Mnaovulia nguo ndani ya shuka, eti huwa mnaficha nini???

Kuficha ni muhimu, kuna kipindi niko chuo napiga kozi master nikawa na date na demu wa mwaka wa kwanza undergraduate. Sasa siku hiyo tukawa tumekubaliana aje gheto tupige gemu. Tukiwa game tukaanza foreplay, wakati wa foreplay tulijikuta tumesaula nguo zetu mi nikabaki na box kabla sijavua boxer nikahisi mkojo uko karibu nikaingia toilet chumba kilikuwa self contained. Wakati narudi niliamua kuitoa kabisa boxer nakubaki mtupu nikawa naelekea kumkabili mrembo. Nilipomuona nilihisi kwamba ameshaingia na woga baada ya kuona gegedo, niliendelea na foreplay lakini mara hii sikupata ushirikiano nikawa napata upinzani, nikamuuliza kulikoni akaniambia kwamba tumbo linamuuma. Nilijaribu kukuruka lakini wapi. Ikabidi nimruhusu aende zake. Baada ya siku moja nikamuuliza unaendeleaje? Akanijibu hata alikuwa haumwi ila aliogopa gegedo aliliona kubwa mno. Nilimkosa mpaka leo. Tangia siku hiyo demu nikikutana kama ni mara ya kwanza sivui nguo zote, hiyo kitu lazima akutane nayo ndani kwa ndani ikiwa imeanza kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishagundua hivyo siku nyingine ya mpambano unazuka na picchu mpya na kuomba ajitoe rasmi team picchu matobo 😎

Wenye wapenzi wanomiliki chupi matobo rahisi sana kuwajua.. ahahahahahaha
 

Wasio tahiri ndiyo hufanya hivi kwani ni lzm akatoe utoko na kujisafisha!
Lkn mtuvumilie sababu hatuwezi acha mila zetu tukaenda kutahiri
Hatutahiri ng’oo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Niliambiwa eti wanaume wa Kichaga wenye macho makubwa ndo tabia zao hizo...

Niliambiwa tu mimi teh teh teh.

Hata pachu pachu nayo eti wanafanyia gizani.

Anywho, mambo ya kuambiwa tu hayo.

Hahahahaaaa.
 
Nawausia wana JF Kamwe Kamwe Usikubali Demu, Mpenzi, kidume, sijui Nani Tena ita utakavyoita, Usikubali akwambie Zima taa ndio nivue au mfanye huku Mko gizani!

Last time nilikua nafundisha mahali Mambo ya Adolescent friendly reproductive Health, kuna Kijana alitoa ushuhuda jinsi alivyokula kitu kilichooza! Topic ilikua inaitwa What do you remember about your adolescence? Mmghhh mwingine akaeleza alivyonusurika kula koni ambayo imeliwa na kaswende....
Mwingine anasema kama sio kulazimisha kuwasha taa basi angekua maiti......

Maisha ni mazuri japo ni mafupi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Dah! Wanawake marijali punguzeni spidi. Mwaka mchanga huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…