Mnaowafanyia makeup mabibi harusi kueni na huruma kidogo!

Weka halisi ili nikuamini.
Kwanini niendelee kumfedhehesha humu

Huyo nilie mueka cmjui kabisa lkn picha yake inazunguka mitandaon, nayeye nikimueka itakuaje mbaya zaid picha nilionayo nimepiga nae
 
Anayepakwa kwani anapakaa bure...

Si akatae kama anachopakwa hakimpendezi...

cc: mahondaw
Kama cyo mzoefu wa makeup hawezi kujua lolote
Atajua kapendeza maskini, naiv ni saluni ndiko aliko rembewa, ata amini kila kitu alichofanyiwa kiko sawa.
 
Huyu atakuwa anabariki ndoa maana hata yeye mwenyewe kachoka utamlaumu mpambaji bure
 
ukipambwa hivyo lazima uende peponi
 
Huyu atakuwa anabariki ndoa maana hata yeye mwenyewe kachoka utamlaumu mpambaji bure
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angemwacha kama alivyo kuliko kumharibu kabisa
 
Nashauri bi harusi afanyiwe "riheso" ya make up wiki moja kabla, labda itasaidia. Kwa gharama ya nani sasa, hapo ndio tatizo. Labda wapambaji wanaweza offer bei nzuri as part ya package ya harusi.
 
Nashauri bi harusi afanyiwe "riheso" ya make up wiki moja kabla, labda itasaidia. Kwa gharama ya nani sasa, hapo ndio tatizo. Labda wapambaji wanaweza offer bei nzuri as part ya package ya harusi.
Inawezekana lkn,salun za Mtaan cyo ghali kama za kina Lavi
 
Kwani wanavyopakwa wao hawaoni??? Kukubali kwao means wameridhika na huduma
 
Huyu ni BIBI, bibi, bibi-harusi. Yaani bibi.
Sjui nmeeleweka
 
Huyu ni BIBI, bibi, bibi-harusi. Yaani bibi.
Sjui nmeeleweka
Hata kama ni bibi, alipaswa kupendezeshwa kwenye sherehe yake jamaniiii

Anakaaga mbele ujue kila mtu anamtazama
Acpo pendeza waalikwa wataishia kumcheka mpk Mwisho wa shughul na kwenda kuhadithia Mtaan
 
Kwani wanavyopakwa wao hawaoni??? Kukubali kwao means wameridhika na huduma
Wengine hawajawai kupaka hivo vitu maishani mwao, wanakuja kupaka cku ya harusi
Kuna uwezekano mdogo sana wa yeye kutambua alichofanyiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…