Mnapoambiwa Simba Sports Club siyo 'Wenzenu' nchi hii muwe mnaelewa sawa? Haya Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli shindana na Serikali sasa!

Mnapoambiwa Simba Sports Club siyo 'Wenzenu' nchi hii muwe mnaelewa sawa? Haya Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli shindana na Serikali sasa!

🙄🙄 hadi wavaa kanga na madela kama mleta uzi kumbe nao ni mikia
 
Yesu Kristo ni Simba Sports Club.
Malaika wote ni Simba Sports Club.

Mitume na Manabii wote isipokuwa Gwajiboy na TiTo na Mzee wa Bapa ni Simba Sports Club.

Ila Shwaitwani, yaani Ibirisi, Lusifer nastaajabu anaipenda Dar Young Afiricans.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji106][emoji123][emoji123][emoji123][emoji848][emoji848][emoji848][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa Yanga SC kupitia Afisa Habari wao Hassan Bumbuli 'alikaririwa' akisema hawatokitoa ng'o.

Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!

Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.

Mwenyezi Mungu.....Simba SC
John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC

Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!
Halafu FIFA tayari wameshamwingiza usajili Simba. MORRISON yumo list ya wachezaji Simba
 
Yesu Kristo ni Simba Sports Club.
Malaika wote ni Simba Sports Club.

Mitume na Manabii wote isipokuwa Gwajiboy na TiTo na Mzee wa Bapa ni Simba Sports Club.

Ila Shwaitwani, yaani Ibirisi, Lusifer nastaajabu anaipenda Dar Young Afiricans.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji106][emoji123][emoji123][emoji123][emoji848][emoji848][emoji848][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Dah!
 
Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa Yanga SC kupitia Afisa Habari wao Hassan Bumbuli 'alikaririwa' akisema hawatokitoa ng'o.

Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!

Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.

Mwenyezi Mungu.....Simba SC
John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC

Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!
Ujinga wako wakupenda mpira isifikie kiasi cha kukufuru. Mimi nishabiki wa simba ila hapo kusema mwenyezimungu ni simba umekosea sana ndugu..mungu unamhusisha na utimu.muombe masamaha mungu wako ikiwezekana ufute hii post.Tusiwe wajinga kiasi cha kumuhusisha mungu na mambo yetu ya kijinga ya kidunia
 
Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa Yanga SC kupitia Afisa Habari wao Hassan Bumbuli 'alikaririwa' akisema hawatokitoa ng'o.

Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!

Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.

Mwenyezi Mungu.....Simba SC
John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC

Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!
wametoa hicho hapo

1598722578346.png
 

Attachments

  • 1598722402035.png
    1598722402035.png
    79.3 KB · Views: 1
Ujinga wako wakupenda mpira isifikie kiasi cha kukufuru. Mimi nishabiki wa simba ila hapo kusema mwenyezimungu ni simba umekosea sana ndugu..mungu unamhusisha na utimu.muombe masamaha mungu wako ikiwezekana ufute hii post.Tusiwe wajinga kiasi cha kumuhusisha mungu na mambo yetu ya kijinga ya kidunia

Swine. Sasa kama tu unamjua sana Mungu na Dini mbona hujawa Papa au Ayatollah kabisa tujue moja? Mnafiki mkubwa na wala siombi Msamaha?
 
Swine. Sasa kama tu unamjua sana Mungu na Dini mbona hujawa Papa au Ayatollah kabisa tujue moja? Mnafiki mkubwa na wala siombi Msamaha?
omba msamaha mkuu hapo umefika mbali kidogo. kila kitu kilichop duniani ni chakwake Mungu
 
Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa Yanga SC kupitia Afisa Habari wao Hassan Bumbuli 'alikaririwa' akisema hawatokitoa ng'o.

Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!

Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.

John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC

Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!


Umenisahau na me Simba
IMG_20200825_210943.jpg
 
Yesu Kristo ni Simba Sports Club.
Malaika wote ni Simba Sports Club.

Mitume na Manabii wote isipokuwa Gwajiboy na TiTo na Mzee wa Bapa ni Simba Sports Club.

Ila Shwaitwani, yaani Ibirisi, Lusifer nastaajabu anaipenda Dar Young Afiricans.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji106][emoji123][emoji123][emoji123][emoji848][emoji848][emoji848][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Mambo ya yesu yatatuletea shida Simba Kama Yale ya Titanic tuyaache
 
Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa Yanga SC kupitia Afisa Habari wao Hassan Bumbuli 'alikaririwa' akisema hawatokitoa ng'o.

Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!

Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.

John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC

Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!
Naunga mkono hoja, 99% ya watanzania ni Simba

Ila Askofu Gwajima, Nabii Tito, yule Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dsm AlHaj Musa tuwape Yanga wale
 
Waganga na wachawi kama kaggere-simba

wazinzi na wapenda ngono zembe kama dimond-simba
darassa la 4 c kama akina mana rah-simba
wezi na majambazi kama amina morishon-simba
Deejay nasmile Nani asiyependa ngono dunia hii?Me naona hapo kama umempa sifa diamond nakuonesha mwanaume halisi
 
Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa Yanga SC kupitia Afisa Habari wao Hassan Bumbuli 'alikaririwa' akisema hawatokitoa ng'o.

Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!

Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.

John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC

Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!
Kuna watu bwana sijui wakoje...wanatoa comment za kuwadhoofisha baadhi ya watu katika kipindi nyeti Cha uchaguzi ...ni hatari Sana kwa kweli...lengo lako ni kugawa kura...endeleeni na ujinga wenu...maana huu siyo upumbavu Bali ni ujinga...au inawezekana vyote viwili...
 
Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa Yanga SC kupitia Afisa Habari wao Hassan Bumbuli 'alikaririwa' akisema hawatokitoa ng'o.

Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!

Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.

John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC

Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!
Mm Simba SC.Tunawakeraaaa
 
Back
Top Bottom