NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Unataka kusema CHIVAVIRO ni sawa na John Bocco kwa kua boco kacheza michuano ya klabu bingwa Africa??Lakini chama hajaissidia timu ya Simba kushuka bridge. Mnamwita bonge la mchezaji ilhal timu aliyokuwa akiitumikia imeshuka daraja!!
Kweli kasoro Mzee kikwete na mzee Manala
Jikite kweny hoja za mpira siyo huko unapojikita wewe.Lakini chama hajaissidia timu ya Simba kushuka bridge. Mnamwita bonge la mchezaji ilhal timu aliyokuwa akiitumikia imeshuka daraja!!
Kweli kasoro Mzee kikwete na mzee Manala
Scars msaidie kuweka zile takwimu huyu Utopolo maana naona ameorodhesha tu timuSKUDU KASIFLAVE
NAME:mahlatsi makudubele.
BORN:march 10 /1990(33)
POSITION:left winger
SKILLS: FIVE STAR
FORMER CLUB:
[emoji91]mamelord sundown (starting)[emoji1221]
🟡United fc 12/13[emoji1221]
🟡platnum stars 13/14[emoji1221]
🟡Golden arrows 15/16[emoji1221]
🟡platnum stars 15/16[emoji1221]
🟡orlando pirate 16/17[emoji1221]
🟡chippa united 17/18[emoji1221]
🟡orlando united 17/18[emoji1221]
🟡highlands parks 18/19 [emoji1221]
🟡U.pretoria 20/21[emoji1221]
🟡marumo gallant 22/23[emoji1221]
[emoji91]Yanga Sc 23/24
View attachment 2692800
Unamuuliza Nani wakati Mimi nishasema tayari kuwa Babu saidoo ni babuNa akahamia SImba akiwa na miaka mingapi?
Akija na hizo takwimu asisahau kuja na takwimu za John Bocco na saidoooScars msaidie kuweka zile takwimu huyu Utopolo maana naona ameorodhesha tu timu
Mimi nimeongelea magoli ndiyo Nini sasaTupe na assist za chama na mwanyeto msimu uliopita
Unamuonea.Tupe na assist za chama na mwanyeto msimu uliopita
Mbona magoli huzungumziii???Unamuonea.
Waunganishe Assist za midfielders wao wote tuone kama wanampata Chama
Suala hapa ni Skudu hao wengine wanaingiaje..unavyomuelezea mchezaji wa mpira huorodheshi tu timu alizocheza..unatakiwa kuweka na matokeo ya utendaji kazi wake..kama kiungo weka namba ya assist..kama mfungaji weka namba ya Magoli.Akija na hizo takwimu asisahau kuja na takwimu za John Bocco na saidooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu saidoo Ntibazonkiza ana miaka mingapi???SKUDO AKIWA MALUMO GALLATS ILIYOSHUKA DARAJA.
Mechi alizocheza. 22.
Dakika. 1103
MAGOLi 0 2
Assist. 0 2.
MIAKA 3 3
YANGA WANAZIDI KUBOMOKA MASIKINI.
HII SI ⁶ TULIYOITEGEMEA
Wote tunajua Chama hapendi kufunga, ana interview yake alipewa option 2 achague interest yake.
Mbona unakua mgumu kunieleza umri wa saidooooSuala hapa ni Skudu hao wengine wanaingiaje..unavyomuelezea mchezaji wa mpira huorodheshi tu timu alizocheza..unatakiwa kuweka na matokeo ya utendaji kazi wake..kama kiungo weka namba ya assist..kama mfungaji weka namba ya Magoli.
Kwani mlivyoweka takwimu ya Che Fondoh kwamba alifungisha magoli 15 huko alikotoka mlikuwa mnamaanisha nini?
Ngwena mwaka huu utalia sanaaaMbona unakua mgumu kunieleza umri wa saidoooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna mchezaji asiyependa kufunga weweWote tunajua Chama hapendi kufunga, ana interview yake alipewa option 2 achague interest yake.
First priority ilikuwa assist
Hakuna mchezaji asiyependa kufunga wewe
Acha kudanganya watu aisee
Ndiyo maana mashabiki wa Simba mnaitwa mbumbumbu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mara ngapi Chama anapata mpira kamchenga hadi kipa yupo yeye na goli lakini unaona anatoa assist?Hakuna mchezaji asiyependa kufunga wewe
Acha kudanganya watu aisee
Ndiyo maana mashabiki wa Simba mnaitwa mbumbumbu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app