Mnaotamani Mbowe aachie uenyekiti, mnaweza kuja kumkumbuka ikitokea anarithiwa na kiongozi mwingine ambae hatokubali kuvumilia uonevu huu unaondelea

Mnaotamani Mbowe aachie uenyekiti, mnaweza kuja kumkumbuka ikitokea anarithiwa na kiongozi mwingine ambae hatokubali kuvumilia uonevu huu unaondelea

Sasa Mbowe atoke kisha uenyekiti apewe kamanda Heche kwa mfano, sio kuwa Heche sio mstaarabu bali asili ya kwao neno kuvumilia ujinga halipo mnategemea nini?
Kama kwenye mkutano wa hadhara anapandishiana na rais Magufuli hadi ananyang'anywa mic unadhani wa mchezo huyo akiwa ofisini peke yake? CCM mnalitafuta jini lililo kwenye chupa kwa kusuka mipango ya kumtoa Mbowe.
Sio kwamba mbinu zenu zitafanikiwa, lahasha Bali Mbowe kama binadamu na mwenye familia yake anaweza kuchoka akajisemea bora nika jipumzikie.
Hecha apingwa!
 
Baadhi ya watu wa chama cha kijani wanatumia nguvu kubwa na muda wao mwingi kufanya kila waliwezalo kuhakikisha Mbowe harudi madarakani iwapo ataamua kugombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Binafsi watu hawa nawasikitikia sana kwani huenda hawajui walitendalo mithili ya wale Wyahudi waliomsulubisha Yesu msalabani ambao nao walikuwa hawajui walitendalo.

Na vita hii dhidi ya Mbowe bila shaka ina baraka za watu wakubwa tu walioko katika chama cha hawa wenzetu na pengine wana lengo la kutaka kutumia uchaguzi huo kuweka pandikizi lao katika nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa masilahi yao ya kisiasa kama wanavyotuhuimiwa kuweka mapandikizi katika baadhi ya taasisi au vyama na kuzifanya taasisi au vyama hivyo kuwa ni taasisi butu/mfu.

Mimi nawashauri watu hawa wajue tu kuwa ikitokea Mbowe harudi madarakani kwa yeye mwenyewe kutogombea au vinginevyo, huku jitihada za kuweka mwenyekiti pandikizi zikifeli na badala yake CHADEMA wakafanikiwa kupata mwenyekiti mpya atakaekuja na misimamo na mitazamo tofauti katika kuiongoza CHADEMA ikiwamo kukataa kuvumilia uonevu huu unaoendelea dhidi ya wana-CHADEMA na upinzani kwa ujumla,basi watu wa chama cha kijani wajue tu wanaweza kuja kukumbuka sana Mbowe na wanaweza kuja kujuta na kusema bora Mbowe angebaki tu kuiongoza CHADEMA.

Busara na uvumilivu wa Mbowe, hamtaweza kuviona sasa mpaka pale mtu mwingine atakapochukua nafasi yake ingawa teyari Spika hivi karibuni alikiri kuwa Mbowe ni mtaratibu akimlinganisha na Lissu aliemuoma ni mtu mkorofi/mwenye kiburi.

Turejee maneno ya wahenga: "mtoto akililia wembe,mpe".
ngoja waje kina Savimbi, Kone, nk ndiposa watajuta kumfitini gentleman Mbowe!
 
Mimi nawashauri watu hawa wajue tu kuwa ikitokea Mbowe harudi madarakani kwa yeye mwenyewe kutogombea au vinginevyo, huku jitihada za kuweka mwenyekiti pandikizi zikifeli na badala yake CHADEMA wakafanikiwa kupata mwenyekiti mpya atakaekuja na misimamo na mitazamo tofauti katika kuiongoza CHADEMA ikiwamo kukataa kuvumilia uonevu huu unaoendelea dhidi ya wana-CHADEMA na upinzani kwa ujumla,basi watu wa chama cha kijani wajue tu wanaweza kuja kukumbuka sana Mbowe na wanaweza kuja kujuta na kusema bora Mbowe angebaki tu kuiongoza CHADEMA.
Vibaraka wa mbowe mnahaha kumlinda bwana wenu
Eti unajaribu kututisha atatokea kiongozi asiekubali uonevu,kama umikiri mbowe anakubali uonevu,basi hafai
 
Mbowe kafanya makubwa sana. Anastahili heshima na pongezi kwa aliyoyafanya.

