Bila shaka kichwa kimeeleweka. Ni nani humu jf ambae anaweza kujitokeza kutuambia kwa ufasaha radha halisi ya sigara ambayo ilimpelekea yeye ama rafiki yake kushawishika kuifyoza pasinashaka?, binafsi nimeamua kuuliza hivi baada ya jitihada zangu za kuitafuta radha ya sigara kwa muda mrefu bila mafanikio kitu ambacho kimenipelekea nisiwe miongoni mwa wavutaji.
Jee, wenzetu muliopo kwenye hicho chama mnaweza kutuambia mlianzaje na mnawezaje kuendelea kubaki hadi leo?, hahahaha.....
Dun ill zinapatikana wapi??? Nipo ghetto mezani kwangu napoandika text hii kuna Chesterfield zangu za kutoshaNilianza kwenye krismasi 2016 sigara aina ya CAMEL nikavuta CLUB SM, nikaenda mbele zaidi nikavuta EMBASSY KING nikaja DUNHILL hivyo vyote ni kutafuta sigara yenye tumbaku nzuri ya daraja la kwanza, nikaenda mbele zaidi nikavuta CHESTERFIELD kwa utafiti wangu nikagundua tumbaku ya mwingereza na mmarekani ni bora zaidi, sasa sigara yenye ubora na nzuri nakushauri uvute CAMEL, DUNHILL, CHESTERFIELD.
Nenda kwenye super market za mjini utazipata kwa wingi,Dun ill zinapatikana wapi??? Nipo ghetto mezani kwangu napoandika text hii kuna Chesterfield zangu za kutosha
Nenda kwenye super market za mjini utazipata kwa wingi,Dun ill zinapatikana wapi??? Nipo ghetto mezani kwangu napoandika text hii kuna Chesterfield zangu za kutosha
NyeupeNenda kwenye super market za mjini utazipata kwa wingi,
Unatumia Chesterfield nyeupe ( Chesterfield remix ) au zile za rangi ya njano mpauko. ( Chesterfield original )
Yes!! Nyeupe ni nzuri na bei zao ni nafuu big up man kwa kuwa mjanja wa kutumia sigara yenye ubora wa kipekee. [emoji23] [emoji109]Nyeupe
Yes!! Nyeupe ni nzuri na bei zao ni nafuu big up man kwa kuwa mjanja wa kutumia sigara yenye ubora wa kipekee. [emoji23] [emoji109]Nyeupe
Hahaa!!!!! Itabidi tuonanane siku moja tusmoke woteYes!! Nyeupe ni nzuri na bei zao ni nafuu big up man kwa kuwa mjanja wa kutumia sigara yenye ubora wa kipekee. [emoji23] [emoji109]
Haina shida nitaenda kuweka oda kwa TCC nichukue boksi 2 Chesterfield na dunhill.Hahaa!!!!! Itabidi tuonanane siku moja tusmoke wote
Fanya hivyo!!! Hahaaa!!Haina shida nitaenda kuweka oda kwa TCC nichukue boksi 2 Chesterfield na dunhill.
Za USA & UK hazionyi kuwa ni hatari kwa afya yako?Nilianza kwenye krismasi 2016 sigara aina ya CAMEL nikavuta CLUB SM, nikaenda mbele zaidi nikavuta EMBASSY KING nikaja DUNHILL hivyo vyote ni kutafuta sigara yenye tumbaku nzuri ya daraja la kwanza, nikaenda mbele zaidi nikavuta CHESTERFIELD kwa utafiti wangu nikagundua tumbaku ya mwingereza na mmarekani ni bora zaidi, sasa sigara yenye ubora na nzuri nakushauri uvute CAMEL, DUNHILL, CHESTERFIELD.
Wewe utakuwa ni mchawiNilianza na ubugiaji ugoro bahati mbaya stimu ikawa haitoshi nikaenda mbali zaidi kwa kujidunga sindano za madawa ya kulevya. Baada ya kuanza kuzoea madawa ya kulevya nikajikuta navuta sigara tu bila kutegemea. Hivyo nakushauri anza kubugia dawa za kulevya ama ujidunge tu, utajikuta unavuta na kupenda sigara bila kutegemea.
UsheitwanYes!! Nyeupe ni nzuri na bei zao ni nafuu big up man kwa kuwa mjanja wa kutumia sigara yenye ubora wa kipekee. [emoji23] [emoji109]
Camel switch madada wengi wanaovuta sigara hii ndio sigara yao inaonekana kuwa ni sigara ya kikeNilianza kwenye krismasi 2016 sigara aina ya CAMEL nikavuta CLUB SM, nikaenda mbele zaidi nikavuta EMBASSY KING nikaja DUNHILL hivyo vyote ni kutafuta sigara yenye tumbaku nzuri ya daraja la kwanza, nikaenda mbele zaidi nikavuta CHESTERFIELD kwa utafiti wangu nikagundua tumbaku ya mwingereza na mmarekani ni bora zaidi, sasa sigara yenye ubora na nzuri nakushauri uvute CAMEL, DUNHILL, CHESTERFIELD.