Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Mkuu, kampuni zinazotoa gawio kwa serikali.Zaidi ya TTCL je Ni kampuni gani nyingine inayopeleka gawiwo kwa serikali ya CCM?
Airtel inamioikiwa na serikali partially, wao wanatoa dividend, sehemu ya faida kutokana na hisa ambazo serikali imewekeza. Kila mwanahisa hupata dividend.Mkuu, kampuni zinazotoa gawio kwa serikali.
Ukiachana na TTCL kutoa gawio kwa serikali, kampuni nyingine ni Airtel.
braza juzi nilijiunga kifurushi cha GB 7 cha mwezi na laini yao huwa naweka tu pale napotaka kutumia mb.kituko kilikuja kabla sijatoa laini huwa naangalia kiasi cha Mb zilizobaki,nlikuwa na GB 6.5 zilizobaki na ushahidi wa msg ninao wa salio,sasa nikatoa line jana naweka line nikataka kudownload kitu cha Mb30 mida ya saa tano asubuhi,Kuna account moja humu JamiiForums ya TTCL niliweka comment nikasema kwa muda wa siku 3 nimetumia elfu 30. Yaani ilikuwa 10,000 kwa mwezi mzima sasa jamaa nikiweka 10,000 siku ya pili haipo. Kuna mtu kuiona comments yangu akaanza kubwata na TTCL wenyewe wametaka niwapigie simu wakati huo mimi nilikwenda mpaka ofisi kuu yao, sasa kwa simu nipige itasaidia nini?
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Pole sana ndugu mteja.braza juzi nilijiunga kifurushi cha GB 7 cha mwezi na laini yao huwa naweka tu pale napotaka kutumia mb.kituko kilikuja kabla sijatoa laini huwa naangalia kiasi cha Mb zilizobaki,nlikuwa na GB 6.5 zilizobaki na ushahidi wa msg ninao wa salio,sasa nikatoa line jana naweka line nikataka kudownload kitu cha Mb30 mida ya saa tano asubuhi,
sms ikaja eti huna salio la kutosha nlipanic hatari ikabidi niwapigie huduma kwa wateja...daah YAANI NIKAAMBIWA UMETUMIA GB nyingi MIDA YA SAA 4 ASUBUHI WAKATI LINE NIMEIWEKA SAA TANO ASUBUHI?
Daah nlichoka nikawaambia hebu angalia hii line imkuwa hewani muda gani toka sasa?akabaki anacheka tu na kuniambia ndugu ndio hivyo umetumia mb nyingi muda huo...
Ila kitendo cha kucheka tu nikawa nimeshapata jibu kinachoendelea TTCL...
TTCL MNAZINGUA SANA YAANI HAMNA MTU ATAKAE KUBALI HUU UJINGA WENU
WellAirtel inamioikiwa na serikali partially, wao wanatoa dividend, sehemu ya faida kutokana na hisa ambazo serikali imewekeza. Kila mwanahisa hupata dividend.
TTCL haina shareholders,, ile kwa 100% Ni Mali ya CCM.
wawe wanaangalia namna ya kulinda brand yao kwa mistake zao,kuliko kuwakarahisha wateja mpaka kupelekea kumfukuza mtu kurudi kwenye mitandao mingine...pia wajue vifurushi vyao havina tofauti na tigo wala voda kwa gharamaPole sana ndugu mteja.
Shukrani kwa maoni yako mkuu.wawe wanaangalia namna ya kulinda brand yao kwa mistake zao,kuliko kuwakarahisha wateja mpaka kupelekea kumfukuza mtu kurudi kwenye mitandao mingine...pia wajue vifurushi vyao havina tofauti na tigo wala voda kwa gharama
Hivyo wasijidangaye kwamba itakuwa ngumu watu kuwakimbia..maana kwa na namna yoyote hawawezi kuifika voda wala tigo ikiwa kila kitu wanafananao..tena wenzao wanajitahid Bando za internet hazikati kiboya boya kama wao
Wewe ni nani unayeijibia ttcr😂😂😂Shukrani kwa maoni yako mkuu.
Nilipata muda nitaonana na menejementi yao ili niwasilishe malalamiko yenu.
Raha ununue vifurushi vya wiki au mwezi lakini vifurushi vya 24/hrs hasa kwa internet ni vimeo tuHusiku na kichwa cha habari hapo juu,
Nimekua mteja wa TTCL muda sasa toka nilipoanza kutumia yapata miaka kadhaa. Mabadiliko mengi yakatokea mimi nipo tu. Kwa mabadiliko haya ya gharama za data zao naamini watampoteza mteja mmoja.
TTCL mna threads zenu humu ndani (JF) namna mtaboresha huduma zenu/kuomba maoni mbalimbali kwa wateja wenu. Fanyieni kazi maoni ya wateja wenu.
Asante
Mimi ni mpishi wa TTCLWewe ni nani unayeijibia ttcr[emoji23][emoji23][emoji23]
Togo au TigoVoda imeisha pikuliwa ila tunaitumia kutokana na kuwa wengi ninao husiana nao wako na voda.
Airtel,Togo,Holotel kwa vifurushi vya internet wanajitahidi ingawa pia holotel na Togo ziko sawa sana na unafuu pia
Mimi ni mpishi wa TTCL
[emoji23][emoji23][emoji23]zimefikaUnakaanga cables ndani MDF sawa wasalimie sana sisi hatujambo.
Hua nanunuaga vya mwezi lakin hua vinakaa siku 6 tuRaha ununue vifurushi vya wiki au mwezi lakini vifurushi vya 24/hrs hasa kwa internet ni vimeo tu
Kwenye simu au pc, na unanunuaga gb ngapiHua nanunuaga vya mwezi lakin hua vinakaa siku 6 tu
Nanunuaga elfu 5 siku nyingine elfu 10... Yaani kifurushi Cha mwezi hakifikishi mweziKwenye simu au pc, na unanunuaga gb ngapi
Una matumizi makubwa sana ndugu mteja.TTCL nao matapeli,juzi nmenunua MB 500 baada ya muda sioni kitu.
ahahahah nilitegemea comment kama hii.Wewe ni nani unayeijibia ttcr