Mnapata wapi ujasiri wa kuwapigia magoti wachumba zenu?

Mnapata wapi ujasiri wa kuwapigia magoti wachumba zenu?

[emoji23][emoji23][emoji23] is ajunau mamami ay TWU tamakakii najavi godowa atonai diha goti osi dashi oza uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Batooo ewe, nambo ritaha nasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We ulipiga goti kwa mkeo? Ulipata wapi ujasiri wa kumpigia goti?
Sina mpango wa kuvalishana pete namna hiyo, ila wala haihitaji ujasiri mkubwa kiasi hicho!!
Sijui mnachoogopa ni kitu gani hasa, kwamba mkeo atakudharau au kipi hasa mnachoogopa??
Au utaonekana unampenda na kumhitaji zaidi kuliko yeye au ni nini mnaogopa?
 
Sina mpango wa kuvalishana pete namna hiyo, ila wala haihitaji ujasiri mkubwa kiasi hicho!!
Sijui mnachoogopa ni kitu gani hasa, kwamba mkeo atakudharau au kipi hasa mnachoogopa??
Au utaonekana unampenda na kumhitaji zaidi kuliko yeye au ni nini mnaogopa?
Wakupiga goti ni mwanamke, pale mwanaume anapochukua jukumu la mwanamke lazima tuhoji huo ujasiri anautoa wapi.
 
Kwanini wa kupiga goti ni mwanamke na sio yeyote??
Siku zote mwanamke yupo chini ya uangalizi wa mwanaume na ndiye anayepaswa kupiga goti (kunyenyekea)

Hao wanaume wanaopigishwa magoti na wanawake wsnaudharirisha uanaume.
 
Siku zote mwanamke yupo chini ya uangalizi wa mwanaume na ndiye anayepaswa kupiga goti (kunyenyekea)

Hao wanaume wanaopigishwa magoti na wanawake wsnaudharirisha uanaume.
Mwanamke yupo chini yako kwa kipi, mbona wewe upo chini ya raisi wako mwanamke.
Badili hizi fikra zako kabla hujapigwa na kitu kizito, dunia imebadilika sasa hivi, kalaghabaho.
 
Back
Top Bottom