Mnaotetea Chalamila ripoti za CAG huwa hamzioni? Rais Samia usipomtumbua umebariki unyama huo kuendelea

Mnaotetea Chalamila ripoti za CAG huwa hamzioni? Rais Samia usipomtumbua umebariki unyama huo kuendelea

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Nashangaa mnaowasakama wajawazkto na kusema wanajidekeza sijui wajifunze kuchagia huduma, wapuuzi kabisa!

Huwa hamuoni mabilioni ya pesa yanavyotafunwa na kuripotowa kila mwaka lakini hakuna hatua inayochokuliwa? Kwani hamjui kama hizo ni kodi zetu na ndio wanasababisha huduma kuzorota?

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Kodi zetu zingekuwa zinatumika kama inavyostahili tusingekuwa tunalalamika huduma mbovu kila sehemu.

Mbaya zaidi chalamila siyo mara ya kwanza kuongea kauli za ukakasi dhidi ya wananchi utafikiri hakuna sheria na taratibu za kusimamia na kuendesha vitu.

Pia soma: Kauli tata za RC Chalamila kwenye matamko mbalimbali nchini

Tuna uwezo wa kufanya huduma nyingi ziwe bure na kutolewa kwa kiwngo cha juu lakini rushwa, ufisadi na ubadhirifu ndio unaosababisha tupate huduma mbovu.

Rais Samia usipomtumbua huyo mpuuzi utakuwa umeendelea kubariki aendelee kutumia madarake yake vibaya, wananchi wakichoka watadeal naye kwa njia wanayoona inafaa!
 
Nashangaa mnaowasakama wajawazkto na kusema wanajidekeza sijui wajifunze kuchagia huduma, wapuuzi kabisa!

Huwa hamuoni mabilioni ya pesa yanavyotafunwa na kuripotowa kila mwaka lakini hakuna hatua inayochokuliwa? Kwani hamjui kama hizo ni kodi zetu na ndio wanasababisha huduma kuzorota?

Kodi zetu zingekuwa zinatumika kama inavyostahili tusingekuwa tunalalamika huduma mbovu kila sehemu.

Mbaya zaidi chalamila siyo mara ya kwanza kuongea kauli za ukakasi dhidi ya wananchi utafikiri hakuna sheria na taratibu za kusimamia na kuendesha vitu.

Pia soma: Kauli tata za RC Chalamila kwenye matamko mbalimbali nchini

Tuna uwezo wa kufanya huduma nyingi ziwe bure na kutolewa kwa kiwngo cha juu lakini rushwa, ufisadi na ubadhirifu ndio unaosababisha tupate huduma mbovu.

Rais Samia usipomtumbua huyo mpuuzi utakuwa umeendelea kubariki aendelee kutumia madarake yake vibaya, wananchi wakichoka watadeal naye kwa njia wanayoona inafaa!
Dada

Kwa mwaka unalipa kodi kiasi gani?
 
Nashangaa mnaowasakama wajawazkto na kusema wanajidekeza sijui wajifunze kuchagia huduma, wapuuzi kabisa!

Huwa hamuoni mabilioni ya pesa yanavyotafunwa na kuripotowa kila mwaka lakini hakuna hatua inayochokuliwa? Kwani hamjui kama hizo ni kodi zetu na ndio wanasababisha huduma kuzorota?

Kodi zetu zingekuwa zinatumika kama inavyostahili tusingekuwa tunalalamika huduma mbovu kila sehemu.

Mbaya zaidi chalamila siyo mara ya kwanza kuongea kauli za ukakasi dhidi ya wananchi utafikiri hakuna sheria na taratibu za kusimamia na kuendesha vitu.

Pia soma: Kauli tata za RC Chalamila kwenye matamko mbalimbali nchini

Tuna uwezo wa kufanya huduma nyingi ziwe bure na kutolewa kwa kiwngo cha juu lakini rushwa, ufisadi na ubadhirifu ndio unaosababisha tupate huduma mbovu.

