Mnaotumia glycerine hivi mmezeeka kama mimi?

Mnaotumia glycerine hivi mmezeeka kama mimi?

Week ilopita nlipiga picha na ndugu yangu flan. Lakn kila nkiiangalia ile picha najiona kama uson nmevubaa hv nkawa najiuliza hv tatzo n camera ya smu au??? Lakn mbna huyu ndug yang yy katoka kama alivo?? Leo ndo nmegundua,,, ile glycerin nlochanganya kwny lotion ndo inanivubaza.
 
Back
Top Bottom