Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Kama Mimi mkuuNatumia voda nanunua bando la 3000 napata MB3075 siku 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Mimi mkuuNatumia voda nanunua bando la 3000 napata MB3075 siku 7
Pole sana, rudi nyumbani kumenoga.Mkiambiwa hamieni Zantel mnakaza ubongo! Mie niko huku ila nikiwa mkoani hailiki ila kwa hapa Dar kuna uhuni wamefanya. Matumizi yangu ni yale yale ila hapa DSM bando huwai kuisha liwe la data au simu.
"BAO Dar" ni ufisadi [emoji23][emoji23][emoji23] na limit ni siku 3 ambazo huzmalizi pia.
Rudi nyumbani kumenoga.ni sawa na mtu kukuambia Rudi CCM.Husiku na kichwa cha habari hapo juu,
Nimekua mteja wa TTCL muda sasa toka nilipoanza kutumia yapata miaka kadhaa. Mabadiliko mengi yakatokea mimi nipo tu. Kwa mabadiliko haya ya gharama za data zao naamini watampoteza mteja mmoja.
TTCL mna threads zenu humu ndani (JF) namna mtaboresha huduma zenu/kuomba maoni mbalimbali kwa wateja wenu. Fanyieni kazi maoni ya wateja wenu.
Asante
Wacha nikae huku huku kwa waislam safiPole sana, rudi nyumbani kumenoga.
Husiku na kichwa cha habari hapo juu,
Nimekua mteja wa TTCL muda sasa toka nilipoanza kutumia yapata miaka kadhaa. Mabadiliko mengi yakatokea mimi nipo tu. Kwa mabadiliko haya ya gharama za data zao naamini watampoteza mteja mmoja.
TTCL mna threads zenu humu ndani (JF) namna mtaboresha huduma zenu/kuomba maoni mbalimbali kwa wateja wenu. Fanyieni kazi maoni ya wateja wenu.
Asante
halotel nafuu sanaa kuhusu speed nimeona tofauti kubwa sana kati ya simu kama tecno (mara nyingi kwa halotel speed ya internet huwa ndogo na sometime hupati data kabisaaaa) ila laini hiyohiyo ya halotel ukiiweka kwenye samsung origional au nokia origional weeee unapata speed nzuri tuHalotel naona wana nafuu kidogo japo speed ndio shida.
Maybe inategemea na maeneo. Huku kwetu hata uweke kwenye simu gani speed bado ni issue.halotel nafuu sanaa kuhusu speed nimeona tofauti kubwa sana kati ya simu kama tecno (mara nyingi kwa halotel speed ya internet huwa ndogo na sometime hupati data kabisaaaa) ila laini hiyohiyo ya halotel ukiiweka kwenye samsung origional au nokia weeee unapata speed nzuri tu
TTCL wana bando nzuri rafiki kwa Watanzania na spidi ya 4.5GLove it live.. saizi yako.. mtandao wa tigo upo smart sana.. napenda walivyo na uhunifu..
Mkuu kuna bando nzuri pia huku.
Una uhakika?Bando la ttcl wanaweka hamira
Pakinoga kiukweli tutarudiPole sana, rudi nyumbani kumenoga.
Kuna jamaa hapo juu 🖕, anadai bando zenu mmeziwekea amira😂😂😂.TTCL wana bando nzuri rafiki kwa Watanzania na spidi ya 4.5G
Sio kweli ndugu mteja.Kuna jamaa hapo juu [emoji867], anadai bando zenu mmeziwekea amira[emoji23][emoji23][emoji23].
Sio kweli ndugu mteja.
Naomba uzipuuze taarifa zake maana ana nia ya kulichafua shirika.
[/QUOT
Bando lenu la data la mwezi, kwa kima cha chini, huwa na gharama gani..?
duh 4.5 G??TTCL wana bando nzuri rafiki kwa Watanzania na spidi ya 4.5G
Hakikaduh 4.5 G??
ok kweli itakuwa inategemea na maeneoMaybe inategemea na maeneo. Huku kwetu hata uweke kwenye simu gani speed bado ni issue.