Mnaotumia glycerine hivi mmezeeka kama mimi?

Mnaotumia glycerine hivi mmezeeka kama mimi?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
4,208
Reaction score
14,143
Nimekuwa nayatumia haya mafuta huku sehemu ya baridi. Lakini leo nimejiangalia kwenye kioo nimekuta ngozi ya uso haifurahishi na imetoka vidoa vyeusi!

Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?
 
Nimekuwa nayatumia haya mafuta huku sehemu ya baridi. Lakini leo nimejiangalia kwenye kioo nimekuta ngozi ya uso haifurahishi na imetoka vidoa vyeusi!

Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?
Nimekuwa nayatumia haya mafuta huku sehemu ya baridi. Lakini leo nimejiangalia kwenye kioo nimekuta ngozi ya uso haifurahishi na imetoka vidoa vyeusi!

Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?
Kubali tu ndugu kuwa wewe sasa ni mzee. Wakati ni ukuta
 
Wewe Ni mwanachama wa CHAPUTA?
Katika mafuta yaliyoidhinishwa na CHAPUTA glycerine haimo.
 
Hiyo inabadili sura na kuwa kakamavu hivyo si nzuri kuitumia usoni ila miguu hasa kwa watu walio katika maeneo yenye vumbi sana kama mbeya kaka .

Zaidi tumia minara soon baada ya kuoga kwa maji kuchanganya na maji kidogo .

TEKERI

Sent using Jamii Forums mobile app

Shukrani kaka asante kwa kuelewa tatizo langu

Maana wengine wamejaa kejeli.
 
Back
Top Bottom