Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
... na PICHAJinsia yaKo...?
Kbsa atume picha full sio passport... na PICHA
Nimekuwa nayatumia haya mafuta huku sehemu ya baridi. Lakini leo nimejiangalia kwenye kioo nimekuta ngozi ya uso haifurahishi na imetoka vidoa vyeusi!
Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?
Kubali tu ndugu kuwa wewe sasa ni mzee. Wakati ni ukutaNimekuwa nayatumia haya mafuta huku sehemu ya baridi. Lakini leo nimejiangalia kwenye kioo nimekuta ngozi ya uso haifurahishi na imetoka vidoa vyeusi!
Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?
Kubali tu ndugu kuwa wewe sasa ni mzee. Wakati ni ukuta
usisingizie tu mafuta twa watu ww kaumri kamesogea na hela huna hivyo bas lazima uone sura imekaa kama uji
Wewe ni Me au Ke?
Glyceline gani ndugu unasema ? Ya Tanzania au ya Zambia au ya South Africa au day by day ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Me unapakaje wese mzee!?
Me unapakaje wese mzee!?
Duh kwaiyo apauke maana sehem zenye baridi ngozi inakua kavu unapaukaMe unapakaje wese mzee!?
Hiyo inabadili sura na kuwa kakamavu hivyo si nzuri kuitumia usoni ila miguu hasa kwa watu walio katika maeneo yenye vumbi sana kama mbeya kaka .Ya Tanzania kaka
Hiyo inabadili sura na kuwa kakamavu hivyo si nzuri kuitumia usoni ila miguu hasa kwa watu walio katika maeneo yenye vumbi sana kama mbeya kaka .
Zaidi tumia minara soon baada ya kuoga kwa maji kuchanganya na maji kidogo .
TEKERI
Sent using Jamii Forums mobile app