Rais Samia usipomtumbua huyo mpuuzi utakuwa umeendelea kubariki aendelee kutumia madarake yake vibaya, wananchi wakichoka watadeal naye kwa njia wanayoona inafaa!
Sasa Umeeleza swala kwa Ujumla na Vizuri sana haya Nipe Kosa la Chalamila kwa Kauli yake na Ufafanuzi wa Kauli yake!

Pili Niambie Hospitali Inapataje Hizo Gloves Ikiwa Hakuna Pesa zinazokusanywa??
 
Chalamila ana akili nusu! alitakiwa abakie kwenye chama huko kupiga porojo tu! Dar es salaam tuleteeni mtu anayewaza kutatua changamoto ili Dar ikae sawa sio mpiga porojo! kakalia kuongea vitu vinavyoleta taharuki kama alivyokuwaa makonda! chalamila akili zake kama makonda tu!

Dar es salaam inahitaji mtu wa kutatua kero kwa kutumia raslimali za serikali moja kwa moja
 
Ndio mjue watu tuliowapa madaraka wana utindio wa ubongo kiaina fulani, kuna kauli wanazitoa unaona kabisa haya madaraka yamewalevya, hawajui maisha halisi ya mtanzania wa chini n.k.
 
Nashangaa mnaowasakama wajawazkto na kusema wanajidekeza sijui wajifunze kuchagia huduma, wapuuzi kabisa!

Huwa hamuoni mabilioni ya pesa yanavyotafunwa na kuripotowa kila mwaka lakini hakuna hatua inayochokuliwa? Kwani hamjui kama hizo ni kodi zetu na ndio wanasababisha huduma kuzorota?

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Kodi zetu zingekuwa zinatumika kama inavyostahili tusingekuwa tunalalamika huduma mbovu kila sehemu.

Mbaya zaidi chalamila siyo mara ya kwanza kuongea kauli za ukakasi dhidi ya wananchi utafikiri hakuna sheria na taratibu za kusimamia na kuendesha vitu.

Pia soma: Kauli tata za RC Chalamila kwenye matamko mbalimbali nchini

Tuna uwezo wa kufanya huduma nyingi ziwe bure na kutolewa kwa kiwngo cha juu lakini rushwa, ufisadi na ubadhirifu ndio unaosababisha tupate huduma mbovu.

Rais Samia usipomtumbua huyo mpuuzi utakuwa umeendelea kubariki aendelee kutumia madarake yake vibaya, wananchi wakichoka watadeal naye kwa njia wanayoona inafaa!
Am sure chalamilq huyu kiazi mbatata February 14 hatoboi
 
Nashangaa mnaowasakama wajawazkto na kusema wanajidekeza sijui wajifunze kuchagia huduma, wapuuzi kabisa!

Huwa hamuoni mabilioni ya pesa yanavyotafunwa na kuripotowa kila mwaka lakini hakuna hatua inayochokuliwa? Kwani hamjui kama hizo ni kodi zetu na ndio wanasababisha huduma kuzorota?

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Kodi zetu zingekuwa zinatumika kama inavyostahili tusingekuwa tunalalamika huduma mbovu kila sehemu.

Mbaya zaidi chalamila siyo mara ya kwanza kuongea kauli za ukakasi dhidi ya wananchi utafikiri hakuna sheria na taratibu za kusimamia na kuendesha vitu.

Pia soma: Kauli tata za RC Chalamila kwenye matamko mbalimbali nchini

Tuna uwezo wa kufanya huduma nyingi ziwe bure na kutolewa kwa kiwngo cha juu lakini rushwa, ufisadi na ubadhirifu ndio unaosababisha tupate huduma mbovu.

