Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Nimekuwa nayatumia haya mafuta huku sehemu ya baridi. Lakini leo nimejiangalia kwenye kioo nimekuta ngozi ya uso haifurahishi na imetoka vidoa vyeusi!
Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?
Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?