Lakini wana- CHADEMA mnatakiwa kutambua kuwa binadamu anaweza kufaa sana kwa mazingira fulani kwa kazi fulani kwa wakati fulani lakini siyo lazima afae wakati wote kwa mazingira yote. Na siyo sahihi kwa sababu kiongozi alifanya vizuri sana wakati fulani aendelee wakati wote hata kwenye mazingira na nyakati asizozimudu kama shukrani kwa mazuri aliyoyafanya.

Ni kama CCM, ilitufaa wakati fulani kwa kazi fulani za wakati huo lakini kwa mazingira ya sasa haitufai tena. Ndiyo maana unakuta watu kama akina Kabudi, hata wakipewa nafasi ya kuongea, wanakazania kuongelea historia tu. Ni kwa sababu walionekana ni wasomi wazuri nyakati hizo lakini kwa nyakati hizi, wakiongea wanaonekana ni watu wasiojua kitu na waliopitwa na Ulimwengu uliopo.

Kwa mazingira ya sasa na kwa wakati huu, kwa kuyatazama mazingira ya siasa ya sasa, na hali ya CCM kwa sasa na uongozi wa CCM na serikali uliopo sasa, tunahitaji sana mbinu mpya, mtazamo mpya, fikra mpya na pengine viongozi wapya wenye ujasiri mpya.

CCM haitufai tena kwa mazingira ya sasa lakini kuiondoa kunahitajika mipangilio mipya kabisa. Siyo ile ya kale.
Missile of the Nation huyu ndio Mbowe ambae niliwahi sema siku akitoka madaraka, CCM watamkumbuka kwa busara zake.
 
Pandikizi Ni Sumaye

Ila Mbowe Apumzike Inatosha.

Umbogo Wa Mbowe Ndio Umetufikisha Apa Tulipo.

Kuna Watu Makini Ndani Ya Chadema Tundu Lissu, John Heche Na Wengine Wasio Na Makando Kando Ya Tuhuma !

Magufuli Anahitaji Mtu Aina Ya Lissu.
Siku si nyingi yatatimia labda Lissu asipate uenyekiti, Uzuri tuliwaonya tangu siku nyingi.
 
Watakupinga, lakini ndio ukweli. Sasa hivi matukio ya uvunjifu wa amani mitaani no ajabu kuwa yanaratibiwa na chama tawala tofauti na ilivyo zoeleka nchi nyingi kuwa chama kikuu cha upinzani ndio huratibu matukio machafu kupinga utawala.
Kwa nini? Ni kwa sababu kiongozi mkuu wa upinzani kajawa hekima, moyo usio wa kisasi na kukulia mazingira ya kistaarabu yenye kujali utu wa mtu.
Sasa Mbowe atoke kisha uenyekiti apewe kamanda Heche kwa mfano, sio kuwa Heche sio mstaarabu bali asili ya kwao neno kuvumilia ujinga halipo mnategemea nini?
Kama kwenye mkutano wa hadhara anapandishiana na rais Magufuli hadi ananyang'anywa mic unadhani wa mchezo huyo akiwa ofisini peke yake? CCM mnalitafuta jini lililo kwenye chupa kwa kusuka mipango ya kumtoa Mbowe.
Sio kwamba mbinu zenu zitafanikiwa, lahasha Bali Mbowe kama binadamu na mwenye familia yake anaweza kuchoka akajisemea bora nika jipumzikie.
Sasa kwa CCM ilipofikia ndio inatakiwa mwenyekiti CHADEMA wa aina hii, hakuna tena mambo ya upole kwa wahuni!!!.
 
Baadhi ya watu wa chama cha kijani wanatumia nguvu kubwa na muda wao mwingi kufanya kila waliwezalo kuhakikisha Mbowe harudi madarakani iwapo ataamua kugombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Binafsi watu hawa nawasikitikia sana kwani huenda hawajui walitendalo mithili ya wale Wyahudi waliomsulubisha Yesu msalabani ambao nao walikuwa hawajui walitendalo.

Na vita hii dhidi ya Mbowe bila shaka ina baraka za watu wakubwa tu walioko katika chama cha hawa wenzetu na pengine wana lengo la kutaka kutumia uchaguzi huo kuweka pandikizi lao katika nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa masilahi yao ya kisiasa kama wanavyotuhuimiwa kuweka mapandikizi katika baadhi ya taasisi au vyama na kuzifanya taasisi au vyama hivyo kuwa ni taasisi butu/mfu.

