The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Chanjo gani na ngapi wanakubali?Happy new year.
Wale mnaotafuta Kazi ,nendeni haraka Canada,mnaweza wasiloana na Balozi wetu kule awafanyie connection.
Sio mumelundikana Bongo na kulia Lia tuu hamtaki kujiongeza.
Kazi hizi hapa zinawatafuta nyie👇
View attachment 2066286
View attachment 2066287
Hata mia wewe kula unless hutaki Kazi.Chanjo ngapi wanakubali?
Anaweza arrange na kuulizia utaratibu,tatizo tuna Balozi Mzee Sana kule ,Babu Mihogo hajielewi.Kwahiyo unampigia Balozi tu anakupa connection??
Sio kirahisi hivyo kama hizo site zinavyojifanya.
Anyway tukutane Quebec
Kama upo huko jitahidi kufuatilia utaratibu uko vp? Mkuu kuna system ya kutumia invitation friend Visa sijui kama unaijua?
Kuna watu wanapata scholarship mfano ya kwenda italy kusoma,naskia huwa unalipwa na serikali ya huko na kila kitu bure.Happy new year.
Wale mnaotafuta Kazi ,nendeni haraka Canada,mnaweza wasiloana na Balozi wetu kule awafanyie connection.
Sio mumelundikana Bongo na kulia Lia tuu hamtaki kujiongeza.
Kazi hizi hapa zinawatafuta nyie👇
View attachment 2066286
View attachment 2066287
Anaweza arrange na kuulizia utaratibu,tatizo tuna Balozi Mzee Sana kule ,Babu Mihogo hajielewi.
Aige wenzake wa Korea,Japan na China.
Nikajua ni Dr SlaaDr Mpoki amezeeka sana lini?
Nina portion serikali sasa nikabebe mabox kutafuta nini na Kazi ninayo? Kama wewe ni jobless utanishukuru.Twende canada wewe upo wapi mbona huendi?
NI kweli mkuu,huwa zinatangazwa za Nchi mbalimbali ikiwemo Uturuki nk.Kuna watu wanapata scholarship mfano ya kwenda italy kusoma,naskia huwa unalipwa na serikali ya huko na kila kitu bure.
Je ni kweli watu wakipata nafasi wanasoma huku wakilipwa ?
Na kama ni kweli jee ni bei gani ?
Je kkuna risk gani ?
Wasiliana na Balozi,mimi ni Bongo tena Nanjilinji huku.Kama upo huko jitahidi kufuatilia utaratibu uko vp? Mkuu kuna system ya kutumia invitation friend Visa sijui kama unaijua?
Ndio hawajawapa sasa,kwa hiyo unabishana na gazeti la Canada au.KIrahisihi ivyo wahindi walivyo jaaa uko wangeshawapa ndugu zao mashavu
Fuata taratibu za kupata visa uende Canada ila unatakiwa kufuatilia sekta zipi hasa zina uhitaji mkubwa.kama uko na idea yeyote kuhusu hizi ajira tupatie mkuu
Naomba link niingie nioneFuata taratibu za kupata visa uende Canada ila unatakiwa kufuatilia sekta zipi hasa zina uhitaji mkubwa.
Mabalozi wetu wamelala