Mnapata wapi wapenzi?

Mnapata wapi wapenzi?

Watu wanamshauri mwana atembee atapata demu ila ukweli ni kwamba,utakutana na mademu wazuri ila utanyimwa namba

Nimewahi kukutana na pisi ya kiarabu umri kama miaka 20 pale Mwanza,toka siku hiyo na kabla ya siku hiyo sijawahi kuona mwanamke mzuri kama yule,namba alininyima akasema tutaonana tena
 
Salaaam vijana wenzangu naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?

Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi??
Aliyekwambia klabu kuna Mwanamke wa mipango nan?
 
Hivi vitu binakujaga bila mipanga unashangaa tu mara umemnasa mdada mkali
Mwaka 2016 ndo nimemaliza form 6 nimeenda kumtembelea sister mbagala wakati nipo zangu zakhiem najiandaa kirudi home tababa nikakutana na pisi moja kalii inaingia kwenye gari dah nikahisi kupagawa aisee na mimi nikazama humohumo hata sijui daradara inakwenda wapi

Nilifanikowa kukaa nae siti moja ila yeye alikaa upande wa dirishani nikaanza salam na kumhoji unashuka wapi akanitajia nashuka kituo x na mimi nikamjibu nashuka hapohapo kituo x kumbe hata sipajui ninapokwenda in short nilifanikiwa kumpata ila tulikuja potezana sijui kwa sasa yupo wapi

Huyu nilienae sasa ilikua mwezi wa 12 mwaka jana nilikua natoka zangu mnazi mmoja nikapanda gari la kuelekea home nilikaa siti karibu na mlango baada ya kufika kkoo kongo ilipanda pisi moja matata aisee ila alienda kukaa siti ya mbele nilibaki namuangalia huku hamu ya matamanio ikinijaa niliapa sishuki hadi nione yule manzi anashuka aisee nilipitiliza kituo cha home huku macho yangu yakimuangalia yeye anashuka wapi mwishowe aliposhuka nami hapohapo nikashuka hivi sasa mnaposoma comment hii huyu dem ni mpenzi wangu na nipo nae getto nacheki nae movie inayoitwa LOVE DON'T COST A THING.

Na huyu anaweza kuwa wife maana anasifa zote japokua hatuna muda mrefu kwenye mahusiano ni mpole, mcheshi, anahofu na mungu na anajiweza kiuchumi pasipo kunitegemea mimi yaani anabiashara zake ni mtafutaji kwa kweli.
Kongole
 
Mtandaoni hapana nilishampataga mmoja Facebook yeye yupo dom tupo kwenye uhusiano miez mitano hatujaonana siku imefika si akampost bwana wake, Dah
Iliniuna hatari maana nilishaanza kumpenda nikasema bora wakuonana nae live sio Mtandaoni
Hakuna Mwanamke mtandaoni
 
😂Dandia tu mtumbwi wa vibwengo,pisi nayoiongelea ni mkimya hapendi mambo ya kuchat sana,ni mtu wa ku like tu,ana interact humu na sisi tunaemjua tu
Unanipa wasiwasi mkuu... kwahiyo kumbe yule anae-LIKE sana ni KE ?! 😀😀😀😅

NCHI INA VITUKO SANA HII! Pisi nyingine naihusudu ni Ri ri I LOVE YOU BABE POPOTE ULIPO 😋🤤❤❤❤❤
 
Salaaam vijana wenzangu.

Naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?

Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi?
Inategemeana na wewe unataka kumpatia wapi? Sokoni, kanisani,safarini, au popote pale unapotaka.
Salaaam vijana wenzangu.

Naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?

Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi?
 
Nenda makanisani wako wengi tu,chamsingi kuwa serious usichezee mabinti.
 
Hata usijiangaishe, wakati ukifika sijui Huwa wanatokea wapi?

Ila Kuna formula ukitaka wanawake waanze kukufuatila lazima uwe na demu unaemjali.

Tafuta demu hapo kitaani au ofsini kwenu jilipue na anza kudate nae. Jitoe sana , onyesha kucare ila usimule.

Utashangaa jinsi maisha Yako yatakavyobadirika. Utawindwa Kila Kona na hotojua unatokaje.

Hali hiyo ikitokea, Tenga muda wa kufunga na kuomba Kwa week nzima , uombe ishara ya mdada sahii. Mungu alivyo mwaminifu atakukutanisha nae.

Usisahau yule wa kwanza usimule mbususu.
HAYAna formula
 
Sawa ila mwili nao una mahitaji yake
Dah mkuu inaonekana we bado hujawahi kuonja kabisa. Hapo lazima kichwa kisitulie kwa sasa tafuta yeyote ata wa kupiga tu ili uizoee mbunye then ndio u stick kwenye ku shortlist wife material
 
Dah mkuu inaonekana we bado hujawahi kuonja kabisa. Hapo lazima kichwa kisitulie kwa sasa tafuta yeyote ata wa kupiga tu ili uizoee mbunye then ndio u stick kwenye ku shortlist wife material
Pamoja sana kaka ahsante sana kiukweli kama unajua vile hujakosea hata kidogo
 
Bila shaka wameshakupa mwongozo!!
Kila la kheri!
 
Salaaam vijana wenzangu.

Naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na mnafanya maisha pamoja?

Mi si mtu wa klabu au mitoko hivyo nakua ngumu kukutana na watu wapya hasa wadada nipeni mbinu ndugu zangu nyie mnawapatia wapi?
tafuta kanisani, mwambie mzee wa kanisa au mtu mzima yeyote akuchagulie sample mbili tatu upate mmoja wapo baada ya kufanya ufuatiliaji wako
 
Back
Top Bottom