Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
SinzaTwende canada wewe upo wapi mbona huendi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SinzaTwende canada wewe upo wapi mbona huendi?
Nikajua ni Dr Slaa
Sijui hata pa kuanzia ,mimi nilileta screen shot ya hilo gazeti la financial post , mengine fanya mwenyewe.Naomba link niingie nione
Wewe ni jobless au mbona una hasira au ndio madam mushumbusi mwenyewe?Kama hauko informed, nyamaza. Uko empty lakini unafungua mdomo kila sehemu!!
Naomba tafadhari linako patikana hili gazeti pleaseSijui hata pa kuanzia ,mimi nilileta screen shot ya hilo gazeti la financial post , mengine fanya mwenyewe.
Google tuu heading litakuja,tarehe hiyo hapo na kichwa cha habari kipo,utapata habari nyingi zaidi.Naomba tafadhari linako patikana hili gazeti please
Boom lake lina range katika kiasi gani mkuu kes nchi kama italyNI kweli mkuu,huwa zinatangazwa za Nchi mbalimbali ikiwemo Uturuki nk.
Unapewa bumu,tiketi ya ndege na mahala pa kuishi kwa kipindi chote utakachokuwa masomono.
Thank you so much againGoogle tuu heading litakuja,tarehe hiyo hapo na kichwa cha habari kipo,utapata habari nyingi zaidi.
Sijui mkuu fuatiliaBoom lake lina range katika kiasi gani mkuu kes nchi kama italy
Hakuna nchi yenye mabalozi waduanzi kama Tanzania ,nipo Kenya naona raia wa huku wanavyofanyiwa mipango na balozi zao plus kuna agencies nyingi zinapeleka watu Dubai,Qatar,Oman na ukienda huko ni kuanza kazi (working permit zinafanyiwa mchakato huku huku kabla ya mhusika kwenda huko)Fuata taratibu za kupata visa uende Canada ila unatakiwa kufuatilia sekta zipi hasa zina uhitaji mkubwa.
Mabalozi wetu wamelala
Chanjo gani na ngapi wanakubali?
Maana hapo lzm ulimwe chanjo kibao za C19 !
UK nina ndugu ilo nilisikia na kuna jamaa wamedaka fursa.Ndio hawajawapa sasa,kwa hiyo unabishana na gazeti la Canada au.
Ndio maana wabongo hamuishi kulaumu na kulia Lia,unaonyeshwa fursa tena na wewe umesema ila bado unazingua.
Kuna kipindi UK walisema Wana upungufu mkubwa wa madereva ila sijui kama kuna wabongo walienda tofauti na Wakenya,Nigeria,Ghana na South Africa.
Viongozi wetu hawataki tutoboe huko mambele wanataka kila siku watulaghailaghai tu na maneno yao uchwaraHakuna nchi yenye mabalozi waduanzi kama Tanzania ,nipo Kenya naona raia wa huku wanavyofanyiwa mipango na balozi zao plus kuna agencies nyingi zinapeleka watu Dubai,Qatar,Oman na ukienda huko ni kuanza kazi (working permit zinafanyiwa mchakato huku huku kabla ya mhusika kwenda huko)
Tatizo hela hatuna hakuna kudhaminiwa na balozi ili ukifanikiwa kwenda unakatwa pesa yao uliyowakopaHakuna nchi yenye mabalozi waduanzi kama Tanzania ,nipo Kenya naona raia wa huku wanavyofanyiwa mipango na balozi zao plus kuna agencies nyingi zinapeleka watu Dubai,Qatar,Oman na ukienda huko ni kuanza kazi (working permit zinafanyiwa mchakato huku huku kabla ya mhusika kwenda huko)