Rais Samia usipomtumbua huyo mpuuzi utakuwa umeendelea kubariki aendelee kutumia madarake yake vibaya, wananchi wakichoka watadeal naye kwa njia wanayoona inafaa!
Naungana na rehema chalamila
 
Sasa Umeeleza swala kwa Ujumla na Vizuri sana haya Nipe Kosa la Chalamila kwa Kauli yake na Ufafanuzi wa Kauli yake!

Pili Niambie Hospitali Inapataje Hizo Gloves Ikiwa Hakuna Pesa zinazokusanywa??
Kuna siku Chalamila au hao viongozi waku walikosa kitu wanachokihitaji?
Kwanini kukosekana kwa vifaa tiba ionekane kawaida? Wenzetu bima zao ni za daraja gani?
 
Ipo siku watampiga mawe huyu akiwa jukwaani.

Kwanini asijifunze kuchunga kauli zake?
 
Nashangaa mnaowasakama wajawazkto na kusema wanajidekeza sijui wajifunze kuchagia huduma, wapuuzi kabisa!

Huwa hamuoni mabilioni ya pesa yanavyotafunwa na kuripotowa kila mwaka lakini hakuna hatua inayochokuliwa? Kwani hamjui kama hizo ni kodi zetu na ndio wanasababisha huduma kuzorota?

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Kodi zetu zingekuwa zinatumika kama inavyostahili tusingekuwa tunalalamika huduma mbovu kila sehemu.

Mbaya zaidi chalamila siyo mara ya kwanza kuongea kauli za ukakasi dhidi ya wananchi utafikiri hakuna sheria na taratibu za kusimamia na kuendesha vitu.

Pia soma: Kauli tata za RC Chalamila kwenye matamko mbalimbali nchini

Tuna uwezo wa kufanya huduma nyingi ziwe bure na kutolewa kwa kiwngo cha juu lakini rushwa, ufisadi na ubadhirifu ndio unaosababisha tupate huduma mbovu.

Rais Samia usipomtumbua huyo mpuuzi utakuwa umeendelea kubariki aendelee kutumia madarake yake vibaya, wananchi wakichoka watadeal naye kwa njia wanayoona inafaa!
Viongozi wengi huwa wanajisahau. Kesho na kwenda shule moja kuonana na mkuu wa shule ambae amejitungia utaratibu kuwa mtoto wa kidato cha pili akipata div IV anamuondoa ktk shule hiyo wakati wizara ilikwisha pigs marufuku zoezi hilo hadi kwenye shule za binafsi lakini yeye ktk shule ya serikali ya akina st kayumba anafukuza wanafunzi. Kwa hiyo matamshi kama hayo ya Chalamila sio huwa wanatamka tu wengine wanayatekelexa matamshi yao kwa vitendo
 
Kuna siku Chalamila au hao viongozi waku walikosa kitu wanachokihitaji?
Safi Hata Ukienda Hospitali Kila Bidhaa Inagawiwa kwa Vitengo..
Huenda Dawa Zilizopelekwa Bima Zikaisha Haimaanishi kwamba Kwakuwa Dawa za Bima Zimeisha basi naweza Kuxhukua Dawa Kutoka Wagonjwa wa Kulipia Na Nikazipeleka Bima..

au kwa kuwa Dawa za Wagonjwa wa Kulipia Zimeisha basi ninaweza Kuzichukua nikazipeleka Bima..

ni vema Watu mkaelewa Kwamba Kila sehemu Ina utaratibu wake..
Na Ni busara Kuuliza Utaratibu kabla Hujahukumu
Kwanini kukosekana kwa vifaa tiba ionekane kawaida? Wenzetu bima zao ni za daraja gani?
Kwa Sababu Vifaa Tiba Na Dawa zina Utaratibu wake wa Kununuliwa Ambao huenda Unaweza Ukachelewa Kupatikana kwa Wiki hata Mwezi na wakati mwingine hata Miezi baada ya Kuandika Dokezo mpaka Vifaa kufika Hospitali..

