Mnaotaka kufanya kazi na wanaojiita Nickshine Media Production kuweni makini sana

Sikushauri best tafuta wa low key kwanza bei zao ni ndogo lakini pia wanazingatia ubora wa kazi na wako punctually hawa maarafu may b kama wewe ni maarufu!!


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Asante sana kwa kunisanua ningekoma aisee,, mi sio maarufu na sipendi mambo hizo napenda vitu simple tu,
 
Nilitafta wa low-key ikala kwangu hii tabia nadhani ni wapiga picha wengi shoga angu naye walimharibia picha za harusi
Hivi wana shida gani?kama wehu...!!!yaani mi kuna mmoja nampaga kazi kwa watu anafanya poa Sana'a...kwangu mpk anatufutwa tena na tena...kwangu sasa video mpk Leo hajaleta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wengi nadhani ni shule ndogo na hawana exposure Mimi Kuna wapiga picha was chugga huwatafta na huwa nagharamia wako humble kazi zao nzuri huwa wanaendaga kupiga picha Hadi Nairobi na hawana longolongo hao vijana ila Hawa was Dar hamna kitu
 
Wengi nadhani ni shule ndogo na hawana exposure Mimi Kuna wapiga picha was chugga huwatafta na huwa nagharamia wako humble kazi zao nzuri huwa wanaendaga kupiga picha Hadi Nairobi na hawana longolongo hao vijana ila Hawa was Dar hamna kitu
Ni ujinga tuu unawasumbua

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wanadharau sana yani wangese hao! Ni kama Dicksound mastaa anawapet peti ila kajamba nan analeta dharau kishenzi

shobo zinatukata sana wabongo[emoji38][emoji38][emoji38].

mambo ya kuheshimu kazi sio hulka yetu,nasisi walaji inabidi kabisa tujue hili kwamba wafanyabiashara wetu ni vimeo inapokuja kwenye kazi.
 
kila jambo litapita,wawaulize madreva tax maisha waliyoishi kabla ya uber,bolt na taxfy.

unamuita mtu airport posta anaropoka tu bei,lete 80 kisa umeshuka kwenye ndege[emoji1787],beseni lilipokuja kupinduka watu wanalipa 3500 ndio akili zikawakaa sawa.

kwa mimi ninavyojua,kazi kama ile nawewe unakuwa sehemu ya sherehe,ukizingua tayari umeharibu furaha muhimu ya mwenzako.
tuchukulie mfano ma MC namna wanavyolipwa na kuja kuamsha sherehe ya mhusika,ndio kitu tunachotaka.
 
Next time wazee kwa yeyote anayetaka mtu wa kupiga picha au video just hook me up.

Tutafanya deal nzuri.
Uko serious au unachangamsha mada tu, kazi unafanyia wapi? Mi itakuwa mwanza utaweza kuja na Ni bei gani?, nimeuliza hapa hapa jukwaani ili na wengine waone
 
Kuna wengine walipewa kushoot kazi ya Dada yangu, baadae kazi ikawa mbovu halafu wakataka kuleta majibu ya kijinga.

Kuna kaka yetu mkubwa , Eng.PETRO wakati huo alikuwa ni Zonal manager wa SUMA JKT kanda ya siwa akaamua kulivalia njuga. Walipigwa mkwara mmoja tu mixer kutumiwa ma-MP ofisi I kwao, walitema hela zote na nyongeza ya kumpotezea muda.

Bila mkataba wowote.
 
Nick umekuja mwenyewe acha janja janja acha kazi mbovu
 
Tatizo lako ni mvivu wa kusoma alafu unajiona mwenye akili kumbe mjinga
 
Tatizo hii biashara imevamiwa baada ya kuonekana Ina hela, kwa hiyo wengi hawana ethics na hawana customer care nzuri
 
Uko serious au unachangamsha mada tu, kazi unafanyia wapi? Mi itakuwa mwanza utaweza kuja na Ni bei gani?, nimeuliza hapa hapa jukwaani ili na wengine waone
Nipo serious.

Ofisi ipo Dar. Kwa nje ya Dar itapendeza kama nauli itakua juu ya mteja.

Fursa ya Mwanza itakua ya kwanza kwetu kuifanya inayohusu sherehe nje ya Dar (Tulifanya ya kua shot takers wa behind the scene wa tangazo la kampuni moja maarufu)

So nafikiri kwa ulipo inabidi tukae chini na kubargain au?
 
Bora mlikomaa Hawa wahuni hawajali shughuli muhimu za watu shida ni fani kuvamiwa na wahuni so wao wanajali hela bila kujali quality service
 
Tatizo hii biashara imevamiwa baada ya kuonekana Ina hela, kwa hiyo wengi hawana ethics na hawana customer care nzuri
Yes imevamiwa na wahuni kila mtu akijua kununua camera na kupiga basi kamaliza Sasa picha nyingine ni mbovu heri hata ya simu
 
Uko serious au unachangamsha mada tu, kazi unafanyia wapi? Mi itakuwa mwanza utaweza kuja na Ni bei gani?, nimeuliza hapa hapa jukwaani ili na wengine waone
Mwanza Kuna wapiga picha wazuri na sio matapeli ka bongo daslam
 
Haina neno, tutajadili tuafikiane, shukrani sana kwa kunijibu vizuri
 
Mwanza Kuna wapiga picha wazuri na sio matapeli ka bongo daslam
Kama Kuna unaefahamiana nae aliye makini na kazi yake niunganishie basi, kashughuli ni kadogo tu ila kenye kuhitaji kumbukumbu na kumbukumbu nzuri inapatikana kwenye picha/video
 
Kama Kuna unaefahamiana nae aliye makini na kazi yake niunganishie basi, kashughuli ni kadogo tu ila kenye kuhitaji kumbukumbu na kumbukumbu nzuri inapatikana kwenye picha/video
Okay ngoja nikupe contact za hao kaka walichukua video shughuli ya ndugu yangu wako vizuri
 
Kama Kuna unaefahamiana nae aliye makini na kazi yake niunganishie basi, kashughuli ni kadogo tu ila kenye kuhitaji kumbukumbu na kumbukumbu nzuri inapatikana kwenye picha/video
Nakutumia pm message haziendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…