Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Ohoo,pisi zipo,salimieni watu,namjua dada mmoja humu binti mdogo pisi imenyooka sanaHivi humu jf waweza pata pisi, na Inakuaje Kwa mfano.
cocastic huyo 😍😋🤤Ohoo,pisi zipo,salimieni watu,namjua dada mmoja humu binti mdogo pisi imenyooka sana
😂Dandia tu mtumbwi wa vibwengo,pisi nayoiongelea ni mkimya hapendi mambo ya kuchat sana,ni mtu wa ku like tu,ana interact humu na sisi tunaemjua tucocastic huyo 😍😋🤤
Aliyekwambia klabu kuna Mwanamke wa mipango nan?Salaaam vijana wenzangu naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?
Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi??
KongoleHivi vitu binakujaga bila mipanga unashangaa tu mara umemnasa mdada mkali
Mwaka 2016 ndo nimemaliza form 6 nimeenda kumtembelea sister mbagala wakati nipo zangu zakhiem najiandaa kirudi home tababa nikakutana na pisi moja kalii inaingia kwenye gari dah nikahisi kupagawa aisee na mimi nikazama humohumo hata sijui daradara inakwenda wapi
Nilifanikowa kukaa nae siti moja ila yeye alikaa upande wa dirishani nikaanza salam na kumhoji unashuka wapi akanitajia nashuka kituo x na mimi nikamjibu nashuka hapohapo kituo x kumbe hata sipajui ninapokwenda in short nilifanikiwa kumpata ila tulikuja potezana sijui kwa sasa yupo wapi
Huyu nilienae sasa ilikua mwezi wa 12 mwaka jana nilikua natoka zangu mnazi mmoja nikapanda gari la kuelekea home nilikaa siti karibu na mlango baada ya kufika kkoo kongo ilipanda pisi moja matata aisee ila alienda kukaa siti ya mbele nilibaki namuangalia huku hamu ya matamanio ikinijaa niliapa sishuki hadi nione yule manzi anashuka aisee nilipitiliza kituo cha home huku macho yangu yakimuangalia yeye anashuka wapi mwishowe aliposhuka nami hapohapo nikashuka hivi sasa mnaposoma comment hii huyu dem ni mpenzi wangu na nipo nae getto nacheki nae movie inayoitwa LOVE DON'T COST A THING.
Na huyu anaweza kuwa wife maana anasifa zote japokua hatuna muda mrefu kwenye mahusiano ni mpole, mcheshi, anahofu na mungu na anajiweza kiuchumi pasipo kunitegemea mimi yaani anabiashara zake ni mtafutaji kwa kweli.
Hakuna Mwanamke mtandaoniMtandaoni hapana nilishampataga mmoja Facebook yeye yupo dom tupo kwenye uhusiano miez mitano hatujaonana siku imefika si akampost bwana wake, Dah
Iliniuna hatari maana nilishaanza kumpenda nikasema bora wakuonana nae live sio Mtandaoni
Unanipa wasiwasi mkuu... kwahiyo kumbe yule anae-LIKE sana ni KE ?! 😀😀😀😅😂Dandia tu mtumbwi wa vibwengo,pisi nayoiongelea ni mkimya hapendi mambo ya kuchat sana,ni mtu wa ku like tu,ana interact humu na sisi tunaemjua tu
Inategemeana na wewe unataka kumpatia wapi? Sokoni, kanisani,safarini, au popote pale unapotaka.Salaaam vijana wenzangu.
Naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?
Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi?
Salaaam vijana wenzangu.
Naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?
Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi?
HAYAna formulaHata usijiangaishe, wakati ukifika sijui Huwa wanatokea wapi?
Ila Kuna formula ukitaka wanawake waanze kukufuatila lazima uwe na demu unaemjali.
Tafuta demu hapo kitaani au ofsini kwenu jilipue na anza kudate nae. Jitoe sana , onyesha kucare ila usimule.
Utashangaa jinsi maisha Yako yatakavyobadirika. Utawindwa Kila Kona na hotojua unatokaje.
Hali hiyo ikitokea, Tenga muda wa kufunga na kuomba Kwa week nzima , uombe ishara ya mdada sahii. Mungu alivyo mwaminifu atakukutanisha nae.
Usisahau yule wa kwanza usimule mbususu.
Dah mkuu inaonekana we bado hujawahi kuonja kabisa. Hapo lazima kichwa kisitulie kwa sasa tafuta yeyote ata wa kupiga tu ili uizoee mbunye then ndio u stick kwenye ku shortlist wife materialSawa ila mwili nao una mahitaji yake
Pamoja sana kaka ahsante sana kiukweli kama unajua vile hujakosea hata kidogoDah mkuu inaonekana we bado hujawahi kuonja kabisa. Hapo lazima kichwa kisitulie kwa sasa tafuta yeyote ata wa kupiga tu ili uizoee mbunye then ndio u stick kwenye ku shortlist wife material
tafuta kanisani, mwambie mzee wa kanisa au mtu mzima yeyote akuchagulie sample mbili tatu upate mmoja wapo baada ya kufanya ufuatiliaji wakoSalaaam vijana wenzangu.
Naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?
Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi?