Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Ngoja nitafute pesa aisee 😔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shemelaa mwaga helaa, mbona utapitishwa ukumbini bila kupingwaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nitafute pesa aisee 😔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shemelaa mwaga helaa, mbona utapitishwa ukumbini bila kupingwaaa.
Kwa kweli fanya kutafuta helaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nitafute pesa aisee [emoji17]
😂😂😂 is ajunau mamami ay TWU tamakakii najavi godowa atonai diha goti osi dashi oza uduguu 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu em sema kweliii? Mbona ghaflaaa??
Batooo ewe, nambo ritaha nasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] is ajunau mamami ay TWU tamakakii najavi godowa atonai diha goti osi dashi oza uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂 mano nasaBatooo ewe, nambo ritaha nasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mano nasa
Sina mpango wa kuvalishana pete namna hiyo, ila wala haihitaji ujasiri mkubwa kiasi hicho!!We ulipiga goti kwa mkeo? Ulipata wapi ujasiri wa kumpigia goti?
Wakupiga goti ni mwanamke, pale mwanaume anapochukua jukumu la mwanamke lazima tuhoji huo ujasiri anautoa wapi.Sina mpango wa kuvalishana pete namna hiyo, ila wala haihitaji ujasiri mkubwa kiasi hicho!!
Sijui mnachoogopa ni kitu gani hasa, kwamba mkeo atakudharau au kipi hasa mnachoogopa??
Au utaonekana unampenda na kumhitaji zaidi kuliko yeye au ni nini mnaogopa?
Kwanini wa kupiga goti ni mwanamke na sio yeyote??Wakupiga goti ni mwanamke, pale mwanaume anapochukua jukumu la mwanamke lazima tuhoji huo ujasiri anautoa wapi.
Siku zote mwanamke yupo chini ya uangalizi wa mwanaume na ndiye anayepaswa kupiga goti (kunyenyekea)Kwanini wa kupiga goti ni mwanamke na sio yeyote??
Nikifanya ujinga kama huu ni wazi nitakuwa nimepoteza 20% ya ujasiri wangu! Hakuna kitu kitaniuma kama hicho! Ukiona mtu anafanya hivyo huyo ni zwezweta sio zezeta.
Mwanamke yupo chini yako kwa kipi, mbona wewe upo chini ya raisi wako mwanamke.Siku zote mwanamke yupo chini ya uangalizi wa mwanaume na ndiye anayepaswa kupiga goti (kunyenyekea)
Hao wanaume wanaopigishwa magoti na wanawake wsnaudharirisha uanaume.
Sawa mkuuSio mimi
Ni macho yangu au Jamaa kafanana na Ringo mackntoshiMkaka upo madhabahuni anamvalisha pete mdada huku umepiga goti, huna uhakika kama mtaishi pamoja hadi kifo kiwatenganishe.
Hivi huo ujasiri huwa mnautoa wapi?
View attachment 3013222View attachment 3013223
That's according to you. Ila mm naona ni kuonesha unajali. It's all about the mentalityMwanaume kupiga goti ni ishara ya udhaifu
Sina mbambamba 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo umechachukaaaa.
Umenyooka km rulaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sina mbambamba [emoji23][emoji23][emoji23]