mkuu.
 
Nyie lini mtatoa misaada. Waarabu na mahela yao mengi waliovuna kwenye mafuta wao wamewapa misaada gani. Ifike mahali tuache unafiki.
 
Nyie lini mtatoa misaada. Waarabu na mahela yao mengi waliovuna kwenye mafuta wao wamewapa misaada gani. Ifike mahali tuache unafiki.
Kwenye uzi wangu nimezingumzia warabu au unachuki na hao warabu. Nimezungumzia Iran,China,Korea, Russia. Usinipeleke kusiko.
Hii misaada ya wazungu imelitoa taifa ktk umaskini au imeliangiza kwa madeni yasiolipoka.
Acha habari za kupenda misaada jitegemee mkuu.
 
Itakua nawe ni mmoja ya wasiopenda maendeleo ya Israelities. Kwenye Comments zangu hakuna sehemu nimesema Mccarthy na Zuckerberg ni wayahudi. Nimesema ni waisrael. Ukute hujui tofauti ya wayahudi na israelities
hebu tupe tofauti ya Israelites na wayahudi
 
wahaya wamefanya mambo gani mpaka useme wana akili?
 
hebu tupe tofauti ya Israelites na wayahudi
Baada ya mfalme Suleiman kufa watoto zake wawili Rehoboam na Yeroboam walianza kugombania utawala. Lakini Yeroboam alikua kashapewa unabii kwamba Ufalme wa waisrael utagawanyika.
Sasa basi Rehoboam alipewa atawale makabila mawili ya Yuda na Benjamin wao walikaa huko Yerusalem. Neno wayahudi limetokana na jina Yuda yaani watoto wa Yuda.

Yeroboam alitawala makabila kumi yaliyobaki.. Hivo basi Kila myahudi ni muisrael kwakua antoka chimbuko la Baba yao Israel/Jacob ila sio kila muisrael ni myahudi/mwana wa yuda. Maana makabila yalikuepo 12.
Sijui nimeeleweka....
Unabii wenyewe huu hapa!

1 Wafalme 11:29-31
[29]Ikawa zamani zile Yeroboamu alipokuwa akitoka katika Yerusalemu, nabii Ahiya, Mshiloni, alikutana naye njiani; naye Ahiya amevaa vazi jipya, na hao wawili walikuwa peke yao mashambani.
[30]Ahiya akalishika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili.
[31]Akamwambia Yeroboamu, Twaa wewe vipande kumi, maana BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nitaurarua ufalme, na kuuondoa katika mkono wa Sulemani, nami nitakupa wewe kabila kumi,
 
Kuna waisrael wengi Sana blacks pale Ethiopia na Nigeria. Mwaka juzi Kama sikosei walikataliwa kurudi Israel coz waisrael wa kizungu hawawakubali wenzao.. hata hivyo Kuna blacks kibao kule ambao ni waisrael,. Actually ni polisi kule
ndo hao wanajiita lost tribes of Israel??
 
nimekuelewa sana.umeshawahi sikia kuwa kuna waisrael weusi?
 
kuna watu mnatoka nje ya mada na kuigusagusa Iran. pengine hamjui ama unazi unawasumbua tu. nchi zote hizo, iran na israel, hali zao zinajengwa na marekani. yani zipo zilivyo kwa sababu ya marekani. marekani ana uwezo wa kupindua meza na kesho huu uzi utabadilika. USA akitaka anakupandisha, akitaka anakushusha.
 
mzee tufanyaje ili tuwe na viwanda vyetu?
 
Iran imejengwa na marekani kivipi?
 
Thank you for sharing
 
Reactions: BAK
taja waisrael waliofanya mambo makubwa kwenye uchumi na teknolojia
 
Iran imejengwa na marekani kivipi?
Hivyo unavyoiona leo ni mkono wa marekani. wenyewe , kwa maslahi wanayoyajua, mara marafiki, wanawauzia silaha ,mara adui wanampiga. hizo nyuklia za Iran ni USA wenyewe walimuonjesha miaka ya nyuma. Kwahiyo, hata leo , unaona kama vile Iran hafurukuti kiviiile kwa Israel ni sababu ya vikwazo vya usa kwao, huku akiisapoti Israel. Akiamua Israel inakuwa Congo tu ndan ya muda mfupi sana. Marekani si mchezo achana nayo. cheki summary ya historia ya usa na iran hapa ujionee:

 
Kwa hiyo ilibidi iitwe nchi gani?
 


Hamna hata mwema hapo mkuu, sema tu kwa vile masuala haya yapo kimtazamo zaidi. Myahudi anafanya awezalo aweze kuishi maana ni katika binadamu wanaochezea kichapo kona zote za dunia. Rejea historia yao. So, na wao wameamua kuziba masikio na kuwakali wapalestina kwa mabavu. Iran nae anafanya kila awezalo kuhakikisha imani yao ya Kishia inatawala mashariki ya kati na akiweza dunia. Ujue Iran usikachukulie poa, kanasambaza ushia hadi huku kwetu.

Haya, leo unamuona iran anatia huruma, lakini ujue kihistoria huko nyuma kashawahi kuwa rafiki wa USA. na yeye alikuwa tishio kinoma kwa waarabu(kumbuka wairan si waarabu na wanatofautiana na waarabu wengi kwa imani, wao wengi ni waislamu wa kishia, waarabu wengi ni sunni). Kwahiyo, kinachomtokea leo hakijaanguka toka juu ghafla, ni historia ndefu ikichangiwa na mmarekani. ndo maana ukimuona mtu anashabikia uwezo wa Israel na kumcheka iran huyo hajui historia, wala hajui sera za mmarekani. Pale wote wanachezeshwa na USA, anaWAFANYA atakavyo. Siku kibao kikigeuga tutatoa machozi kwa wayahudi.

Tazama historia ya usa na iran kwa kifupi hapa

 
historia pia huandikwa na watu. itategemea maslahi yao ni yepi na hivyo imeandikwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…