Minah, kama walimpamba akajitazama kwenye kioo akatoka nje , basi kwa standard yao it is OKKwani wa vijijini hawafai kupendeza
Wana waharibia picha zao za kumbukumbu buanaa!
Huyu atakuwa anabariki ndoa maana hata yeye mwenyewe kachoka utamlaumu mpambaji bureUnawezaje kumfanyia mtu makeup ya hovyo hovyo kwenye harusi yake jamani siku muhimu ambayo anatakiwa kupendezaa haswaaaa hadi muoaji akimuona anamsahau
Mabibi harusi weusi mnawakoseaga sana makeup, kama hafai kupaka hayo madude kwanini usimwambie tu au umpake kidogo
Jumapili nimeenda harusini hadi nimemhurumia dada wawatu, mwenyewe mweusi kapigwa foundation mpaka kawa mweupe ,mirangi ya machoni sasa khaaa muwage na huruma jamani
Bwana harusi hakuwa na raha kabisa nahisi alitamani muda uende haraka atoke pale
Msitupatishe dhambi za kucheka watu kwenye sherehe zao
Msiwafanyie hivi [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115](uyo wa kwenye picha ni mfano )
ukipambwa hivyo lazima uende peponiUnawezaje kumfanyia mtu makeup ya hovyo hovyo kwenye harusi yake jamani siku muhimu ambayo anatakiwa kupendezaa haswaaaa hadi muoaji akimuona anamsahau
Mabibi harusi weusi mnawakoseaga sana makeup, kama hafai kupaka hayo madude kwanini usimwambie tu au umpake kidogo
Jumapili nimeenda harusini hadi nimemhurumia dada wawatu, mwenyewe mweusi kapigwa foundation mpaka kawa mweupe ,mirangi ya machoni sasa khaaa muwage na huruma jamani
Bwana harusi hakuwa na raha kabisa nahisi alitamani muda uende haraka atoke pale
Msitupatishe dhambi za kucheka watu kwenye sherehe zao
Msiwafanyie hivi [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115](uyo wa kwenye picha ni mfano )
Inawezekana lkn,salun za Mtaan cyo ghali kama za kina LaviNashauri bi harusi afanyiwe "riheso" ya make up wiki moja kabla, labda itasaidia. Kwa gharama ya nani sasa, hapo ndio tatizo. Labda wapambaji wanaweza offer bei nzuri as part ya package ya harusi.
Huyu ni BIBI, bibi, bibi-harusi. Yaani bibi.Unawezaje kumfanyia mtu makeup ya hovyo hovyo kwenye harusi yake jamani siku muhimu ambayo anatakiwa kupendezaa haswaaaa hadi muoaji akimuona anamsahau
Mabibi harusi weusi mnawakoseaga sana makeup, kama hafai kupaka hayo madude kwanini usimwambie tu au umpake kidogo
Jumapili nimeenda harusini hadi nimemhurumia dada wawatu, mwenyewe mweusi kapigwa foundation mpaka kawa mweupe ,mirangi ya machoni sasa khaaa muwage na huruma jamani
Bwana harusi hakuwa na raha kabisa nahisi alitamani muda uende haraka atoke pale
Msitupatishe dhambi za kucheka watu kwenye sherehe zao
Msiwafanyie hivi [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115](uyo wa kwenye picha ni mfano )
Hata kama ni bibi, alipaswa kupendezeshwa kwenye sherehe yake jamaniiiiHuyu ni BIBI, bibi, bibi-harusi. Yaani bibi.
Sjui nmeeleweka