Hivyo changamoto Kipindi Vifaa Hivyo havipo Zinatatuliwaje??
 
Zuieni mabilioni yasiibiwe lakini pia ni muhimu watu kugharamia wanapozaa.
 
Kauli ya kipu.mbav kabisa kwa kiongozi kama yeye. Angeweza kuiweka vizuri ila sio kwa kusema wakakatwe visu na waume zao
 
Nashangaa mnaowasakama wajawazkto na kusema wanajidekeza sijui wajifunze kuchagia huduma, wapuuzi kabisa!

Huwa hamuoni mabilioni ya pesa yanavyotafunwa na kuripotowa kila mwaka lakini hakuna hatua inayochokuliwa? Kwani hamjui kama hizo ni kodi zetu na ndio wanasababisha huduma kuzorota?

Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Kodi zetu zingekuwa zinatumika kama inavyostahili tusingekuwa tunalalamika huduma mbovu kila sehemu.

Mbaya zaidi chalamila siyo mara ya kwanza kuongea kauli za ukakasi dhidi ya wananchi utafikiri hakuna sheria na taratibu za kusimamia na kuendesha vitu.

Pia soma: Kauli tata za RC Chalamila kwenye matamko mbalimbali nchini

Tuna uwezo wa kufanya huduma nyingi ziwe bure na kutolewa kwa kiwngo cha juu lakini rushwa, ufisadi na ubadhirifu ndio unaosababisha tupate huduma mbovu.

Rais Samia usipomtumbua huyo mpuuzi utakuwa umeendelea kubariki aendelee kutumia madarake yake vibaya, wananchi wakichoka watadeal naye kwa njia wanayoona inafaa!
Rais Samia usipomtumbua huyo mpuuzi utakuwa umeendelea kubariki aendelee kutumia madarake yake vibaya, wananchi wakichoka watadeal naye kwa njia wanayoona inafaa!
 
Viongozi wengi huwa wanajisahau. Kesho na kwenda shule moja kuonana na mkuu wa shule ambae amejitungia utaratibu kuwa mtoto wa kidato cha pili akipata div IV anamuondoa ktk shule hiyo wakati wizara ilikwisha pigs marufuku zoezi hilo hadi kwenye shule za binafsi lakini yeye ktk shule ya serikali ya akina st kayumba anafukuza wanafunzi. Kwa hiyo matamshi kama hayo ya Chalamila sio huwa wanatamka tu wengine wanayatekelexa matamshi yao kwa vitendo
mkazanie mwanao katika masomo kama hayawezi au ni mzito sana mpeleke VETA.Acha kulialia mambo ya ajabu yaani unalia toto lako linapata division 4 kufukuzwa alafu baadae mnaanza kusema shule za serikali zinaongoza kwa kufelisha. Hivi nyie wajinga mnataka nini hasa.
 
Chalamila anawakumbusha kubeba majukumu yenu huwezi beba mimba kwa raha zako uje usumbue wengine.Maskini muache kulialia fanyeni kazi!!!

📌📌Chalamila apandishwe cheo,kwa kuwa muwazi na kupenda kusema ukweli.Ni dhahiri huyu ni kiongozi wa kuigwa na wengine.AMENYOOKA KAMA RULA🤗🤗🤗
 
Kwa Sababu Vifaa Tiba Na Dawa zina Utaratibu wake wa Kununuliwa Ambao huenda Unaweza Ukachelewa Kupatikana kwa Wiki hata Mwezi na wakati mwingine hata Miezi baada ya Kuandika Dokezo mpaka Vifaa kufika Hospitali..

Hivyo changamoto Kipindi Vifaa Hivyo havipo Zinatatuliwaje??
Sababu za msingi hasa zinazo sababisha kuchelewa ni nini?
Je hayo matatizo ya ukosefu au ucheleweshaji wa vifa tiba unaweza ukuta Regency, TMJ, Aga Khan na hospital zingine?
 
Back
Top Bottom