Nilishaga kuonya mambo yetu usiwe unayaleta hukuHahahaaaa kuna mmoja alijifungia bafuni na komeo kabisa
Nikabaki heee hivi kuna kitu hapa!!!?
Seriously nilishangazwa
Mwanamke umenishinda ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishaga kuonya mambo yetu usiwe unayaleta hukuHahahaaaa kuna mmoja alijifungia bafuni na komeo kabisa
Nikabaki heee hivi kuna kitu hapa!!!?
Seriously nilishangazwa
Jf
Duuh kwani umeshagegedwa na wangapi?Hahahaaaa kuna mmoja alijifungia bafuni na komeo kabisa
Nikabaki heee hivi kuna kitu hapa!!!?
Seriously nilishangazwa
Anataka mpaka ashawishiwe, pacha wangu kwa maringoHivi kumbe mnatakaga ushawishi!
Duuh kwani umeshagegedwa na wangapi?
Nilishaga kuonya mambo yetu usiwe unayaleta huku
Mwanamke umenishinda ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Twanogaga geteduh bhagosha
Teh upo mrembo[emoji23][emoji23][emoji23] Evelyn Salt herself ukisikia mwingine photocopy
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wa makaratasiKama vile mwanaume wa kuchora
Tena uwekezaji wake ni kama unabeti vileHapo panahitajika uwekezaji wa kina
Huko huko ndani ya shuka anaibuka kafunga taulo kabisa, kama mwali wa kimakondeHalafu anarudi ameshajifuta na boxer kavaaa
Anazima taa anaingia ndani ya shuka
Mtu unabaki mdomo wazi uelewi!
Umekutana na nini madam Evelyn SaltUmetongoza kwa ujasiri kabisa tongozo la kibabe, ukaeleweka baada ya muda sasa wakati muafaka wa kufanya relation iwe rasmi (rasmi ndio!! bila kwichi sio rasmi, sio wapenzi, bado ni wapenzi watazamaji)....siku ya kupewa vitu unatimba mahali yani mkanda tu ndo una ujasiri wa kuutoa, unatoa mkanda kiunoni unazama ndani ya shuka huko ndo utaanza kusaula sasa, unajificha ficha kama ka binti kabikra hivi kidume huoni aibu kufanya hivo? Yani unakua kama vibinti vya kijijini kanatamani mjulubeng ila kanajizungusha hadi kapigwe ngwara ndo katoe.....
Kwani ni nini kinafichwa? Kidogo sana? Likubwa sana? Kimepinda? Pmb kubwa sana ama ndogo kama za nyau? Hata kama!!! Kwani umeziumba wewe hadi uzihofie hivo, okay sawa labda una aibu si ujilipue hata na k vant akili zisafiri kidogo uwe huru, inakera!!!!! Mtaja pigwa ngwara na wanawake marijali
Heri ya mwaka mpya jf family.
Huko huko ndani ya shuka anaibuka kafunga taulo kabisa, kama mwali wa kimakonde
Aisee kweli mnakutana na mengi!Hahahaaaa kuna mmoja alijifungia bafuni na komeo kabisa
Nikabaki heee hivi kuna kitu hapa!!!?
Seriously nilishangazwa
Kuoa msukuma kuna raha yake, huwa hawajuagi kuremba...Hadi leo hujaoa tu??? Unachelewesha watoto shule babu