😀😀😀😀 my ribs!!!!Kuna wale WAZEE wa KUVUA ZOTE kwa pamoja,,,SURUALI,,BUKTA,,CHUPI ,,,,akiinama ,,,akiinuka anainuka na MTO,,,,kajificha KWNYE DUSHE...anaambaa ambaa na KITANDA....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo nachungulia chungulia
Shemeji nmekumiss sanaKuoa msukuma kuna raha yake, huwa hawajuagi kuremba...
Happy new year shemeji...
Mwisho wa uboy ni arobaini na ngapi?Ladies I think it's about time you STOP DATING BOYS and start DATING MAN..Happy Freaking New Year..
Sent using Jamii Forums mobile app
tunaogopa msije mkachukua selfie na mikuyenge yetu
Badae uligundua kitu gani?Hahahaaaa kuna mmoja alijifungia bafuni na komeo kabisa
Nikabaki heee hivi kuna kitu hapa!!!?
Seriously nilishangazwa
Nipo mamaangu, ni vurugu tu za maisha zinatufanya tupishane.Shemeji nmekumiss sana
Badae uligundua kitu gani?
Oooooh awwww
Yaani mwanzo wa mwaka wote huu unafanywa aisee?Muhusika nimemlalia hapa Hana hata habari na jf
Ana aibu sana.
Mauza uza, makolokocho tupu.....Haahhahahahhaha tena hao ukiwakuta kitaa wanavyojisifia sasa weeeeeee....ingia nao ndani mauza uza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Hornet unamsaidia vipi mtu mwenye aibu. Mimi ni victim piaAna aibu sana.