Mnaotosheka na MB 300 hadi GB 1 kwa siku huwa mnaweza vipi?

Mnaotosheka na MB 300 hadi GB 1 kwa siku huwa mnaweza vipi?

Matumizi Yangu ni GB 2 hadi 3 kwa siku

Hivi vitu huwa natumia bila kujibana

  • whatsapp
  • Youtube
  • Instagram
  • kudownload muvi, mziki, documentary, n.k.
  • browsing

Situmii TIKTOK, ina uraibu mkubwa sana na inapoteza muda sana.

Hapo nina shughuli zangu sio kusema kwamba ninashinda mitandaoni, ikitokea siku nimeshinda mtandaoni basi inaweza kufika 7 GB

Siangalii pilau jamani,
Wanawake ndo wenye matumizi makubwa ya mbs wewe sijui inakuaje.
 
Matumizi Yangu ni GB 2 hadi 3 kwa siku

Hivi vitu huwa natumia bila kujibana

  • whatsapp
  • Youtube
  • Instagram
  • kudownload muvi, mziki, documentary, n.k.
  • browsing

Situmii TIKTOK, ina uraibu mkubwa sana na inapoteza muda sana.

Hapo nina shughuli zangu sio kusema kwamba ninashinda mitandaoni, ikitokea siku nimeshinda mtandaoni basi inaweza kufika 7 GB

Siangalii pilau jamani,
Uzi tyr
Mufti kuku The Infinity
 
Voda ...Naishi kwenye Tsh 95000
all networks minutes 2500
GB 33.3
Mwezi mmoja.
 
Gb 1 kwa wiki... Sometimes hadi ina expire
 
Simu n chanzo kingne cha umaskin kwa watu wengi kama mtu akishindwa kujithibiti

Mitandao ya kijamii inaurabu sana kama ilvyo pombe,zinaa,punyeto nk


Mtu anaweza tumia hata 100,000+ kwa mwez kama bando na hakuna cha maana anafanya huko.

Kifupi hatufeel maumivu ya hyo lak sababu tunajiunga buku,buku3 kila mara kwa mwez ukijumlsha n pesa mingi

Natoa rai,kwa kila mmoja humu awe na uthibiti kinapokuja swala la matumiz ya mitandao…ukiachiliambali fedha,inapoteza muda,umakin na utulivu
 
Na unajisifia kabisa zinakuingizia hela ndio swali la kujiuliza siweki mb nyingi kama sina deal la hela la kuirudisha hio hela.
sio kila kitu ni kwajili ya pesa,

Tayari nina shughuli zangu rasmi zinazoniingizia pesa.
 
Niliapa kama social media haitaniingizia hela sitatumia kamwe natumia GB 3.5 kwa siku kusocialize na kupata clients at the same damn time.
sio kila kitu ni kwajili ya pesa,

Tayari nina shughuli zangu rasmi zinazoniingizia pesa.
 
Simu n chanzo kingne cha umaskin kwa watu wengi kama mtu akishindwa kujithibiti

Mitandao ya kijamii inaurabu sana kama ilvyo pombe,zinaa,punyeto nk


Mtu anaweza tumia hata 100,000+ kwa mwez kama bando na hakuna cha maana anafanya huko.

Kifupi hatufeel maumivu ya hyo lak sababu tunajiunga buku,buku3 kila mara kwa mwez ukijumlsha n pesa mingi

Natoa rai,kwa kila mmoja humu awe na uthibiti kinapokuja swala la matumiz ya mitandao…ukiachiliambali fedha,inapoteza muda,umakin na utulivu
Kweliii
 
Simu n chanzo kingne cha umaskin kwa watu wengi kama mtu akishindwa kujithibiti

Mitandao ya kijamii inaurabu sana kama ilvyo pombe,zinaa,punyeto nk


Mtu anaweza tumia hata 100,000+ kwa mwez kama bando na hakuna cha maana anafanya huko.

Kifupi hatufeel maumivu ya hyo lak sababu tunajiunga buku,buku3 kila mara kwa mwez ukijumlsha n pesa mingi

Natoa rai,kwa kila mmoja humu awe na uthibiti kinapokuja swala la matumiz ya mitandao…ukiachiliambali fedha,inapoteza muda,umakin na utulivu
Kweliii mi nimeamua kujiwekea limits sio tu kubhana matumizi laikini pia kunipunguzia uraibu...unaweza download apps inaitwa stay free hii itakuwa inakukukumbusha muda ambao umeshika Simu kwa siku nzima.
 
Kweliii mi nimeamua kujiwekea limits sio tu kubhana matumizi laikini pia kunipunguzia uraibu...unaweza download apps inaitwa stay free hii itakuwa inakukukumbusha muda ambao umeshika Simu kwa siku nzima.

Yah mtu unaweza kujilimit tu kama n Gb 1 kwa week,unakomaa nayo…ukiingia insta is for special mission..mara nyng JF na Google hazmalz Mb kwa tunaopenda kusoma/kujifunza

Binafsi najiunga MB 490 za buku mara 2/3 kwa wiki….tik tok skatiz,insta nna baadh ya page tu naingia kusoma ama kuchek taarifa
 
Back
Top Bottom