Mnaotumia Voda, Tigo ama Airtel katika bando, vipi huko hali ikoje maana TTCL bando halikai kabisa

Mnaotumia Voda, Tigo ama Airtel katika bando, vipi huko hali ikoje maana TTCL bando halikai kabisa

Mkuu, nkitaka 1gb ya buku kwa wiki kwa halotel naipataje.?
Itakubidi ununue kwa Halopesa na si vinginevyo.. piga menu yao ya halo pesa *150*88# chagua namba tatu then utakutana na kifurushi mega bando hapohapo mengine utajiongeza.
 
ukweli ni kwamba, kama unatumia bundle lako ku-stream video ya 4k(UHD), HD au FHD, bundle linalika kwa kasi, ni kwenye SD ndio kidogo utafaidi bado lako lakini quality ya picha itakuwa kama ya TBC. Nadhani watu wa IT walitakiwa kulielezea hili.
 
ukweli ni kwamba, kama unatumia bundle lako ku-stream video ya 4k(UHD), HD au FHD, bundle linalika kwa kasi, ni kwenye SD ndio kidogo utafaidi bado lako lakini quality ya picha itakuwa kama ya TBC. Nadhani watu wa IT walitakiwa kulielezea hili.
Mbona hata YouTube ipo hivyo
 
Itakubidi ununue kwa Halopesa na si vinginevyo.. piga menu yao ya halo pesa *150*88# chagua namba tatu then utakutana na kifurushi mega bando hapohapo mengine utajiongeza.
Shukran mkuu, nmeona
 
nillinunua mb 100 kwa tuzo point nikwasha data kwenda chooni na kuridi nakuta sms ya ndugu mteja ... nikazima na sim
 
ukweli ni kwamba, kama unatumia bundle lako ku-stream video ya 4k(UHD), HD au FHD, bundle linalika kwa kasi, ni kwenye SD ndio kidogo utafaidi bado lako lakini quality ya picha itakuwa kama ya TBC. Nadhani watu wa IT walitakiwa kulielezea hili.
Mkuu wewe naona ni mtaalamu wa haya makitu.
Hivi ku stream na kuangalia video kavukavu you tube, ulikaji wa mbs ni tofauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani niulize swali mimi nakaa maeneo ya boko ccm kuna baadhi ya maeneo huku mtandao wa ttcl ausomi kabisa yani utakuta siku nzima tatizo nini maana kuna mda mtandao unapata kuna mda hakuna siku nzima hivi hawa ttcl wana minara yao au wanashea na mitandaoingine

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
ukitaka usielews bando linaendaje washa 4g muda wote.
cha kuwashauri wekeni auto 3g and 2g.ina kasi nzuri tu ambayo sio ya kutisha kwenye kubugia.

sababu ukiweka 4g,ukiingia youtube inaplay resoln kubwa ambayo inakata bando si kawaida.

ukiingia inta inaload video kwa haraka na kula bando vibaya sana.
braza juzi nilijiunga kifurushi cha GB 7 cha mwezi na laini yao huwa naweka tu pale napotaka kutumia mb.kituko kilikuja kabla sijatoa laini huwa naangalia kiasi cha Mb zilizobaki,nlikuwa na GB 6.5 zilizobaki na ushahidi wa msg ninao wa salio,sasa nikatoa line jana naweka line nikataka kudownload kitu cha Mb30 mida ya saa tano asubuhi,

sms ikaja eti huna salio la kutosha nlipanic hatari ikabidi niwapigie huduma kwa wateja...daah YAANI NIKAAMBIWA UMETUMIA GB nyingi MIDA YA SAA 4 ASUBUHI WAKATI LINE NIMEIWEKA SAA TANO ASUBUHI?

Daah nlichoka nikawaambia hebu angalia hii line imkuwa hewani muda gani toka sasa?akabaki anacheka tu na kuniambia ndugu ndio hivyo umetumia mb nyingi muda huo...

Ila kitendo cha kucheka tu nikawa nimeshapata jibu kinachoendelea TTCL...

TTCL MNAZINGUA SANA YAANI HAMNA MTU ATAKAE KUBALI HUU UJINGA WENU
Sikia bro mm binafs TTCL cwakubali hata punje walishanipiga na toka wafute TOBOA NIGHT PACK line yao nshatupa ila ww umeongeza chumv au km umeset au download kwenye simu imekula kwako maana kuna vitu km apps update.firnware update. Wi fi hotspot .notification nk sasa unakuta mtu kawasha hotspot katumia internet kwenye pc weeh kamaliza kasahau afu io pc unakuta ina window 10 automatic update my friend ukikuta ata 50 MB mshukuru Mungu
 
Back
Top Bottom