Mnaouliza namba sita (6) ana magoli mangapi, msijisahaulishe kuwa Chama analingana magoli na beki kitasa Mwamnyeto

Mnaouliza namba sita (6) ana magoli mangapi, msijisahaulishe kuwa Chama analingana magoli na beki kitasa Mwamnyeto

🤣 mkuu kuna watu wana umri mkubwa hapo kkoo kushinda skudu na wanatupa furaha wana kkoo,kwa makolo huko kuna mtu ana 44 lkn kwenye pasi ana 29 🤣
Kumbe wakati mwingine ni heri pia kuwa na mchezaji mwenye umri wa kweli, kuliko wale wenye umri wa kwenye passport.
 
Kwa hiyo kafanya makusudi kukosa kwa kua yeye anapenda sana kutoa assist??

Mbona unajitekenya halafu unacheka??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Cheki huyu

Kipaumbele cha kwanza cha Mchezaji ni kutoa Assist, hiyo ndio interest yake.

Kufunga ni second option tu.

Mbona hujiulizi kwanini Chama kuna mida alikuwa anacheza maeneo yote hadi beki anashuka kukaba wakati yeye ni Attacking Midfielder?
 
Cheki huyu

Kipaumbele cha kwanza cha Mchezaji ni kutoa Assist, hiyo ndio interest yake.

Kufunga ni second option tu.

Mbona hujiulizi kwanini Chama kuna mida alikuwa anacheza maeneo yote hadi beki anashuka kukaba wakati yeye ni Attacking Midfielder?
Jikite kwenye hoja

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Lakini chama hajaissidia timu ya Simba kushuka bridge. Mnamwita bonge la mchezaji ilhal timu aliyokuwa akiitumikia imeshuka daraja!!

Kweli kasoro Mzee kikwete na mzee Manala
Kwa kutumia hoja yako, Unataka kusema kwakua Yanga kabeba ubingwa inamaanisha wachezaji wake wote ni bora kuliko wachezaji wengine walioshiriki ligi kuu ya NBC?
 
Kaka tukiondoa unafki, huu ndio ukweli. Nimeshangazwa sana na huu umri mzee mwenzangu.
Ngoja tusubiri tuone. Maana kwa umri wake, halafu kucheza kiungo cha pembeni! Si mchezo. Hilo eneo linahitaji mchezaji mwenye kasi, lakini umri uwe haujaenda sana.

Angekuwa anacheza kiungo cha kati kama akina Aucho, walau nisingekuwa na chembe ya hofu.
 
Simaanishi assist moja ya SPL ni sawa na 6 za NBC PL. Ila league ya south ni ya viwango vya juu kuliko NBC PL.
Kwa hyo thread isifungwe.
Haya jumlisha na kombe la maloose...Shirikisho halafu lete
 
Kumbe wakati mwingine ni heri pia kuwa na mchezaji mwenye umri wa kweli, kuliko wale wenye umri wa kwenye passport.
Mkuu 33 ya psl ni 26 npl,wazee kibao hapa bongo wala hata isikusumbue suala la umri,kuna mababu na wanakipasua haswa hapa npl
 
Back
Top Bottom