Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na glycerine,tumia hata mafuta ya maji,kama Minara,Parachute sijajua kama ni mazuri,siwezi kukushauri utumie labda kwa wanaoyajua.
Umenikumbusha mbali.Glycerin ni tamu, tulikuwa tunalamba utotoni.
Nipo sehemu yenye baridi makete.
Paka oil achana na hizo glycerine
Lamba ya Tanzania, usijiloge ukalamba ya south tutakuzika huku tunacheka[emoji16]Glycerin ni tamu, tulikuwa tunalamba utotoni.
Kuna mdau humu alinishauri nisipake glycerine usoni, alisema inazeesha.
Kwani kuna shida mwanaume akipaka mafuta?Me unapakaje wese mzee!?
Shida ya glycerine inachoma ngozi.Kuna mdau humu alinishauri nisipake glycerine usoni, alisema inazeesha.
Kwenye baridi mafuta ya maji kabla hujafika nje umeshapauka kama hujapaka mafutaAchana na glycerine,tumia hata mafuta ya maji,kama Minara,Parachute sijajua kama ni mazuri,siwezi kukushauri utumie labda kwa wanaoyajua.
Usipake glycerin kwa usoNi kweli umri umesogea kaka ila nadhani hata mafuta
Kwenye baridi mafuta ya maji kabla hujafika nje umeshapauka kama hujapaka mafuta
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app