Mimi nawashauri watu hawa wajue tu kuwa ikitokea Mbowe harudi madarakani kwa yeye mwenyewe kutogombea au vinginevyo, huku jitihada za kuweka mwenyekiti pandikizi zikifeli na badala yake CHADEMA wakafanikiwa kupata mwenyekiti mpya atakaekuja na misimamo na mitazamo tofauti katika kuiongoza CHADEMA ikiwamo kukataa kuvumilia uonevu huu unaoendelea dhidi ya wana-CHADEMA na upinzani kwa ujumla,basi watu wa chama cha kijani wajue tu wanaweza kuja kukumbuka sana Mbowe na wanaweza kuja kujuta na kusema bora Mbowe angebaki tu kuiongoza CHADEMA.

Busara na uvumilivu wa Mbowe, hamtaweza kuviona sasa mpaka pale mtu mwingine atakapochukua nafasi yake ingawa teyari Spika hivi karibuni alikiri kuwa Mbowe ni mtaratibu akimlinganisha na Lissu aliemuoma ni mtu mkorofi/mwenye kiburi.

Turejee maneno ya wahenga: "mtoto akililia wembe,mpe".
Lucas Mwashambwa niliwaambia siku nyingi kuwa kuna siku mtamkumbuka. Leo hata kabla Lissu hajakabidhiwa ofisi rasimi, mmeanza kulialia.

Lissu sio Mbowe na m,sisahau wananchi wamewachoka tena sana kwahiyo anahitajika tu mtu wa kumwagia petroli kwenye moto unaowaka.

Ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.
 
Umetwist maneno yako ulikua timu mbowe ghafla ukabadili gia angani
Lucas Mwashambwa niliwaambia siku nyingi kuwa kuna siku mtamkumbuka. Leo hata kabla Lissu hajakabidhiwa ofisi rasimi, mmeanza kulialia.

Lissu sio Mbowe na m,sisahau wananchi wamewachoka tena sana kwahiyo anahitajika tu mtu wa kumwagia petroli kwenye moto unaowaka.

Ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.
 
Pandikizi Ni Sumaye

Ila Mbowe Apumzike Inatosha.

Umbogo Wa Mbowe Ndio Umetufikisha Apa Tulipo.

Kuna Watu Makini Ndani Ya Chadema Tundu Lissu, John Heche Na Wengine Wasio Na Makando Kando Ya Tuhuma !

Magufuli Anahitaji Mtu Aina Ya Lissu.
Hatimaye unabii mezani.
 
Baadhi ya watu wa chama cha kijani wanatumia nguvu kubwa na muda wao mwingi kufanya kila waliwezalo kuhakikisha Mbowe harudi madarakani iwapo ataamua kugombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Binafsi watu hawa nawasikitikia sana kwani huenda hawajui walitendalo mithili ya wale Wyahudi waliomsulubisha Yesu msalabani ambao nao walikuwa hawajui walitendalo.

Na vita hii dhidi ya Mbowe bila shaka ina baraka za watu wakubwa tu walioko katika chama cha hawa wenzetu na pengine wana lengo la kutaka kutumia uchaguzi huo kuweka pandikizi lao katika nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa masilahi yao ya kisiasa kama wanavyotuhuimiwa kuweka mapandikizi katika baadhi ya taasisi au vyama na kuzifanya taasisi au vyama hivyo kuwa ni taasisi butu/mfu.

Mimi nawashauri watu hawa wajue tu kuwa ikitokea Mbowe harudi madarakani kwa yeye mwenyewe kutogombea au vinginevyo, huku jitihada za kuweka mwenyekiti pandikizi zikifeli na badala yake CHADEMA wakafanikiwa kupata mwenyekiti mpya atakaekuja na misimamo na mitazamo tofauti katika kuiongoza CHADEMA ikiwamo kukataa kuvumilia uonevu huu unaoendelea dhidi ya wana-CHADEMA na upinzani kwa ujumla,basi watu wa chama cha kijani wajue tu wanaweza kuja kukumbuka sana Mbowe na wanaweza kuja kujuta na kusema bora Mbowe angebaki tu kuiongoza CHADEMA.

Busara na uvumilivu wa Mbowe, hamtaweza kuviona sasa mpaka pale mtu mwingine atakapochukua nafasi yake ingawa teyari Spika hivi karibuni alikiri kuwa Mbowe ni mtaratibu akimlinganisha na Lissu aliemuoma ni mtu mkorofi/mwenye kiburi.

Turejee maneno ya wahenga: "mtoto akililia wembe,mpe".
Jf Ya Maono
 
Back
Top Bottom