Mnaotaka kufanya kazi na wanaojiita Nickshine Media Production kuweni makini sana

Ukiona hujaelewa basi ujuwe kinachojadiliwa hapa hakikuhusu.

Watu wa society na mambo ya social tumemuelewa vizuri.

Hawa watu ni kimeo mimi wedding yangu mpaka leo Flash sikupewa wakati package ni Dvd na flash na imagine huyo mtu namjuwa fika, je kwa watu baki atawafanyia uhuni gani?
 
Poleni sana jamani
 
Ndio ile nilikuona sehemu umevaa shera jeupe ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Na nyinyi si mnapenda Title zao , na wao wanawaumiza hapo hapo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sio title mtu unaye muamini tena kijana mwenzako una mpa deal Sasa utendaji kazi wao sio wakiuaminifu. Nikiwa na shughuli nitakuwa naalika wa mkoani wanaoendaga Hadi Kenya camera zao quality na hutumia Hadi drones na zile light tofauti na huku Dar Hawa vijana wa kiswahili hawana business mind hawafikirii kesho
 
Na nyinyi si mnapenda Title zao , na wao wanawaumiza hapo hapo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Wabongo wengi ni wababaishaji tu kwenye issue nyingi,sio hizo tu nyingi tu,mtu akipewa kazi anafanya ovyo ovyo yaani hatuna uaminifu kabisa na kauli mbaya mbaya na anaona sawa tu.

Na ndio maana raia wengi wa kigeni na wahindi wanapenda kuwatumia ndugu zetu toka nchi jirani hata kwa kazi za kawaida kabisa.
 
Dont beat around the bush...nimecheka sanaa, maana pia nimesoma maelezo meengiii...point ni moja tu.hahahah
 
Na ndio maana wakawa wapiga picha,hazinaga heshima hizo kazi maana zimejaa wahuni tu.
 
Na ndio maana wakawa wapiga picha,hazinaga heshima hizo kazi maana zimejaa wahuni tu.
Ni kweli hizo kazi ni za vijana waliofeli na wahuni wao wanaharibu kazi bila kufikiria kesho Yao wangekuwa na akili haya yasingetokea. Saa nyingine Bora kuajiri wakemya au nchi nyingine ila sio Watanzania wamejaa utapeli sana
 
Ni kweli hizo kazi ni za vijana waliofeli na wahuni wao wanaharibu kazi bila kufikiria kesho Yao wangekuwa na akili haya yasingetokea. Saa nyingine Bora kuajiri wakemya au nchi nyingine ila sio Watanzania wamejaa utapeli sana
Mi wapiga picha wengi ninaowajua wote walifeli shule,wengine walikosa Cha kufanya mtaani wakaona wajishikize huko kwny kupiga picha.Kifupi hawa Ni wahuni Kama mafundi nguo tu.
 
Mi wapiga picha wengi ninaowajua wote walifeli shule,wengine walikosa Cha kufanya mtaani wakaona wajishikize huko kwny kupiga picha.Kifupi hawa Ni wahuni Kama mafundi nguo tu.
Na hawana akili kweli hawa viumbe imagine unatoa kazi mbaya kwa wateja wakati ungekuwa unafanya vizuri hao wateja ndio wangekutangaza vyema. Nadhani wapiga picha ni wale failures wanaosema shule si muhimu ila Matokeo wanafanya ujinga kwenye kazi
 
Kama wewe upo famous sana kwenye jamii, watumie vendors wenye majina kwasababu wataogopa kukuharibia na watatumia event yako kujitangaza, watakupa best services.

Ila kama wewe ni ngumbaru kama mimi, fanya kazi na ngumbaru wenzako unaowamudu kuwakoromea wakikuharibia kazi. Na wao watahakikisha wanapambana wakupe huduma bora ili uwarecommend wengine waende kwao.

Nimeshakutana na watu wengi wanawapapatikia vendors wenye majina waliangukia pua vibaya sana.

Ni list ndefu sana.
 
So namfahamu NICK, aliwahi kufanya Wedding ya Rafiki yangu mwaka huu hapo Dar es Salaam. ALIFANYA KAZI HIYO KWA UBORA NA UAMINIFU
Nilipoona hii post niliamua kumtafuta sikumpata, lakini rafiki yangu ambaye alifanya naye kazi alimpata na kumuuliza kuhusu Uzi huu ulioweka.

Ndugu, uzi wako una kasoro na viashiria kwamba UNATAKA TU KUMCHAFUA NICK KWA SABABU ZAKO. Kasoro hizo ni;

1. Huelezi Nick kakukosea nini haswa. Uko too general husemi ulichofanywa.

2. Umetanguliza kujihami kwingi kwamba huandiki kwa nia mbaya, ilinipa hofu kuona kwamba unaweza kuwa na nia mbaya. Umemaliza pia kwa kusema utaletewa povu, why uletewe povu kweny jambo hilo?

Nicki amejieleza na kuomba wanajamvi wapime mambo yafuatayo:

1. Yeye sio biashara ya mtandaoni ambayo mtu anaweza kupata tabu kuifahamu. YEYE NI KAMPUNI, INA OFISI ZAKE ZIKO SINZA. Hivyo kama kweli una malalamiko kwake, ni rahisi kabisa kumkamata na kufungua kesi. So fara Ofisni kwake hakuna malalamiko ya hivyo unavyosema kwamba eti unashindwa kumpeleka mahakamani.

2. Nicki anahusisaha suala hili na vita za kibiashara kwa sababu YEYE ANAJITANGAZA SANA NA KUTOA HUDUMA KWA BEI NAFUU jambo ambalo washindani wake kwenye biashara linawakera sana. Mnaungana kumpiga vita.

3. Nicki amehusisha hili na TUZO, mnajua wenyewe mambo yenu ya tuzo ambazo mwaka jana Nicki alishinda. Mwaka huu tena yuko Nominated, hivyo kuelekea tuzo hizo mmeanza kuwekeana fitna.

MSICHAFUANE, MWENYE MALALAMIKO YA KWELI TUAMBIE ULIFANYWA NINI, NICKI YUPO OFISNI KWAKE TUELEZE KWA NINI HUJAMKAMATA?

Uzi wako una dalili zote za chuki za kibiashara, umekosa mashiko na ukweli wa hoja. ACHA.
 


Pole Sana Mkuu

Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni

Umetoa Angalizo Kesho Mwingine Atakwenda Huko Huko
 
Unamaanisha nini kuwaita vendors.

Pia nahisi kama vile una kitu unakifahamu na sasa unadivert thread.

Nakusoma kwa makini ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…